Ndugu Zangu Watanzania,
Ni Ukweli ulio wazi Kuwa Mzee Warioba amelitumikia Taifa hili kwa Muda mrefu ,ni kweli kabisa Kuwa Mzee Walioba Anahitaji Kuheshimiwa siyo kwa Umri wake bali kwa mchango...
Historia haijifichi na inaeleza wazi namna wazungu walivyojenga uchumi wao kwa vita na unyonyaji wa hali ya juu.
Baadae sana walivyoshiba mema ya nchi zao na nchi nyingine ndipo walipoanza...
Hamjambo!
Tunajua! Ninajua!
Kwamba kuna wakati mtu utalaumiwa. Utakejeliwa. Watakurushia maneno.
Ikitokea unalaumiwa basi hakikisha ni kwa sababu unaingiza mountain mrefu sana. Kwamba unajenga...
KATIKA Kile kinachoonekana Propaganda, Huyu Wakili kilaza wa Serikali, hakutoa Hilo Ulizo kwa Bahati mbaya !.
Ulizo lake, Lengo lake lilijikita kwenye KUAMINISHA UMMA WA WATANZANIA, KUA FEDHA ZA...
Sawa hatujawachagua mkajiweka wenyewe kwenye hivyo viti, unajua mwenye akili hata anajibaraguza walau kufanya mambo vizuri ili apate kukubalika hata kidogo, ila wapuuzi ndo kwaaanzaaa wanatutibua...
Gestapo walikuwa ni kikosi cha siri ndani ya jeshi la polisi la serikali ya kinazi chini ya utawala wa Adolf Hitler.
Kikosi hichi kiliundwa mwaka 1933 na bwana Hermann Goring kwa kukusanya vikosi...
Mwandishi wa makala za siasa, Luqman Maloto, amesema Tanzania inahitaji wakosoaji, lakini pia inahitaji viongozi wastaafu wenye hadhi ya 'Statesman' ambao wanaweza kuwa washauri na wapatanishi...
Mwanasiasa Odero Charles Odero ametoa wito na kumtaka kaimu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA,John Heche kurudi kwenye Maridhiano na kama kweli anania ya dhati ya Tundu...
Mhe. Lissu: shahidi ulisema Jambo TV na Chanzo TV walirusha mkutano huo live, waeleze majaji kwa ufahamu wako uwepo wa hatua zozote za kuwafungulia Jambo TV na Chanzo TV mashtaka ya kuwezesha...
Wana CCM kuibuka kumshambulia Nchimbi huku yeye mwenyewe akiwa hawezi kujitetea ni ishara ya uovu, uoga na ujinga mkubwa sana.
Kubwatuka, kutokwa povu na kujitamba dhidi ya mtu ambaye amefungwa...
Kuanzia uhuru mpaka leo hii mchango wa Waislamu katika harakati za mapambano umeenda ukipungua sana.
Wakati wa uhuru Waislamu walikuwa active sana mstari wa mbele katika harakati za uhuru pamoja...
Na katika kujibu swali hilo moja tu la siku hiyo, mtuhumiwa wa uhaini alilijibu kwa mbwembwe na vizuri mno, na hapo ndipo alithibitisha kosa lake pasina kuacha chembe ya shaka mbele ya majaji...
https://youtube.com/shorts/EeJ0AHAKwSU?si=PQTa1IHifdwM32E4
Uchaguzi wa wizi umefanya misaada mingi na wawekezaji kutoka nchi zinazojali demokrasia umepungua au kukatwa kabisa.
Sasa analaumu...
Hii picha imeleta gumzo sana huko Tanzania jinsi ambavyo Chid Benz amesimama kishujaa kabisa mbele ya Bw. Katambi bila kuonesha unyonge hata kidogo. Hii picha imekuwa gumzo kwa watu wengi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.