Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Salaam,Shalom. Nadhani swali linajieleza. Kwamba Serikali ya MAPINDUZI Zanzibar Ina dini? Ikiwa Ina dini, dini Gani? Na issue ya mtu KUFUNGA ni Tendo la Siri au la hadhara? Karibuni🙏
4 Reactions
46 Replies
3K Views
Napongeza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar KULAANI waliojichukilia sheria mikononi wakidai kupiga marufuku kula adharani Ningependa pia yule mtalii aliyetuzwa fedha arejeshewe fedha zake na wale...
9 Reactions
12 Replies
1K Views
Taasisi zetu hasa mashule na magereza zimejiandaaje na hili katazo?
9 Reactions
49 Replies
3K Views
WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KAULI YA SERIKALI KUHUSU HOJA YA KUTOONEKANA KWENYE MATUMIZI YA SERIKALI SHILINGI TRILIONI 1.51 UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa Kanuni ya 49 ya Kanuni za...
16 Reactions
416 Replies
41K Views
Kutoka katika gazeti la TZD,mtu mmoja ameoandishwa kizimbani kwa kosa la kumuhusisha Rais Magufuli na sakata la upotevu wa sh trilioni 1.5/- ====== MFANYABASHARA, Henry Munisi (30). Mkazi wa...
6 Reactions
95 Replies
25K Views
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameibua tuhuma nzito bungeni kuhusiana malipo ya shilingi triliioni 1.5 ambazo hazijulikani zilipo alizotakiwa kulipa Mkandarasi Kampuni ya Arab Contractors kama...
14 Reactions
98 Replies
12K Views
Kimenuka! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mvutano mkubwa uliotokea Bungeni Dodoma leo na kusababisha mwenyekiti wa Bunge, Najma Giga kuchemka kuliongoza bunge na kurudisha kijiti kwa Spika...
16 Reactions
106 Replies
14K Views
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Assad, amesema ataitikia wito wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge Januari 21, mwaka huu, kama...
26 Reactions
284 Replies
42K Views
WANA LUDEWA WASHIRIKI DUA YA KUMUOMBEA RAIS SAMIA,DC AANDAA FUTARI YA PAMOJA Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe. Victoria Mwanziva,ameungana na wananchi wa Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe katika Dua...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Niaje waungwana Huyu Mhe. Innocent Bashungwa, alikuwa ni miongoni mwa mawaziri wachache sana niliowaheshimu sana katika baraza hili la mawaziri wa raisi Samia. Kila alipopelekwa alionesha...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Inaonekana wazi serikali haiwezi kuendesha shirika lolote. Mwendokasi na hasara za ATC ni mfano wa karibuni juu ya kushindwa huko. Mwendokasi unaenda kutafutiwa muwekezaji kutoka nje!! Huku ni...
20 Reactions
83 Replies
3K Views
Si vibaya kuinyoshea kidole pale kunapokuwa na shida. Kumekuwa na kasumba ya vijana wengi hawasomi mambo badala yake wanakosoa, kutukana na kulaumu bila hata kuchambua hivyo wanavyo ona havijakaa...
0 Reactions
6 Replies
678 Views
Wadau nawasabahi. Serikali ilisema inakabidhi bandari kwa wawekezaji ili kuleta ufanisi baada ya viongozi wazazi kushindwa kuiletea ufanisi. Serikali hiyo hiyo imekabidhi Mwendokasi kwa...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Tax, tarehe 28 machi, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ubelgiji Nchini Tanzania Balozi Zsolt Meszaros na ujumbe...
0 Reactions
1 Replies
678 Views
Rais Samia amesema Ripoti za CAG zinafanyiwa Kazi na watu wanaokwenda kurekebisha makosa ndio sababu kuna Ongezeko la Hati Safi Rais Samia amesema 99% ni Hati Safi na 1% tu ndio Hati chafu...
9 Reactions
97 Replies
5K Views
Ni kubwa sana kiumbo, ikiwa kwenye hadhira, Ni Mamba kama wa Mombo, Sema ye hana madhara, Yakichambuliwa mambo, yatakutia hasira, Mamba huyu mamba gani, mbona hawezi kung'ata? Hukaa kimya...
9 Reactions
34 Replies
2K Views
Hii ni wazi kuwa NHIF iliyopo sasa inafanya siasa zaidi kuliko kujali Afya za watanzania. NHIF walianza kutoa toto kadi bila ya utaratibu au option watoto wa masikini watatibiwaje? Asilmia 90...
7 Reactions
54 Replies
4K Views
Hizi hapa Nukuu za Dkt. Biteko akifichua Mtao wa uhujumu miundombinu 1. ’'Tarehe 13 mwezi wa pili mwaka 2024, BAGAMOYO alikamatwa mtu mmoja pale akiwa na Lita 80 za mafuta ya Transfoma, kesi...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Tarehe 29 Machi, 2023 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na TAKUKURU kwa mwaka 2021/2022. Ripoti...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Wanasiasa wenye mvuto na ushawishi kwa jamii chukueni tahadhari. Wapo watu wameletwa Duniani kuongozwa ila wanatamani kuongoza. Kipindi hiki hali ya tamaa uwaka sana mioyoni mwa wanasiasa. Malipo...
0 Reactions
4 Replies
878 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…