johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Rais Samia amesema aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na kuhamishiwa Wizara ya Mambo ya Nje baadae akimwambia Rais pale Ulinzi ndio panamfaa zaidi na Rais Samia akamkubalia na kumrudisha
Nafasi yake pale MoFA akapelekwa January Makamba
Mlale Unono 😄
Nafasi yake pale MoFA akapelekwa January Makamba
Mlale Unono 😄