MTWARA: Rais Samia afukuza kazi kuanzia RAS, DC, DED mpaka DAS. Awaonya wateule wanaofanya kazi kwa mazoea,kushindwa kuwasikiliza na kuwajali Wananchi

CM 1774858

JF-Expert Member
May 29, 2021
4,984
4,083
IMG-20230923-WA0001.jpg

#Ntwara kuchweree,

Haya ndio matokea ya ziara ya Mhe Rais Dkt SAMIA Suluhu Hassan huko Kusini na neno langu kwa wateule wote ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia maji.

Taarifa toka kwa Msemaji Mkuu Ikulu Bi Zuhra Yunus imesema kuwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amewafukuza kazi baadhi ya wateule wake mkoani Mtwara kuanzia RAS,DC,DED mpaka DAS huku akiwaonya wateule wake wanaofanya kazi kwa mazoea,kushindwa kuwasikiliza na kuwajali Wananchi.

Niukweli usiopingika Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameacha kilio na simanzi kwa wateule wake huku akipeleka vicheko na furaha kwa Wananchi wa Mtwara ambao wameonyesha kutokuridhishwa na utendaji kazi wa wateule hao,

Baada ya hayo,Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Ndugu Abdallah Mohamed Malela, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara.

Hata hivyo amemteua Bi. Bahati Ibrahim Geuzye kuwa katibu Tawala Mkoa wa Mtwara.

Kabla ya uteuzi huu, Bi Bahati alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA)

Rais Mhe Dkt Samia Suluhu hakuishia kwa kumsukuma nje RAS pekee ametengua pia uteuzi wa Ndugu Hanafi Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini,

Na sasa amemteua Bi. Mwanahamisi Mkunda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini. Kabla ya uteuzi huo Bi. Mkunda aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke

Vilevile Mhe Rais amemteua Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu.

Naaliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo Bi Mariam Chaurembo amesukumwa nje.

Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan hakuishia kwenye wakuu wa wilaya tu amesukuma nje pia wakurugenzi kadhaa,

Mhe rais amemteua Ndugu Hassan Bakari Nyange kuwa Mkurugenzi (DED) mpya wa Mtwara TC.

Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Nyange alikuwa DAS Wilaya ya Namtumbo.

Aidha, aliyekuwa Mkurugenzi (DED) wa Wilaya ya Mtwara TC, Kanali Emmanuel Mwaigobeko atapangiwa kazi nyingine kama itaonekana inafaa,

Aidha Mhe Rais ametengua uteuzi wa Bi. Tatu Said Issike, Mkurugenzi wa Mtwara DC na kumteua Ndugu Abeid Abeid Kafunda kuwa Mkurugenzi (DED) wa Mtwara DC.

Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Kafunda alikuwa Mwanasheria katika Ofisi ya mkemia Mkuu wa Serikali.

Vilevile Mhe Rais amemteua Ndugu Reuben Sixbert Jichabu kuwa Mkurugenzi (DED) wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi.

Aidha, aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Ndugu Erica Yegella atapangiwa kazi nyingine.

Hakuishia hapo tu Mhe Rais amekula kichwa cha Katibu Tawala wa Wilaya ambapo amemteuar Fancis George Mgoloka kuwa Katibu Tawala wa Wilaya
(DAS) ya Namtumbo.

Kabla ya uteuzi huo Ndugu Mgoloka alikuwa Katibu Tarafa Mswaki - Kilindi Handeni.

Salamu hizi ziwafikie wateule wote wa Rais "mnaozungusha sketi" badala ya kuchapa kazi na kulinda kila rasilimali ya mwananchi pamoja na mwananchi mwenyewe kwani kama chama tunahitaji "kushinda kabla ya kushinda" Chaguzi zote zilizombele yetu.


#MAMAHAKAMATIKI
#Wekend Njema,


======
 
Mtwara kuchwere,

Haya ndio matokea ya ziara ya Mhe Rais Dkt SAMIA Suluhu Hassan huko Kusini na ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia maji.

Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amewafukuza kazi kuanzia RAS,DC,DED mpaka DAS huku akiwaonya wateule wake wanaofanya kazi kwa mazoea,kushindwa kuwasikiliza na kuwajali Wananchi.

Huwezi amini,Mhe Rais ameacha kilio na simanzi kwa wateule wake huku akipeleka vicheko na furaha kwa Wananchi wa Mtwara ambao wameonyesha kutokuridhishwa na utendaji kazi wa wateule hao,

Baada ya hayo,Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Ndugu Abdallah Mohamed Malela, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara.

Hata hivyo Rais Samia amemteua Bi. Bahati Ibrahim Geuzye kuwa katibu Tawala Mkoa wa Mtwara.

Kabla ya uteuzi huu, Bi Bahati alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA)

Rais Mhe Dkt Samia Suluhu hakuishia kwa kumsukuma nje RAS pekee ametengua pia uteuzi wa Ndugu Hanafi Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini,

Na sasa Mhe rais amemteua Bi. Mwanahamisi Mkunda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini. Kabla ya uteuzi huo Bi. Mkunda aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke

Vilevile Mhe Rais amemteua Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu.

Naaliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo Bi Mariam Chaurembo amesukumwa nje.

Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan hakuishia kwenye wakuu wa wilaya tu amesukuma nje pia wakurugenzi kadhaa,

Mhe rais amemteua Ndugu Hassan Bakari Nyange kuwa Mkurugenzi (DED) mpya wa Mtwara TC.

Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Nyange alikuwa DAS Wilaya ya Namtumbo.

Aidha, aliyekuwa Mkurugenzi (DED) wa Wilaya ya Mtwara TC, Kanali Emmanuel Mwaigobeko atapangiwa kazi nyingine kama itaonekana inafaa,

Aidha Mhe Rais ametengua uteuzi wa Bi. Tatu Said Issike, Mkurugenzi wa Mtwara DC na kumteua Ndugu Abeid Abeid Kafunda kuwa Mkurugenzi (DED) wa Mtwara DC.

Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Kafunda alikuwa Mwanasheria katika Ofisi ya mkemia Mkuu wa Serikali.

Vilevile Mhe Rais amemteua Ndugu Reuben Sixbert Jichabu kuwa Mkurugenzi (DED) wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi.

Aidha, aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Ndugu Erica Yegella atapangiwa kazi nyingine.

Hakuishia hapo tu Mhe Rais amekula kichwa cha Katibu Tawala wa Wilaya ambapo amemteuar Fancis George Mgoloka kuwa Katibu Tawala wa Wilaya
(DAS) ya Namtumbo.

Kabla ya uteuzi huo Ndugu Mgoloka alikuwa Katibu Tarafa Mswaki - Kilindi Handeni.

Salamu hizi ziwafikie wateule wote wa Rais "mnaozungusha sketi" badala ya kuchapa kazi na kulinda kila rasilimali ya mwananchi pamoja na mwananchi mwenyewe kwani kama chama tunahitaji "kushinda kabla ya kushinda" Chaguzi zote zilizombele yetu.

Weekend Njema,
Hayo maonyesho ni ya siku nyingi. Hayana impact yoyote kwenye uwajibikaji. BTW hii ''mheshimiwa dr'' kila baada ya sentensi mbili inaonyesha ubongo wa mwandishi wa huu usanii ulivyojaa makamasi na matongotongo!
 
Rais amesikiliza kilio cha wananchi kwa kuondoa kirusi tanesco kwa kuondoa makamba na mazao yake.

Makamba na maharage ndio ilikua tatizo tanesco.

Watu wa hovyo kabisa toka Tanzania ipate uhuru.

Ukoo wa makamba ni ukoo wa panya
 
Mtwara kuchwere,

Haya ndio matokea ya ziara ya Mhe Rais Dkt SAMIA Suluhu Hassan huko Kusini na ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia maji.

Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amewafukuza kazi kuanzia RAS,DC,DED mpaka DAS huku akiwaonya wateule wake wanaofanya kazi kwa mazoea,kushindwa kuwasikiliza na kuwajali Wananchi.

Huwezi amini,Mhe Rais ameacha kilio na simanzi kwa wateule wake huku akipeleka vicheko na furaha kwa Wananchi wa Mtwara ambao wameonyesha kutokuridhishwa na utendaji kazi wa wateule hao,

Baada ya hayo,Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Ndugu Abdallah Mohamed Malela, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara.

Hata hivyo Rais Samia amemteua Bi. Bahati Ibrahim Geuzye kuwa katibu Tawala Mkoa wa Mtwara.

Kabla ya uteuzi huu, Bi Bahati alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA
)

Rais Mhe Dkt Samia Suluhu hakuishia kwa kumsukuma nje RAS pekee ametengua pia uteuzi wa Ndugu Hanafi Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini,

Na sasa Mhe rais amemteua Bi. Mwanahamisi Mkunda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini. Kabla ya uteuzi huo Bi. Mkunda aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke

Vilevile Mhe Rais amemteua Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu.

Naaliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo Bi Mariam Chaurembo amesukumwa nje.

Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan hakuishia kwenye wakuu wa wilaya tu amesukuma nje pia wakurugenzi kadhaa,

Mhe rais amemteua Ndugu Hassan Bakari Nyange kuwa Mkurugenzi (DED) mpya wa Mtwara TC.

Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Nyange alikuwa DAS Wilaya ya Namtumbo.

Aidha, aliyekuwa Mkurugenzi (DED) wa Wilaya ya Mtwara TC, Kanali Emmanuel Mwaigobeko atapangiwa kazi nyingine kama itaonekana inafaa,

Aidha Mhe Rais ametengua uteuzi wa Bi. Tatu Said Issike, Mkurugenzi wa Mtwara DC na kumteua Ndugu Abeid Abeid Kafunda kuwa Mkurugenzi (DED) wa Mtwara DC.

Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Kafunda alikuwa Mwanasheria katika Ofisi ya mkemia Mkuu wa Serikali.

Vilevile Mhe Rais amemteua Ndugu Reuben Sixbert Jichabu kuwa Mkurugenzi (DED) wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi.

Aidha, aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Ndugu Erica Yegella atapangiwa kazi nyingine.

Hakuishia hapo tu Mhe Rais amekula kichwa cha Katibu Tawala wa Wilaya ambapo amemteuar Fancis George Mgoloka kuwa Katibu Tawala wa Wilaya
(DAS) ya Namtumbo.

Kabla ya uteuzi huo Ndugu Mgoloka alikuwa Katibu Tarafa Mswaki - Kilindi Handeni.

Salamu hizi ziwafikie wateule wote wa Rais "mnaozungusha sketi" badala ya kuchapa kazi na kulinda kila rasilimali ya mwananchi pamoja na mwananchi mwenyewe kwani kama chama tunahitaji "kushinda kabla ya kushinda" Chaguzi zote zilizombele yetu.

Weekend Njema,
Yeye mwenyewe hasikikizi wananchi sembuse hao maded. Halafu hiyo hali ipo hivyo kwa kila mkoa
 
Hii ni dalili kuu ya mteule kuchanganyikiwa na kupelekea kufanya maamuzi ya HASIRA!

Wananchi wamechukia ufisadi mkubwa unaoendelea serikalini.
Makamba na Tanesco ni Kero ya kitaifa na Madhara yake ni Makubwa zaidi. hayakupaswa kupuuziwa"

Utenguzi wa Viongozi waandamizi karibu wote pale Mtwara kasoro Mkuu wa Mkoa pekee.
Hii ni kutokana na ghadhabu ya Rais kutokana na wimbi la urudishaji kadi za CCM lililoibukia Mtwara na hatimae kuendelea sehemu mbalimbali nchini ikiwemo Ngorongoro na huko Tanga.

Mimi sipingi maamuzi yake mteule,lakini napatwa na mshangao mkubwa pale ambapo Rais amefumbia macho tatizo kubwa la kitaifa kuhusu Tanesco na ukatikaji wa umeme unaoendelea nchi nzima.

Kuna Madudu yamekwishaelezwa na kila siku yanaendelea kulalamikiwa ila huyu mama kayafumbia macho na badala yake waziri husika ndio anapewa Promo kwenda wizara nyeti ya mahusiano kimataifa.

Wakati Rais anatumbua wmaofisa kwa mkupuo, hapo ofisini kwake amekalia Ripoti Lukuki za CAG ambazo zinahusu ufisadi wa matrilioni ya shilingi bila kuchukua hatua.

Zimevuja documents za malipo haramu yakimhusisha mwanae pamoja na maafisa waandamizi serikalini kwake,lakini mpaka sasa amenyuti.
Huyu mama anadjsni anaiponya CCM lakini uhalisia ni kwamba anazidi kuichimbia kaburi kwa matendo yake yasiyo na chembe ya uzalendo.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Back
Top Bottom