Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tanzania Ina vituko vingi sana jambo ambalo kwa kawaida Linalohitaji logic ya kawaida kabisa mkuhoji watu wanalazimisha subirieni tume afu wanashabikia tume walioiunda wenyewe. Hivi kweli akili ya...
0 Reactions
2 Replies
67 Views
Ukimsikiliza vizuri huyu jamaa huwezi kuelewa kwa undani dhamira halisi ya awamu ya sita tulianza na BBT ya Hussein Bashed kisha tukaingia Road fund. Yote yamecolapse sasa amekuja bwana Kafulila...
5 Reactions
10 Replies
142 Views
Mheshimiwa Esther Matiko huenda akatimkia CHAUMMA kuunga mkono juhudi za Mgombea Urais wa Chama hicho Salum Mwalimu.
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Waungwana naamini mko poa, kunajambo nimetafakari ya kuwa katambi yule waziri fake wa mambo ya ndani baada ya kuona genge lao la wateka, wauwaji, mafisadi na Macartel ya mafuta limepuuzwa sasa...
1 Reactions
5 Replies
185 Views
1. Mara baada ya kifo cha Magufuli. Dr Chamuriho (Waziri wakati huo) ndio alitajwa Sana kuwa angekua Makamu ila kama mnavyojua siasa zetu za fitna. 2. Mwamba akanyang'anywa hata uwaziri wenyewe...
3 Reactions
50 Replies
4K Views
Najua hamtaniamini. Najua mpo mtakaobisha vya kutosha na kutisha. Mtapaniki kuliko pikipiki ya kutumia kiki. Lakini, nawaambia jambo hili. Ni jambo geni na kubwa lakini muhimu na linalowezekana...
23 Reactions
35 Replies
2K Views
Kazi yangu mimi ni biashara ya genge, nauza mboga. Nilichogundua hapa kijijini kwetu ukiona noti mpya nyingi zinakuja gengeni kununua bidhaa ujue watumishi wamelipwa misharaha yao. Wingi wa hela...
1 Reactions
5 Replies
107 Views
Akizungumza Septemba 02, 2026, katika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, wakati akiwaapisha Wakuu wa Mikoa na Katibu Tawala wa Mkoa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan...
3 Reactions
13 Replies
234 Views
Uasi una maana gani au tafsiri ipi?
4 Reactions
8 Replies
143 Views
  • Featured
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche Juni 25, 2026 kwenye mahojiano na kituo cha Redio, cha VOS amesema kuwa chama hicho hakiko tayari kuingia kwenye maridhiano yoyote na Chama Cha...
8 Reactions
83 Replies
2K Views
Habari za uzee wako: Nakuandikia ujumbe huu nikikusihi ufanye kila linalowezekana ukishawishi chama chako,umshawishi aliye kitini kufanya kila linalowezekana kutengeneza kijitabu ambacho...
4 Reactions
7 Replies
234 Views
Kuna jambo ambalo tunapaswa kulisema kwa uwazi kabisa bila kuficha ukweli. Inasikitisha kuona uongozi wa juu wa nchi ukipambana usiku na mchana kutafuta suluhisho la matatizo ya wananchi Rais...
0 Reactions
2 Replies
44 Views
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Aggrey Mwanri, amewahakikishia Watanzania na viongozi wa kitaifa kuwa chama hicho kinasimama kidete nyuma ya Rais wa Jamhuri ya...
8 Reactions
44 Replies
588 Views
Kauli hiyo ya kipumbavu, kijuha na kishetani imetolewa na Mwenyekiti wa ccm Mkoa huo Na kwamba wanaomba msamaha kwa Rais huyo kutokana na yote magumu aliyokutana nayo katika kipindi chote...
16 Reactions
66 Replies
994 Views
Malisa amesema; 1. Anawashukuru wote walipaza sauti, vingine inawezekana asingekuwa hai 2. Watu walijitambulisha ni polisi lakini gari lilowabeba sio la Polisi 3.Tuliambiwa tunapelekwa kituo cha...
36 Reactions
174 Replies
2K Views
Harakati za Tanganyika kujitenga na Zanzibar zinasukumwa na malalamiko ya kisiasa na kiuchumi kuhusu muundo wa sasa wa Muungano wa serikali mbili. Wanaounga mkono vuguvugu hili wanahoji kuwa...
29 Reactions
100 Replies
2K Views
Watanzania hakika tunafurahia sana kuona jinsi mnavyopambana bila kukata tamaa mungu aendelee kusimama na nyie katika kila jambo Hakika hii ndo chadema ambayo nilikuwa natamani itokee siku zote...
7 Reactions
21 Replies
164 Views
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Ruvuma, Ndugu Oddo Mwisho, amesema CCM haijakurupuka kufanya maamuzi ya kumfukuza uanachama aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
2 Reactions
16 Replies
334 Views
BWAWA LA UMEME JNHPP- LINATIMIZA NDOTO YA NYERERE, NA NI MAFANIKIO YA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MWELEKEO MPYA WA UCHUMI. Ameandika Cde Shaka Hamdu Leo ni siku ya kihistoria, Siku...
3 Reactions
34 Replies
689 Views
Back
Top Bottom