07 Agosti 2026
Kinondoni, Dar es Salaam
Tanzania
SAAD MTABULE : WANAFUNZI MKAWAAMBIE WAZAZI JUU UHAMIAJI HARAMU KINONDONI
https://m.youtube.com/watch?v=d7oFRuKVK-w
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni...
07 Agosti 2026
Uhamishoni
Nje ya Tanzania
Bw. David Jumbe msaidizi wa karibu wa mheshimiwa Tundu Lissu katika mahojiano exclusive 07 Agosti 2026 UHAMISHONI NJE YA TANZANIA...
Kama wahadhiri wanakamatwa kwa kuelezea namna uhuru wa kuandamana na kujieleza ulivyowekwa kwenye Katiba ya JMT.
Hii dira ya 2050 itatekelezwa kwa namna gani? Huku CCM hawataki taifa liwe na...
Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii...
Nilimsikia tulia anasema "huwezi kusema mtu ametekwa wakati hujamuona"
kwanza kutekwa ni kupi ?
Tulia kutekwa ni kuchukuliwa kwa nguvu na watu wasiojulikana na kupelekwa sehemu isiyofahamika sio...
Na Mwandishi Wetu
Dar es Salaam.
Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kuimarisha mazingira yanayowezesha maendeleo ya sekta ya lojistiki, usafirishaji na elimu ya ufundi...
Mwekezaji wa Kimataifa, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, amezindua Duka kubwa la kubadilisha fedha za kigeni linaloitwa DESDERIA BUREAU DE CHANGE LIMITED
Duka hilo la kisasa...
Kwa wanaojua uchafu wa CCM na mwenyekiti wake, waliomuona rais Samia akitangaza kuundwa kwa jopo litakaloongozwa na majaji wawili mmoja toka Namibia na mwingine Uganda, atakuwa ameshangaa na...
Bibie huyo ameyasema hayo huko Tanga akiwa kwenye ziara kama mjumbe wa CCM Taifa Mkoa wa Pwani.
My Take
Pamoja na kwamba vyeo hapa Duniani vinaenda Kwa kujuana,kupendeleana na kuchochea chuki...
Waziri Kombo amuaga Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kuagana na Balozi wa...
Ninaungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika kuwapongeza na kuwashukuru wakulima, wafugaji na wavuvi kwa mchango wao mkubwa katika uzalishaji wa chakula...
Rejea aina ya habari kutoka kwa waandishi feki wa mitandaoni kila wanapotoa taarifa kuhusu mkoa wa Arusha huongelea mauaji tu husikii habari za matukio mazuri yanayotokea huko ambayo ni mengi...
Wanabodi,
Angalieni jinsi hawa jirani zetu Wakenya wanavyo tusema vibaya kwenye TV yao kuhusu uchaguzi mkuu wetu, wanamsema vibaya huyu mgombea wetu tegemeo la Watanzania, wanamuita ni dikiteta...
Wanabodi
Hili ni bandiko la swali, japo Mungu ni mmoja, na Tanzania tuna manabii wetu na Kenya wana nanabii wao, iweje Mungu anaongea sana na manabii wa jirani zetu Kenya na kuwapa unabii kuhusu...
Wanabodi
Kiukweli Shetani yuko busy sana kupitia manabii wa Uongo na Unabii wao wa Uongo kuihusu Tanzania!.
Hii ni bandiko la kutoa angalizo kwa Watanzania wanaolitakia mema taifa letu kuwa...
Naona lengo la ccm kuwapumbaza watanzania linaenda kutimia.
Angalieni jinsi baadhi ya wana Mbeya wanavyo kimbilia kupata mgao wa bagia na soda kutoka kwa Mbunge wao kupitia ccm.
Nawausia binadamu watanzania wenzangu kwenye huu ulimwengu kwamba kama unaweza kuishi maisha yenye maadui wachache, punguza maadui.
Usitumie nguvu zako kuongeza maadui wakati dunia tayari ina...
Nyie mnaomcheka ni sababu si ndugu yenu. Kichaa anachekesha kama si ndugu yako. Mambo anayoyafanya ni ya aibu sana. Lakini si wa kumcheka. Lazima mjue ametokea wapi na amepitia hali gani.
Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.