Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,307
- 33,924
Imekuwa kama ni gubu dhidi ya CHADEMA . Ni kama vile CHADEMA inashutumiwa kila wakati jambo fulani linapokwenda mrama nchini Tanzania.
Lakini shutuma kubwa kwa CHADEMA ni kuwa ama kitasemwa na CCM kama ni chama hatari Kwa maslahi ya taifa au na vyama vingine kuwa CHADEMA ni dhaifu dhidi ya CCM.
Kama CHADEMA ni dhaifu Kwani Kuna watu wengine Wamezuiwa kuanzisha au kuimarisha vyama vingine viwe imara kuliko CHADEMA?
Msijifanye ni wema kwa CHADEMA wakati mnaiuchukia.
Lakini shutuma kubwa kwa CHADEMA ni kuwa ama kitasemwa na CCM kama ni chama hatari Kwa maslahi ya taifa au na vyama vingine kuwa CHADEMA ni dhaifu dhidi ya CCM.
Kama CHADEMA ni dhaifu Kwani Kuna watu wengine Wamezuiwa kuanzisha au kuimarisha vyama vingine viwe imara kuliko CHADEMA?
Msijifanye ni wema kwa CHADEMA wakati mnaiuchukia.