Bromensa
Member
- Jan 3, 2024
- 22
- 21
Habari,
Nimeona Ziara ya Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa Paul Makonda mikoani ni kama inamjenga sana yeye kuliko chama na huenda ikamfanya kuwa na ushawishi mkubwa sana ndani ya CCM na nje ya CCM.
Mara nyingi amekuwa akitumia jukwaa kujielezea yeye zaidi kuliko chama.
Nilitegemea kwenye ziara hii angejikita zaidi katika kutoa mwelekeo wa kisiasa kwa wanachama na umma. Hii ni pamoja na kuelezea sera za chama, kutoa mwelekeo wa maendeleo ya kisiasa, na kueleza msimamo wa chama katika masuala mbalimbali.
Vilevile angetumia fursa hii kusikiliza moja kwa moja mahitaji, maoni, na matarajio ya wanachama wa chama. Hii inaweza kusaidia kuunda sera na mikakati inayojibu mahitaji halisi ya wanachama na jamii kwa ujumla.
Take it or leave it
Mara nyingi amekuwa akitumia jukwaa kujielezea yeye zaidi kuliko chama.
Nilitegemea kwenye ziara hii angejikita zaidi katika kutoa mwelekeo wa kisiasa kwa wanachama na umma. Hii ni pamoja na kuelezea sera za chama, kutoa mwelekeo wa maendeleo ya kisiasa, na kueleza msimamo wa chama katika masuala mbalimbali.
Vilevile angetumia fursa hii kusikiliza moja kwa moja mahitaji, maoni, na matarajio ya wanachama wa chama. Hii inaweza kusaidia kuunda sera na mikakati inayojibu mahitaji halisi ya wanachama na jamii kwa ujumla.
Take it or leave it