Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,738
- 15,208
Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii wa awamu ya tano Dkt. Hamis Kigwangala alishawahi kunukuliwa akisema mwekezaji wa kitalu cha uwindaji Ngorongoro amekuwa na tabia ya kuhonga viongozi mbalimbali ikiwemo Mawaziri tangu alipopewa kitalu hicho mwaka 1992.
Kwenye video hiyo amesema kuna Waziri wa Utalii wa awamu ya nne alihongwa dola laki mbili ili aweze kumwachia mwekezaji huyo atekeleze masilahi yake .
Kwenye video hiyo amesema kuna Waziri wa Utalii wa awamu ya nne alihongwa dola laki mbili ili aweze kumwachia mwekezaji huyo atekeleze masilahi yake .