TAARIFA KWA UMMA YA NDG. LUHAGA JOELSON MPINA KUHUSU UCHAMBUZI WA RIPOTI YA JUMUIYA YA MADOLA KWENYE KIKAO CHA 73 CHA DHARURA CHA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE NA UONGOZI WA KIDEMOKRASIA (CMAG)...
Miongoni mwa habari zilizozua gumzo hivi karibuni ni Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kutumia Sh611.92 milioni kutunza vyura wa Kihansi huko Marekani, gazeti hili limefan-ya uchambuzi...
Bakari Kazungu anadaiwa kutekwa na ‘watu wasiojulikana’ na kufanyiwa vitendo viovu.
NOTE: Video imeondolewa ili kuondoa sehemu sensitive na kulinda utu wake
Soma machache aliyowahi sema:
1) CDE...
..kuliita genge hili " wasiojulikana, " badala ya magaidi, sio kumung'unya maneno ndugu zangu?
..matendo yao ya kuteka, kutesa, kujeruhi, na kuuwa, yana tofauti gani na matendo ya magaidi wa...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dk. Emmanuel Nchimbi, "amegoma kujiuzulu," kwa mujibu wa gazeti la Mwanahalisi.
Taarifa mikononi mwa gazeti hilo zinasema, Dk. Nchimbi amekuwa akikabiliwa...
Unamteka mtu na kumpoteza. Familia na ukoo mzima wanaumia. Jamii inayomzunguka inaumia na kutengeneza kidonda ambacho hakiponi.
Watu wanajawa na chuki. Wanawaza kulipa kisasi kwa kupoteza...
Rachel Dangwa alikuwa anasema ,"Free Polepole,free Soka,free Mdude".
Alikuwa anaongea maneno mengi ya kuwasaidia watu, wengine hata hawafahamu.
Alikuwa anasema,"Acheni mipango ya kutaka kumuua...
Kila mara mjadala wa Katiba Mpya unapoibuka, hujitokeza hoja moja yenye mvuto: hatuhitaji Katiba, tunahitaji hospitali, dawa, ajira na maji, na Katiba haitakupa dawa uliyoikosa. Hoja hii ina...
Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Lushoto, mkoani Tanga, Jerida Ramadhan Hosha, amejitokeza hadharani na kumuomba msamaha Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, John Heche, pamoja na Chama kwa ujumla, baada...
Binti wa kwanza June Ruto ni mke wa Dr. Alexander Ezenagu Minigeria.
Charlene binti yake mwingine anaeolewa na Isaya Yumbe Mtanzania
Pamoja na kutudharau Watanzania wakajifanya mashapu, inakuwaje...
Yaniuwia vigumu kukaa kimya napoitazama Zanzibar ya leo. Kuna hali ya kibaguzi kwa baadhi ya Viongozi wa vyama vya Siasa na Serikali ya Zanzibar ambao kama kwamba bado wanaishi karne ya 15...
Mmoja wa waasisi wa kundi mashuhuri la Wabunge 55 (G55) na Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Kyela, Lumuli Alipipi Kasyupa, amefunguka kuhusu ujasiri waliokuwa nao wa kumpinga Baba wa Taifa, Mwalimu...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA
TAARIFA POTOFU INAYOSAMBAA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KUHUSU HALI YA BARIDI HAPA NCHINI...
Naval blockade ni mbinu ya kijeshi ambapo nchi hutumia meli za kivita kuzingira na kufunga bandari au ukanda wa bahari wa nchi nyingine. Lengo ni kuzuia meli zote, bidhaa, silaha, au watu kuingia...
Tangu nchi hii ipate uhuru, hakuna awamu ambayo taifa limepata hasara kubwa na ya kutisha kutokana na wizi na ufisadi wa kiwango cha juu kama awamu hii ya Kikwete.
Ni katika awamu hii wanyama...
Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema chama hicho kimepanga kufungua kesi mahakamani kupinga baadhi ya vipengele vya Sheria ya Fedha wa mwaka 2026, kikidai kuwa...
Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) kimekataa rasmi kuitambua Tume ya Rais iliyoundwa kuchunguza matukio ya ghasia za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, kikisisitiza kuwa...
Miaka ya themanini huko iringa palikuwa na mbunge anaitwa Tuntameke Sanga. Mheshimiwa Tuntameke Sanga alipeleka mara kadhaa hoja mbungeni akiomba jimbo lake WANANCHI waruhusiwe kulima bangi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.