Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kama haukubaliani na mimi tueleze kwanini viongozi hawa wanaiba kura?
7 Reactions
17 Replies
224 Views
TAARIFA KWA UMMA YA NDG. LUHAGA JOELSON MPINA KUHUSU UCHAMBUZI WA RIPOTI YA JUMUIYA YA MADOLA KWENYE KIKAO CHA 73 CHA DHARURA CHA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE NA UONGOZI WA KIDEMOKRASIA (CMAG)...
11 Reactions
8 Replies
215 Views
Miongoni mwa habari zilizozua gumzo hivi karibuni ni Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kutumia Sh611.92 milioni kutunza vyura wa Kihansi huko Marekani, gazeti hili limefan-ya uchambuzi...
7 Reactions
54 Replies
5K Views
Bakari Kazungu anadaiwa kutekwa na ‘watu wasiojulikana’ na kufanyiwa vitendo viovu. NOTE: Video imeondolewa ili kuondoa sehemu sensitive na kulinda utu wake Soma machache aliyowahi sema: 1) CDE...
18 Reactions
193 Replies
5K Views
..kuliita genge hili " wasiojulikana, " badala ya magaidi, sio kumung'unya maneno ndugu zangu? ..matendo yao ya kuteka, kutesa, kujeruhi, na kuuwa, yana tofauti gani na matendo ya magaidi wa...
19 Reactions
43 Replies
416 Views
1. TMA (Tanzania Metrology....) What does A stand for) 2. TTCL 3. .....endelea Na haya yalitoa gawio la Samia?
4 Reactions
30 Replies
582 Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dk. Emmanuel Nchimbi, "amegoma kujiuzulu," kwa mujibu wa gazeti la Mwanahalisi. Taarifa mikononi mwa gazeti hilo zinasema, Dk. Nchimbi amekuwa akikabiliwa...
23 Reactions
67 Replies
2K Views
Unamteka mtu na kumpoteza. Familia na ukoo mzima wanaumia. Jamii inayomzunguka inaumia na kutengeneza kidonda ambacho hakiponi. Watu wanajawa na chuki. Wanawaza kulipa kisasi kwa kupoteza...
4 Reactions
3 Replies
57 Views
Rachel Dangwa alikuwa anasema ,"Free Polepole,free Soka,free Mdude". Alikuwa anaongea maneno mengi ya kuwasaidia watu, wengine hata hawafahamu. Alikuwa anasema,"Acheni mipango ya kutaka kumuua...
13 Reactions
42 Replies
1K Views
Kila mara mjadala wa Katiba Mpya unapoibuka, hujitokeza hoja moja yenye mvuto: hatuhitaji Katiba, tunahitaji hospitali, dawa, ajira na maji, na Katiba haitakupa dawa uliyoikosa. Hoja hii ina...
5 Reactions
28 Replies
482 Views
Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Lushoto, mkoani Tanga, Jerida Ramadhan Hosha, amejitokeza hadharani na kumuomba msamaha Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, John Heche, pamoja na Chama kwa ujumla, baada...
5 Reactions
19 Replies
555 Views
  • Redirect
Binti wa kwanza June Ruto ni mke wa Dr. Alexander Ezenagu Minigeria. Charlene binti yake mwingine anaeolewa na Isaya Yumbe Mtanzania Pamoja na kutudharau Watanzania wakajifanya mashapu, inakuwaje...
1 Reactions
Replies
Views
Yaniuwia vigumu kukaa kimya napoitazama Zanzibar ya leo. Kuna hali ya kibaguzi kwa baadhi ya Viongozi wa vyama vya Siasa na Serikali ya Zanzibar ambao kama kwamba bado wanaishi karne ya 15...
0 Reactions
2 Replies
64 Views
Mmoja wa waasisi wa kundi mashuhuri la Wabunge 55 (G55) na Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Kyela, Lumuli Alipipi Kasyupa, amefunguka kuhusu ujasiri waliokuwa nao wa kumpinga Baba wa Taifa, Mwalimu...
1 Reactions
1 Replies
74 Views
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA UCHUKUZI MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA TAARIFA KWA UMMA TAARIFA POTOFU INAYOSAMBAA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KUHUSU HALI YA BARIDI HAPA NCHINI...
1 Reactions
1 Replies
75 Views
Naval blockade ni mbinu ya kijeshi ambapo nchi hutumia meli za kivita kuzingira na kufunga bandari au ukanda wa bahari wa nchi nyingine. Lengo ni kuzuia meli zote, bidhaa, silaha, au watu kuingia...
4 Reactions
3 Replies
72 Views
Tangu nchi hii ipate uhuru, hakuna awamu ambayo taifa limepata hasara kubwa na ya kutisha kutokana na wizi na ufisadi wa kiwango cha juu kama awamu hii ya Kikwete. Ni katika awamu hii wanyama...
38 Reactions
465 Replies
49K Views
  • Featured
Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema chama hicho kimepanga kufungua kesi mahakamani kupinga baadhi ya vipengele vya Sheria ya Fedha wa mwaka 2026, kikidai kuwa...
9 Reactions
25 Replies
719 Views
Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) kimekataa rasmi kuitambua Tume ya Rais iliyoundwa kuchunguza matukio ya ghasia za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, kikisisitiza kuwa...
18 Reactions
38 Replies
522 Views
Miaka ya themanini huko iringa palikuwa na mbunge anaitwa Tuntameke Sanga. Mheshimiwa Tuntameke Sanga alipeleka mara kadhaa hoja mbungeni akiomba jimbo lake WANANCHI waruhusiwe kulima bangi...
11 Reactions
60 Replies
2K Views
Back
Top Bottom