Wakuu mnaoshusha nondo JF hamuwezi toa nondo juu ya dots fulani fulani ili akina Saanane na Azory wapatikane ?

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,635
29,967
Wakuu Habari
Nimepitia bandiko la jana la Bwana na kaka yangu Pascal Mayalla kuhusu ukosoaji na usifiaji lakin kwa jinsi alivyozishusha nondo ukiwa unasoma unasisimkwa mwili,
Niliwahi kumshauri hata Huyo bwana Msiba juu ya ulichosema

siku hizi mi ni mzembe wa kuandika, lakin ngoja niandike tu haijarishi Kama kweli uzi utafutwa au utahaririwa na Mods,

Kuna Kipengele umesema wanaokosoa wanakuwa vichaa kudhani kila movement mbaya dhid ya wapinzani inafanywa na serikali, lakin inaonesha kwamba wachambuzi Kama ninyi mnakaa kimya Sana mnachambua mambo kwa uoga sana hadi inasikitisha sana kuona hata baadhi ya Ukweli mdogo mdogo mnaogopa kuchambua,

Taifa lilivyo kwa sasa tusifichane linahitaji kiongozi mwenye kujenga upendo na umoja wa kitaifa mwaka 2025
Niliyasema kwenye Uzi huu hapa Kuwa sawa Magufuli anafanya makubwa kama ujenzi wa miundo mbinu, lakin Mioyo mbinu haiko powaa


Tunategemea mlete nyuzi basi za kuondoa sintofahamu juu ya kupotea kwa Ben saanane na Azory gwanda,
Kupigwa Risasi Kwa Tundu lissu,

Maana ukosoaji unaosaidia taifa ni Kama nilioandika Kwa Uzi huu chini mpaka nikaanza kuambiwa nahujumu maendeleo ya Taifa ,yaan ukitoa ushauri chanya utaambulia matusi na kutangazwa adui wa Taifa wa Kimya kimya, Kuna kundi la WhatsApp la watu nyeti la kujadili jinsi ya kuwakamata wanaokosoa


Sina shaka kabisa na uchambuzi wenu ambao unaonesha hamna upande ,ila kuweza kuwashawish watanzania kuwa upande fulani haukuhusika kwenye matukio mazito kama hayo?

Ninyi ni wachambuzi na waandishi wa habari, mtazipata wapi nobble prizes, au mtajivunia kwamba mlilisaidia taifa?

Haki ya Mungu msipoandika, mkanyamaza, wapinzani wasiposema wakaogopa, wasemaji wa haki za Binadamu wasiposema BASI MUNGU ATATENDA

NB Mimi ni Mwana CCM ambaye nimepata kadi kwa kuisomea siyo ya kuokota kwenye mikutano ya hadharaNashangaa hao waliopewa kadi kwenye mikutano ya adhara kama kina Asenga waliwahi kunisumbua sana kwa uzi huu


Britanicca
 
Ben Saanane inajulikana ni mpango wa Mbowe kumpoteza, haiwezekani eti msaidizi wako unaefanya nae kazi ofisi moja anapotea halafu wewe unaendelea na kazi zako kama kawaida hata kumtafuta hutaki, Mbowe Mungu anakuona mrudishe Ben Saanane wetu,
Hasa Nondo na uchambuzi Kama huo ndo wa Kuleta hapa tujue ukweli

Enhe baada ya Mbowe kumficha saa nane akammiminia Risasi Lissu?

Na baada ya hapo akampoteza Azory?
 
Ben Saanane inajulikana ni mpango wa Mbowe kumpoteza, haiwezekani eti msaidizi wako unaefanya nae kazi ofisi moja anapotea halafu wewe unaendelea na kazi zako kama kawaida hata kumtafuta hutaki, Mbowe Mungu anakuona mrudishe Ben Saanane wetu,
Una maana Serikali na vyombo vyake vyoooooote inamuogopa huyo Mbowe? Mnajipendekeza hadi mnapitiliza kiasi cha kuidhalilisha Serikali.
 
Ben Saanane inajulikana ni mpango wa Mbowe kumpoteza, haiwezekani eti msaidizi wako unaefanya nae kazi ofisi moja anapotea halafu wewe unaendelea na kazi zako kama kawaida hata kumtafuta hutaki, Mbowe Mungu anakuona mrudishe Ben Saanane wetu,
Mkuu wewe ni useless kabisa, halafu mnalaumu Maxence Melo wakati huwa mnahara hadi kunanuka humu.

Tatizo mkizidiwa na wananchi mnamlaumu yeye wakati mnanuka dhambi!
 
Ben Saanane inajulikana ni mpango wa Mbowe kumpoteza, haiwezekani eti msaidizi wako unaefanya nae kazi ofisi moja anapotea halafu wewe unaendelea na kazi zako kama kawaida hata kumtafuta hutaki, Mbowe Mungu anakuona mrudishe Ben Saanane wetu,
Ben Saanane sio Mbowe,bali ni yule aliyekuwa anahojiwa PhD yake ya kubangua maganda ya korosho aliipataje wakati paper yake ipo sawa na ya msimamizi wake?

Hiki ndio kimempoteza Ben,bahati mbaya Ben amepotea mwanzoni mwanzoni mwa utamaduni wa watu kupotezwa ndio unaanza anza.Watu wana roho mbaya sana,ndio maana wanakosa amani ya moyo,kutwa kucha kupanic na kukurupuka.Huwezi kuwa salama juu ya damu ya watu na maumivu ya familia zao.

Wewe umeugua tu kidogo,watu wakaunganishia na kifo,unaanza kusema "utu,utu,utu".Utu haujengwi kwa namna hiyo,utu na upendo ni matokeo ya kuheshimu uhai wa tajiri na masikini,kila mwanadamu ana thamani ya damu yake,mwanadamu mwenzie anapoitoa damu hiyo,ataweweseka yeye na vizazi vyake.Thamani ya utu haina mbadala sio madaraka wala amani ya nchi...Ndio maana hata leo ukimuuwa kichaa au chizi,lazima uwajibike,maana hatutaangalia ukichaa wao,nali utu wao.

Usiku wa manane,ndege aina ya CRJ,mali ya nchi moja ya maziwa makuu,kwa kutumia magari meusi,ilibadilishana "wafungwa wa kuteswa" sababu ya kuupinga uongozi wa watawala wa pande zote mbili.

Ni bahati mbaya watu hudhani damu ya mtu ni halali yao,kabla ya mawio na machweo,damu ya mtu huyu itakuwa imepiga kelele na kutoa kilio...haitawaacha watu salama!

Pole sana kwa familiabya Ben,mwanae wa kike ndugu,jamaa na marafiki.
 
Ben Saanane sio Mbowe,bali ni yule aliyekuwa anahojiwa PhD yake ya kubangua maganda ya korosho aliipataje wakati paper yake ipo sawa na ya msimamizi wake?

Hiki ndio kimempoteza Ben,bahati mbaya Ben amepotea mwanzoni mwanzoni mwa utamaduni wa watu kupotezwa ndio unaanza anza.Watu wana roho mbaya sana,ndio maana wanakosa amani ya moyo,kutwa kucha kupanic na kukurupuka.Huwezi kuwa salama juu ya damu ya watu na maumivu ya familia zao.

Wewe umeugua tu kidogo,watu wakaunganishia na kifo,unaanza kusema "utu,utu,utu".Utu haujengwi kwa namna hiyo,utu na upendo ni matokeo ya kuheshimu uhai wa tajiri na masikini,kila mwanadamu ana thamani ya damu yake,mwanadamu mwenzie anapoitoa damu hiyo,ataweweseka yeye na vizazi vyake.Thamani ya utu haina mbadala sio madaraka wala amani ya nchi...Ndio maana hata leo ukimuuwa kichaa au chizi,lazima uwajibike,maana hatutaangalia ukichaa wao,nali utu wao.

Usiku wa manane,ndege aina ya CRJ,mali ya nchi moja ya maziwa makuu,kwa kutumia magari meusi,ilibadilishana "wafungwa wa kuteswa" sababu ya kuupinga uongozi wa watawala wa pande zote mbili.

Ni bahati mbaya watu hudhani damu ya mtu ni halali yao,kabla ya mawio na machweo,damu ya mtu huyu itakuwa imepiga kelele na kutoa kilio...haitawaacha watu salama!

Pole sana kwa familiabya Ben,mwanae wa kike ndugu,jamaa na marafiki.
.........
 
Mkuu umeandika,
''Usiku wa manane,ndege aina ya CRJ,mali ya nchi moja ya maziwa makuu,kwa kutumia magari meusi,ilibadilishana "wafungwa wa kuteswa" sababu ya kuupinga uongozi wa watawala wa pande zote mbili''.
Kumbuka Jamiiforums is where we dare to say openly!

Wewe una fake ID kama mimi halafu bado unaficha hata kutaja namba za ndege na nchi inakotoka halafu nikisema ulichoandika ni bandwagon fallacy nitakuwa nakosea!
 
Ben Saanane inajulikana ni mpango wa Mbowe kumpoteza, haiwezekani eti msaidizi wako unaefanya nae kazi ofisi moja anapotea halafu wewe unaendelea na kazi zako kama kawaida hata kumtafuta hutaki, Mbowe Mungu anakuona mrudishe Ben Saanane wetu,
Haya maneno ndio yalichangia jumamosi na jumapili iliyopita nchi nzima ilikuwa katika hali fulani ya furaha kusubiri tangazo.
 
Ben Saanane sio Mbowe,bali ni yule aliyekuwa anahojiwa PhD yake ya kubangua maganda ya korosho aliipataje wakati paper yake ipo sawa na ya msimamizi wake?

Hiki ndio kimempoteza Ben,bahati mbaya Ben amepotea mwanzoni mwanzoni mwa utamaduni wa watu kupotezwa ndio unaanza anza.Watu wana roho mbaya sana,ndio maana wanakosa amani ya moyo,kutwa kucha kupanic na kukurupuka.Huwezi kuwa salama juu ya damu ya watu na maumivu ya familia zao.

Wewe umeugua tu kidogo,watu wakaunganishia na kifo,unaanza kusema "utu,utu,utu".Utu haujengwi kwa namna hiyo,utu na upendo ni matokeo ya kuheshimu uhai wa tajiri na masikini,kila mwanadamu ana thamani ya damu yake,mwanadamu mwenzie anapoitoa damu hiyo,ataweweseka yeye na vizazi vyake.Thamani ya utu haina mbadala sio madaraka wala amani ya nchi...Ndio maana hata leo ukimuuwa kichaa au chizi,lazima uwajibike,maana hatutaangalia ukichaa wao,nali utu wao.

Usiku wa manane,ndege aina ya CRJ,mali ya nchi moja ya maziwa makuu,kwa kutumia magari meusi,ilibadilishana "wafungwa wa kuteswa" sababu ya kuupinga uongozi wa watawala wa pande zote mbili.

Ni bahati mbaya watu hudhani damu ya mtu ni halali yao,kabla ya mawio na machweo,damu ya mtu huyu itakuwa imepiga kelele na kutoa kilio...haitawaacha watu salama!

Pole sana kwa familiabya Ben,mwanae wa kike ndugu,jamaa na marafiki.
inasikitisha kwakwel
 
Ben Saanane sio Mbowe,bali ni yule aliyekuwa anahojiwa PhD yake ya kubangua maganda ya korosho aliipataje wakati paper yake ipo sawa na ya msimamizi wake?

Hiki ndio kimempoteza Ben,bahati mbaya Ben amepotea mwanzoni mwanzoni mwa utamaduni wa watu kupotezwa ndio unaanza anza.Watu wana roho mbaya sana,ndio maana wanakosa amani ya moyo,kutwa kucha kupanic na kukurupuka.Huwezi kuwa salama juu ya damu ya watu na maumivu ya familia zao.

Wewe umeugua tu kidogo,watu wakaunganishia na kifo,unaanza kusema "utu,utu,utu".Utu haujengwi kwa namna hiyo,utu na upendo ni matokeo ya kuheshimu uhai wa tajiri na masikini,kila mwanadamu ana thamani ya damu yake,mwanadamu mwenzie anapoitoa damu hiyo,ataweweseka yeye na vizazi vyake.Thamani ya utu haina mbadala sio madaraka wala amani ya nchi...Ndio maana hata leo ukimuuwa kichaa au chizi,lazima uwajibike,maana hatutaangalia ukichaa wao,nali utu wao.

Usiku wa manane,ndege aina ya CRJ,mali ya nchi moja ya maziwa makuu,kwa kutumia magari meusi,ilibadilishana "wafungwa wa kuteswa" sababu ya kuupinga uongozi wa watawala wa pande zote mbili.

Ni bahati mbaya watu hudhani damu ya mtu ni halali yao,kabla ya mawio na machweo,damu ya mtu huyu itakuwa imepiga kelele na kutoa kilio...haitawaacha watu salama!

Pole sana kwa familiabya Ben,mwanae wa kike ndugu,jamaa na marafiki.
Nae alikuwa mjinga tu tena mpumbavu. Wewe kwa nchi zetu hizi unaanza kihelehele cha kuanza kuhoji elimu ya mtu tena kiongozi inakusaidia nini?

Pambana, tafuta ugali wa wanao, hayo mengine waachie wenyewe basi.
 
Mkuu umeandika,

Kumbuka Jamiiforums is where we dare to say openly!

Wewe una fake ID kama mimi halafu bado unaficha hata kutaja namba za ndege na nchi inakotoka halafu nikisema ulichoandika ni bandwagon fallacy nitakuwa nakosea!
Fallacy is an error of thinking,thinking that a statement without a flight registration and a country of "Maziwa Makuu" is an error of thinking,then,who said this is a fallacy,might also have a sign of committing the same "fallacy"...A nature of parable is not a fallacy,but a way to make people think in a literally way
 
Ben Saanane sio Mbowe,bali ni yule aliyekuwa anahojiwa PhD yake ya kubangua maganda ya korosho aliipataje wakati paper yake ipo sawa na ya msimamizi wake?

Hiki ndio kimempoteza Ben,bahati mbaya Ben amepotea mwanzoni mwanzoni mwa utamaduni wa watu kupotezwa ndio unaanza anza.Watu wana roho mbaya sana,ndio maana wanakosa amani ya moyo,kutwa kucha kupanic na kukurupuka.Huwezi kuwa salama juu ya damu ya watu na maumivu ya familia zao.

Wewe umeugua tu kidogo,watu wakaunganishia na kifo,unaanza kusema "utu,utu,utu".Utu haujengwi kwa namna hiyo,utu na upendo ni matokeo ya kuheshimu uhai wa tajiri na masikini,kila mwanadamu ana thamani ya damu yake,mwanadamu mwenzie anapoitoa damu hiyo,ataweweseka yeye na vizazi vyake.Thamani ya utu haina mbadala sio madaraka wala amani ya nchi...Ndio maana hata leo ukimuuwa kichaa au chizi,lazima uwajibike,maana hatutaangalia ukichaa wao,nali utu wao.

Usiku wa manane,ndege aina ya CRJ,mali ya nchi moja ya maziwa makuu,kwa kutumia magari meusi,ilibadilishana "wafungwa wa kuteswa" sababu ya kuupinga uongozi wa watawala wa pande zote mbili.

Ni bahati mbaya watu hudhani damu ya mtu ni halali yao,kabla ya mawio na machweo,damu ya mtu huyu itakuwa imepiga kelele na kutoa kilio...haitawaacha watu salama!

Pole sana kwa familiabya Ben,mwanae wa kike ndugu,jamaa na marafiki.
Hoja hii ni nzito maana imeongeza udadisi wa nini hasa kilitokea? Habari ya ndege na "kubadilishana wafungwa" imeongeza Giza ingawa pengine ndio kunakucha.
Tusaidiane tuu kuweka wazi uhalifu wowote dhidi ya binadamu walao faraja itapatikana
 
Nae alikuwa mjinga tu tena mpumbavu. Wewe kwa nchi zetu hizi unaanza kihelehele cha kuanza kuhoji elimu ya mtu tena kiongozi inakusaidia nini?

Pambana, tafuta ugali wa wanao, hayo mengine waachie wenyewe basi.
Hayo mambo "nchi zetu hizi" ndiyo yana halalisha ujinga kukamata kasi.
Iweje vitu haramu vihalalishwe kwa sababu vimetendwa na mkuu?
Mambo mengine kujitafutia dhiki na shida kwako na familia yako utawala ukigeuka.
Imagine nchi inaangukia mikononi mwa MTU mwingine nje ya ccm na ukweli unawekwa hadharani unadhani muhusika atapata raha tena? Kina Jeska wataishi kwa amani tena? Tuache kutumia cheo kutenda dhambi.
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom