kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,072
- 1,340
Hello wajamvi
Mko salama kabisa. Nimeitoa mahali. Tuchambue hotuba za viongozi wetu. Leo ni yupi huwa akitoa hotuba anakuwa na tija?
Mimi huyuu Waziri wa Habari na Teknolojia nawazagaa sana.
Karibuni sema wakoo
Mko salama kabisa. Nimeitoa mahali. Tuchambue hotuba za viongozi wetu. Leo ni yupi huwa akitoa hotuba anakuwa na tija?
Mimi huyuu Waziri wa Habari na Teknolojia nawazagaa sana.
Karibuni sema wakoo