Mageuzi anayofanya Rais Samia Suluhu kwenye kilimo hayakuwahi kutokea

Abdalah Abdulrahman

JF-Expert Member
Aug 29, 2019
222
201
Idadi ya watu Duniani inatarajiwa kufikia watu bilioni 10 kufikia mwaka 2050,wakati nchini Tanzania idadi ya watu inatarajiwa kufikia 137 milioni.Idadi hii kubwa ya watu itahitaji chakula kingi ukilinganisha na chakula kinachozalishwa kwa sasa. Idadi kubwa ya watu inahitaji fursa za ajira pamoja na huduma zingine za msingi kama vile afya, elimu nakadhalika.

Mwaka 1932 alipochaguliwa Franklin D. Roosevelt kuwa Raisi wa Marekani,kulikua na ukosefu wa ajira zipatazo 13,000,000 huku mabenki na huduma zingine wakifunga huduma.Katika siku mia moja za uongozi wake alikuja na wazo la kufufua uchumi kwa kushawishi bunge la marekani kuzipitia sheria za biashara na kilimo.Ni katika kipindi hiki kulianzishwa Mamlaka ya Bonde la Tenesse (Tenessee Valley Authority) (1).Kilimo na biashara ni maeneo muhimu sana ya kuongeza uchumi kwa nchi ambazo uchumi umeshuka.Rais Franklin alifanikiwa kwa kiwango cha juu kuongeza ajira pamoja na biashara kwa kubadili sera na kuanzisha maeneo mbalimbali ya kilimo.

Sera za Mh Rais Dr.Samia Suluhu Hassan za kufungua uchumi,kukipa kilimo nafasi yake zitatatua changamoto za ajira kwa vijana wengi ambao ni nguvu kazi ya taifa,zitaiweka Tanzania salama kwa kuwa na chakula kingi,na kuleta uchumi wa kati kwa idadi kubwa ya watu.

Tuendelee kumuunga mkono Mh Rais kwa nia yake njema ya kuifanya Tanzania kuwa na uchumi imara na endelevu.
 
Sera za Mh Raisi Dr.Samia Suluhu Hassan za kufungua uchumi,kukipa kilimo nafasi yake zitatatua changamoto za ajira kwa vijana wengi ambao ni nguvu kazi ya taifa,zitaiweka Tanzania salama kwa kuwa na chakula kingi,na kuleta uchumi wa kati kwa idadi kubwa ya watu.

Tuendelee kumuunga mkono Mh Raisi kwa nia yake njema ya kuifanya Tanzania kuwa na uchumi imara na endelevu.
True, naunga mkono hoja.
P
 
Idadi ya watu Duniani inatarajiwa kufikia watu bilioni 10 kufikia mwaka 2050,wakati nchini Tanzania idadi ya watu inatarajiwa kufikia 137 milioni.Idadi hii kubwa ya watu itahitaji chakula kingi ukilinganisha na chakula kinachozalishwa kwa sasa. Idadi kubwa ya watu inahitaji fursa za ajira pamoja na huduma zingine za msingi kama vile afya,elimu nakadhalika.

Mwaka 1932 alipochaguliwa Franklin D. Roosevelt kuwa Raisi wa Marekani,kulikua na ukosefu wa ajira zipatazo 13,000,000 huku mabenki na huduma zingine wakifunga huduma.Katika siku mia moja za uongozi wake alikuja na wazo la kufufua uchumi kwa kushawishi bunge la marekani kuzipitia sheria za biashara na kilimo.Ni katika kipindi hiki kulianzishwa Mamlaka ya Bonde la Tenesse (Tenessee Valley Authority) (1).Kilimo na biashara ni maeneo muhimu sana ya kuongeza uchumi kwa nchi ambazo uchumi umeshuka.Rais Franklin alifanikiwa kwa kiwango cha juu kuongeza ajira pamoja na biashara kwa kubadili sera na kuanzisha maeneo mbalimbali ya kilimo.

Sera za Mh Raisi Dr.Samia Suluhu Hassan za kufungua uchumi,kukipa kilimo nafasi yake zitatatua changamoto za ajira kwa vijana wengi ambao ni nguvu kazi ya taifa,zitaiweka Tanzania salama kwa kuwa na chakula kingi,na kuleta uchumi wa kati kwa idadi kubwa ya watu.

Tuendelee kumuunga mkono Mh Raisi kwa nia yake njema ya kuifanya Tanzania kuwa na uchumi imara na endelevu.
BRN .

COCM ni wahuni kama mateja
 
Idadi ya watu Duniani inatarajiwa kufikia watu bilioni 10 kufikia mwaka 2050,wakati nchini Tanzania idadi ya watu inatarajiwa kufikia 137 milioni.Idadi hii kubwa ya watu itahitaji chakula kingi ukilinganisha na chakula kinachozalishwa kwa sasa. Idadi kubwa ya watu inahitaji fursa za ajira pamoja na huduma zingine za msingi kama vile afya,elimu nakadhalika.

Mwaka 1932 alipochaguliwa Franklin D. Roosevelt kuwa Raisi wa Marekani,kulikua na ukosefu wa ajira zipatazo 13,000,000 huku mabenki na huduma zingine wakifunga huduma.Katika siku mia moja za uongozi wake alikuja na wazo la kufufua uchumi kwa kushawishi bunge la marekani kuzipitia sheria za biashara na kilimo.Ni katika kipindi hiki kulianzishwa Mamlaka ya Bonde la Tenesse (Tenessee Valley Authority) (1).Kilimo na biashara ni maeneo muhimu sana ya kuongeza uchumi kwa nchi ambazo uchumi umeshuka.Rais Franklin alifanikiwa kwa kiwango cha juu kuongeza ajira pamoja na biashara kwa kubadili sera na kuanzisha maeneo mbalimbali ya kilimo.

Sera za Mh Raisi Dr.Samia Suluhu Hassan za kufungua uchumi,kukipa kilimo nafasi yake zitatatua changamoto za ajira kwa vijana wengi ambao ni nguvu kazi ya taifa,zitaiweka Tanzania salama kwa kuwa na chakula kingi,na kuleta uchumi wa kati kwa idadi kubwa ya watu.

Tuendelee kumuunga mkono Mh Raisi kwa nia yake njema ya kuifanya Tanzania kuwa na uchumi imara na endelevu.
Mkuu!

Yaani samiah bunamfananisha na FDR!!?
 
True, naunga mkono hoja.
P
Pamoja na ukongwe wako unaunga hoja jambo ambalo unajua nila nguvu ya soda? Yani hujui kua Tatizo letu kama Nchi hatuna mikakati endelevu yani kila Raisi akiingia anaacha hili ananzisha lake akimaliza miaka yake mwingine akija anacha hilo anaanzisha lake, hukuwahi kusikia kuhusu kilimo kwanza kiliishia wapi? Hukuwahi kusikia Historia ya mgao wa umeme baada yakugundua gesi viliishia wapi? Ndomana kabla hujakisifu kitu lazima ujiulize je kitatekelezeka?
 
Pamoja na ukongwe wako unaunga hoja jambo ambalo unajua nila nguvu ya soda? Yani hujui kua Tatizo letu kama Nchi hatuna mikakati endelevu yani kila Raisi akiingia anaacha hili ananzisha lake akimaliza miaka yake mwingine akija anacha hilo anaanzisha lake, hukuwahi kusikia kuhusu kilimo kwanza kiliishia wapi? Hukuwahi kusikia Historia ya mgao wa umeme baada yakugundua gesi viliishia wapi? Ndomana kabla hujakisifu kitu lazima ujiulize je kitatekelezeka?
Teuzi sheikh! Teuzi sheikh! Teuzi teuzi
 
Binafsi sikuwahi kupenda kilimo,
But kwa mikakati ya huyu muMama na wasaidizi wake kwenye wizara ya kilimo na biashara,
nimevutiwa mno kungia kwenye kilimo na nikawiwa kulima ekari 10 mwaka huu 2023 japo hali ya hewa haikua nzur sana lakini si haba,

na kwa mwaka ujao wa kilimo natarajia kuongeza ekari 10 nyingine.

na hivi nionavyoreply uzi huu tayari nimeshasafisha ekari 6 mpya natarajia kukamilisha ekari 4 zilizosalia mwanzoni mwa mwezi November, ili hatimae niweze kuwa na walau ekari 20.

Lengo ni kuwa na ekari 100 mwaka wa kilimo 2026.

Bei, upatikanaji wa pembejee, wataalamu wa kilimo na masoko ya mazao ya kilimo vimekaa vema sana na vinapatikana kwa tija kubwaaa
 
Idadi ya watu Duniani inatarajiwa kufikia watu bilioni 10 kufikia mwaka 2050,wakati nchini Tanzania idadi ya watu inatarajiwa kufikia 137 milioni.Idadi hii kubwa ya watu itahitaji chakula kingi ukilinganisha na chakula kinachozalishwa kwa sasa. Idadi kubwa ya watu inahitaji fursa za ajira pamoja na huduma zingine za msingi kama vile afya,elimu nakadhalika.

Mwaka 1932 alipochaguliwa Franklin D. Roosevelt kuwa Raisi wa Marekani,kulikua na ukosefu wa ajira zipatazo 13,000,000 huku mabenki na huduma zingine wakifunga huduma.Katika siku mia moja za uongozi wake alikuja na wazo la kufufua uchumi kwa kushawishi bunge la marekani kuzipitia sheria za biashara na kilimo.Ni katika kipindi hiki kulianzishwa Mamlaka ya Bonde la Tenesse (Tenessee Valley Authority) (1).Kilimo na biashara ni maeneo muhimu sana ya kuongeza uchumi kwa nchi ambazo uchumi umeshuka.Rais Franklin alifanikiwa kwa kiwango cha juu kuongeza ajira pamoja na biashara kwa kubadili sera na kuanzisha maeneo mbalimbali ya kilimo.

Sera za Mh Raisi Dr.Samia Suluhu Hassan za kufungua uchumi,kukipa kilimo nafasi yake zitatatua changamoto za ajira kwa vijana wengi ambao ni nguvu kazi ya taifa,zitaiweka Tanzania salama kwa kuwa na chakula kingi,na kuleta uchumi wa kati kwa idadi kubwa ya watu.

Tuendelee kumuunga mkono Mh Raisi kwa nia yake njema ya kuifanya Tanzania kuwa na uchumi imara na endelevu.
Bila shaka umekosa uteuzi ule wa jana!

Leo umeamuka huelewielewi kama ni kweli umekosa hata uafsa tarafa! Umeona unze kupambana ki Lucas lucas (Chawa sugu).

Any way pambana brooo! Ipo siku utaambulia hata uafsa kata.
Sisi manyani tupo tu, hatuna namna. Maana kila kitu kinamilikiwa na mwanadamu.
 
Binafsi sikuwahi kupenda kilimo,
But kwa mikakati ya huyu muMama na wasaidizi wake kwenye wizara ya kilimo na biashara,
nimevutiwa mno kungia kwenye kilimo na nikawiwa kulima ekari 10 mwaka huu 2023 japo hali ya hewa haikua nzur sana lakini si haba,

na kwa mwaka ujao wa kilimo natarajia kuongeza ekari 10 nyingine.

na hivi nionavyoreply uzi huu tayari nimeshasafisha ekari 6 mpya natarajia kukamilisha ekari 4 zilizosalia mwanzoni mwa mwezi November, ili hatimae niweze kuwa na walau ekari 20.

Lengo ni kuwa na ekari 100 mwaka wa kilimo 2026.

Bei, upatikanaji wa pembejee, wataalamu wa kilimo na masoko ya mazao ya kilimo vimekaa vema sana na vinapatikana kwa tija kubwaaa
Je, una mtaji wa kutosha Kwa hizo ekari unazotarajia kulima?? Kama mtaji unao Hongera na endelea ni sawa.
 
Idadi ya watu Duniani inatarajiwa kufikia watu bilioni 10 kufikia mwaka 2050,wakati nchini Tanzania idadi ya watu inatarajiwa kufikia 137 milioni.Idadi hii kubwa ya watu itahitaji chakula kingi ukilinganisha na chakula kinachozalishwa kwa sasa. Idadi kubwa ya watu inahitaji fursa za ajira pamoja na huduma zingine za msingi kama vile afya, elimu nakadhalika.

Mwaka 1932 alipochaguliwa Franklin D. Roosevelt kuwa Raisi wa Marekani,kulikua na ukosefu wa ajira zipatazo 13,000,000 huku mabenki na huduma zingine wakifunga huduma.Katika siku mia moja za uongozi wake alikuja na wazo la kufufua uchumi kwa kushawishi bunge la marekani kuzipitia sheria za biashara na kilimo.Ni katika kipindi hiki kulianzishwa Mamlaka ya Bonde la Tenesse (Tenessee Valley Authority) (1).Kilimo na biashara ni maeneo muhimu sana ya kuongeza uchumi kwa nchi ambazo uchumi umeshuka.Rais Franklin alifanikiwa kwa kiwango cha juu kuongeza ajira pamoja na biashara kwa kubadili sera na kuanzisha maeneo mbalimbali ya kilimo.

Sera za Mh Rais Dr.Samia Suluhu Hassan za kufungua uchumi,kukipa kilimo nafasi yake zitatatua changamoto za ajira kwa vijana wengi ambao ni nguvu kazi ya taifa,zitaiweka Tanzania salama kwa kuwa na chakula kingi,na kuleta uchumi wa kati kwa idadi kubwa ya watu.

Tuendelee kumuunga mkono Mh Rais kwa nia yake njema ya kuifanya Tanzania kuwa na uchumi imara na endelevu.
Nilitegemea uorodeshe hayo mageuzi makubwa anayoyafanya ili tuyapime kuona yanakibadilisha vipi kilimo cha Tanzania.

Maelezo yako ya utangulizi ni sahihi kabisa lakini hujasema Rais Samia amefanya nini kukibadilisha kilimo cha Tanzania.

Kilicho dhahiri ni kuwa pesa nyingi imetolewa kupelekwa sekta ya kilimo kuwanufaisha baadhi ya watu lakini siyo wakulima wala kilimo chenyewe.

Miradi ya matamanio ya waziri bashe imekuwa kaburi la kodi za wananchi. Ni kama kimetafutwa kitu cha kuhalalisha wizi na matumizi mabaya, matumizi yasiyo na tija ya kodi za wananchi.

Miradi hiyo ya Bashe haitabadilisha kilimo cha Tanzania, ni white elephants.

Yawezekana wazo lilikuwa jema lakini approach imekuwa ya hovyo kabisa, na hivyo kupoteza kodi za wananchi na pesa za wahisani.
 
Idadi ya watu Duniani inatarajiwa kufikia watu bilioni 10 kufikia mwaka 2050,wakati nchini Tanzania idadi ya watu inatarajiwa kufikia 137 milioni.Idadi hii kubwa ya watu itahitaji chakula kingi ukilinganisha na chakula kinachozalishwa kwa sasa. Idadi kubwa ya watu inahitaji fursa za ajira pamoja na huduma zingine za msingi kama vile afya,elimu nakadhalika.

Mwaka 1932 alipochaguliwa Franklin D. Roosevelt kuwa Raisi wa Marekani,kulikua na ukosefu wa ajira zipatazo 13,000,000 huku mabenki na huduma zingine wakifunga huduma.Katika siku mia moja za uongozi wake alikuja na wazo la kufufua uchumi kwa kushawishi bunge la marekani kuzipitia sheria za biashara na kilimo.Ni katika kipindi hiki kulianzishwa Mamlaka ya Bonde la Tenesse (Tenessee Valley Authority) (1).Kilimo na biashara ni maeneo muhimu sana ya kuongeza uchumi kwa nchi ambazo uchumi umeshuka.Rais Franklin alifanikiwa kwa kiwango cha juu kuongeza ajira pamoja na biashara kwa kubadili sera na kuanzisha maeneo mbalimbali ya kilimo.

Sera za Mh Raisi Dr.Samia Suluhu Hassan za kufungua uchumi,kukipa kilimo nafasi yake zitatatua changamoto za ajira kwa vijana wengi ambao ni nguvu kazi ya taifa,zitaiweka Tanzania salama kwa kuwa na chakula kingi,na kuleta uchumi wa kati kwa idadi kubwa ya watu.

Tuendelee kumuunga mkono Mh Raisi kwa nia yake njema ya kuifanya Tanzania kuwa na uchumi imara na endelevu.
Mkuu!

Yaani samiah unamfananisha na FDR!!? serious kabisaa!!?

Sio kwamba anaekuja baada ya yeye ndio FDR!!?
 
Je, una mtaji wa kutosha Kwa hizo ekari unazotarajia kulima?? Kama mtaji unao Hongera na endelea ni sawa.
yaani hilo halina shaka ni suala la muda tu.
Actually mazao kidogo niliyovuna mwaka huu natarajia kuyapiga mnada mwanzoni mwa Nov. halafu tayari nina kakitu kibunda kidogo tayari nimehifadhi kibindoni,

Ntakua naupdate humu JF kila hatua misimu wa kilimo ukianza,
Na actually tayari wazoefu wameshanishauri cha kufanya nilipoamba ushauri wa kutoboa vizuri kwenye kilimo humu JF
 
Pamoja na ukongwe wako unaunga hoja jambo ambalo unajua nila nguvu ya soda?
Mkuu bitare, moja ya matatizo makubwa ya Watanzania ni negativity!, jambo kubwa zuri limeanzishwa, linahitaji gestation period likomae ndipo li break even, na kuanza kuzalisha faida!, watu inaanza negativity eti ni nguvu ya soda!. Acheni hizo!.
Yani hujui kua Tatizo letu kama Nchi hatuna mikakati endelevu yani kila Raisi akiingia anaacha hili ananzisha lake akimaliza miaka yake mwingine akija anacha hilo anaanzisha lake,
Kwenye hili, nakuunga mkono, Tanzania sio tuu tunatatizo kwenye continuity kila rais anakuja na lake, Tanzania tuna tatizo kubwa la upangaji wa vipaumbele vyetu na hili akina sisi tumelizungumza wazi kabisa Tanzania bado tuna tatizo la upangaji vipaumbele vyetu, baada ya Elimu, Afya na kilimo, ilipaswa ije nishati!. Ni aibu na hatari kupikia kuni na mkaa!
hukuwahi kusikia kuhusu kilimo kwanza kiliishia wapi?
Hili ni tatizo nimelizungumza humu, tunashabikia na kushangilia uzinduzi wa miradi lakini hatupewi feedback, nikazungumzia tupewe matokeo ya Mkukuta, Mkuza, Mkurabita, Mkumbita, Kilimo Kwanza, tushangilie matokeo na sio tuu uzinduzi!. Ijue benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania [TADB], pia nimehoji sana kuhusu maendeleo yetu Je, maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au vitu? Wachumi tusaidieni, uchumi wa Awamu ya 5, unalisaidia Taifa au utaliangamiza?
Hukuwahi kusikia Historia ya mgao wa umeme baada yakugundua gesi viliishia wapi?
Mambo ya umeme na gesi tumeyaongea sana humu Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!
Ndomana kabla hujakisifu kitu lazima ujiulize je kitatekelezeka?
No way, sikubaliani na wewe, jambo lolote jema, zuri na lenye manufaa likianzishwa, unapongeza kwanza, kisha unafuatilia utekelezaji.
P
 
Na wasiwasi hii ni ID nyingine ya Lucas mwashambwa.

Mods ukaguzi.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Acha hofu. Huwa Nawaambieni kila siku humu kuwa Rais samia anapendwa na kukubalika na mamilioni ya watanzania. ukiziba kinywa chako kwa kujipa ububu wa kutokutambua na kuyasema mazuri yake utaona na kushangaa mamilioni ya vinywa vikiiinuka kumsemea Rais Samia. Rais Samia yupo katika vinywa vya watanzania na katika mioyo ya watanzania,Ndio maana hakauki katika kutajwa tajwa kwa mema na mazuri yake.Ndio maana Anaendelea kuwepo mitaani kupitia vinywa vya watanzania.
 
Hoja ikushaungwa mkono na chawa wawili hawa paskali na bibi toka paje ujue ni ya uteuzi na udini baasi.
 
Back
Top Bottom