Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,755
- 15,238
Video hii inaonyesha namna NHC ya mkurugenzi Nehemia Mchechu inavyoendelea kubadilisha mji wa kiserikali alimaarufu Magufuli city makao makuu ya nchi jijini Dodoma, nyumba nyingi na maghorofa makali sana yanaendelea kujengwa na kukamilika.
Kila kilichoanzishwa na Magufuli kitakamilika kama alivyopanga na wale wenye roho za korosho watateseka na kukonda maisha yao yote.
Karibuni Magufuli city Dodoma.
Kila kilichoanzishwa na Magufuli kitakamilika kama alivyopanga na wale wenye roho za korosho watateseka na kukonda maisha yao yote.
Karibuni Magufuli city Dodoma.