Baadhi ya wananchi na watumiaji wa mitandao ya kijamii wanamtuhumu Lucy Komba kuwa alikuwa miongoni mwa watu waliohamasisha maandamano hayo. Kutokana na hali hiyo, amekuwa akikosolewa vikali, huku baadhi wakisema hawataki arejee nchini kwa ajili ya kufanya tamasha lake la wangoni hapa sababu hakuwa na uzalenda mwaka jana wakidai kuwa kauli zake za awali ziliwakwaza Hata Wasanii wenzake
Pia soma: PostGE2025 - Maandamano na kuhamasisha maandamano ni kosa kisheria?