Salaam,Shalom.
Nadhani swali linajieleza.
Kwamba Serikali ya MAPINDUZI Zanzibar Ina dini?
Ikiwa Ina dini, dini Gani?
Na issue ya mtu KUFUNGA ni Tendo la Siri au la hadhara?
Karibuni🙏
Napongeza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar KULAANI waliojichukilia sheria mikononi wakidai kupiga marufuku kula adharani
Ningependa pia yule mtalii aliyetuzwa fedha arejeshewe fedha zake na wale...
WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO
KAULI YA SERIKALI KUHUSU HOJA YA KUTOONEKANA KWENYE MATUMIZI YA SERIKALI SHILINGI TRILIONI 1.51
UTANGULIZI
Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa Kanuni ya 49 ya Kanuni za...
Kutoka katika gazeti la TZD,mtu mmoja ameoandishwa kizimbani kwa kosa la kumuhusisha Rais Magufuli na sakata la upotevu wa sh trilioni 1.5/-
======
MFANYABASHARA, Henry Munisi (30). Mkazi wa...
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameibua tuhuma nzito bungeni kuhusiana malipo ya shilingi triliioni 1.5 ambazo hazijulikani zilipo alizotakiwa kulipa Mkandarasi Kampuni ya Arab Contractors kama...
Kimenuka! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mvutano mkubwa uliotokea Bungeni Dodoma leo na kusababisha mwenyekiti wa Bunge, Najma Giga kuchemka kuliongoza bunge na kurudisha kijiti kwa Spika...
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Assad, amesema ataitikia wito wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge Januari 21, mwaka huu, kama...
WANA LUDEWA WASHIRIKI DUA YA KUMUOMBEA RAIS SAMIA,DC AANDAA FUTARI YA PAMOJA
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe. Victoria Mwanziva,ameungana na wananchi wa Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe katika Dua...
Niaje waungwana
Huyu Mhe. Innocent Bashungwa, alikuwa ni miongoni mwa mawaziri wachache sana niliowaheshimu sana katika baraza hili la mawaziri wa raisi Samia.
Kila alipopelekwa alionesha...
Inaonekana wazi serikali haiwezi kuendesha shirika lolote. Mwendokasi na hasara za ATC ni mfano wa karibuni juu ya kushindwa huko. Mwendokasi unaenda kutafutiwa muwekezaji kutoka nje!! Huku ni...
Si vibaya kuinyoshea kidole pale kunapokuwa na shida.
Kumekuwa na kasumba ya vijana wengi hawasomi mambo badala yake wanakosoa, kutukana na kulaumu bila hata kuchambua hivyo wanavyo ona havijakaa...
Wadau nawasabahi.
Serikali ilisema inakabidhi bandari kwa wawekezaji ili kuleta ufanisi baada ya viongozi wazazi kushindwa kuiletea ufanisi.
Serikali hiyo hiyo imekabidhi Mwendokasi kwa...
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Tax, tarehe 28 machi, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ubelgiji Nchini Tanzania Balozi Zsolt Meszaros na ujumbe...
Rais Samia amesema Ripoti za CAG zinafanyiwa Kazi na watu wanaokwenda kurekebisha makosa ndio sababu kuna Ongezeko la Hati Safi
Rais Samia amesema 99% ni Hati Safi na 1% tu ndio Hati chafu...
Ni kubwa sana kiumbo, ikiwa kwenye hadhira,
Ni Mamba kama wa Mombo, Sema ye hana madhara,
Yakichambuliwa mambo, yatakutia hasira,
Mamba huyu mamba gani, mbona hawezi kung'ata?
Hukaa kimya...
Hii ni wazi kuwa NHIF iliyopo sasa inafanya siasa zaidi kuliko kujali Afya za watanzania.
NHIF walianza kutoa toto kadi bila ya utaratibu au option watoto wa masikini watatibiwaje?
Asilmia 90...
Hizi hapa Nukuu za Dkt. Biteko akifichua Mtao wa uhujumu miundombinu
1. ’'Tarehe 13 mwezi wa pili mwaka 2024, BAGAMOYO alikamatwa mtu mmoja pale akiwa na Lita 80 za mafuta ya Transfoma, kesi...
Tarehe 29 Machi, 2023 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na TAKUKURU kwa mwaka 2021/2022. Ripoti...
Wanasiasa wenye mvuto na ushawishi kwa jamii chukueni tahadhari. Wapo watu wameletwa Duniani kuongozwa ila wanatamani kuongoza.
Kipindi hiki hali ya tamaa uwaka sana mioyoni mwa wanasiasa. Malipo...