Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara anayoisimamia ipo tayari kutoa...
Hizi teuzi za kila baada ya masaa 24 ndio kitu pekee kwa sasa kinacho fanya raia wajue Raisi yupo, tofauti na hapo nchi inaendeshwa utazania katiha isha vunjwa.
Kichaka pekee cha kuonyeshea nguvu...
Leo tarehe 02 October 2023 nimenunua umeme wa sh.11,000/= ambapo nilitegemea kupata unit 28.0 lakini nimepata unit 26.6! Je, umeme umepanda bei au ni tabia nchi tu!
Sijafanya Utafiti rasmi kujua kama Kutumbua Tumbua na Kuteua Teua ni Falsafa Moja au tofauti
Ila nilichogundua Awamu ya 5 Ilisikika zaidi Tumbua Tumbua Tumbua na awamu hii swaga ni Teua Teua...
Idadi ya watu Duniani inatarajiwa kufikia watu bilioni 10 kufikia mwaka 2050,wakati nchini Tanzania idadi ya watu inatarajiwa kufikia 137 milioni.Idadi hii kubwa ya watu itahitaji chakula kingi...
Imekuwa kama ni gubu dhidi ya CHADEMA . Ni kama vile CHADEMA inashutumiwa kila wakati jambo fulani linapokwenda mrama nchini Tanzania.
Lakini shutuma kubwa kwa CHADEMA ni kuwa ama kitasemwa na...
Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.
Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana...
Ni ukweli usiopingika jina la MWANA FA ni kubwa sana kutokana na kupata mafanikio katika tasnia ya Muziki na kuwa miongoni mwa Magwiji wa Bongo Flavour.
Pamoja na umaarufu wake lakini ni Kijana...
Hiki Chama kinajua kula na kipofu na sasa wanakata mbuga na wananchi walio wengi wameanza kukielewa kwa kasi.
Ijulikane tu wametia mguu ndani ya serikali ya Zanzibar na sasa ni zaidi ya mwendo...
Mkuu mi Sina mashaka na utendaji wako kabla ya kuwa Waziri tangu ulipokuwa Ofisi ya mwana Sheria Mkuu wa serikali baadaye ukawa Waziri wa Utumishi kwakweli uliwafuta Watumishi machozi kwa wale...
iyeteuliwa ni George Nathaniel Mandepo akichukua nafasi ya Griffin Venance Mwakapeje aliyeteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu
Pia, Rais amemteua Dkt. Saudin Jacob Mwakaje kuwa Mwenyekiti wa Baraza...
Nimetafakari kuhusu mamlaka ya huyu msemaji wa serikali. Anapata wapi cha kusema? Anatafuta mwenyewe au Rais anasema sema hili na hili na hivi na hivi?
Tumeona teuzi za jana na leo zimefanyika kutokea Doha Qatar. Je ni jambo sahihi viongozi wa Afrika kwenda kufanyauteuzi nje ya mataifa yao ikiwa hali ya usalama na kisiasa ni tulivu?
Historia...
#Ntwara kuchweree,
Haya ndio matokea ya ziara ya Mhe Rais Dkt SAMIA Suluhu Hassan huko Kusini na neno langu kwa wateule wote ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia maji.
Taarifa toka kwa Msemaji...
Ndugu zangu Watanzania,
Nilishasema humu Mara nyingi sana kuwa watanzania wanajielewa sana,wanajitambua na wanaithamini na kuiheshimu sana amani na utulivu tulio nao hapa nchini, kwa kuwa kila...
Kitongoji cha Gomora ni moja ya vitongoji vitatu (3) vya Kijiji cha Musanja, Kata ya Musanja
Vitongoji hivi vitatu (3) vinayo Shule ya Msingi moja iliyojengwa Mwaka 1959 na Kanisa la Mennonite...
Ni mategemeo ya Wengi kuwa sasa UWT itakuwa ya kisasa zaidi kama walivyo BAWACHA
Kiukweli hii UWT ya Chatanda haina tofauti na ile ya mama Sophia Kawawa rip yaani iko kizamani sana na ni Imani...
Wana jukwaa nawasalimu. Mimi nimoja kati ya wengi walio shtushwa na tukio la kuteuliwa kwa naibu waziri mkuu mheshimiwa Dr. Dotto Biteko, bila shaka panapofuka moshi hapakosi moto. Kuna jambo...
Sasa hivi ni very late kuzungumza kuhusu maswala haya. Ukiandika saa hizi zinatokea spelling errors nyingi.
We will discuss it the morning. Lakini wale wanasema watafanya mkutano bila ruhusa ya...