Ndalichako ulikoni katumbuliwa? Kakanyaga waya nini?

Ndalichako ulikoni katumbuliwa? Kakanyaga waya nini?

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,449
Reaction score
10,304
Msomi huyu nini kimemkuta ktk dakika hizi za majeruhi kuelekea uchaguzi? Maana mida hii kuna umbea na kusagiana kunguni hatari.

Au karopoka sehemu kuhusu uongozi wa mama? Mama hapendi sana kusemwa vibaya na viongozi wenzake. Si mnakumbuka ya Ndugai!!? Ama Ndalichako ndo anaandaliwa kutumbukizwa kwenye sinia lenye urojo (cheo kikubwa zaidi)?

Muda ni mwalimu tutajjua tu ukweli.
 
Nguli ndalichako amekosea wapi.

Maana kapigwa chini kimasihara
Screenshot_20240331_044959_Chrome.jpg



Maana sio bure
 
Msomi huyu nini kimemkuta ktk dakika hizi za majeruhi kuelekea uchaguzi?
Kazi na Ajira hakuna vijana wamezagaa mtaani waziri yupo tu hafanyi makeke yoyote kurahisisha mambo, alafu huyu mpya ndio hachukui muda maana simuelewi
 
Utaumiza kichwa bure.Yanajuana hayo MaCCM..Kapumzishwa tu umumunyaji.Ataibukia kwenye umununyaji sehemu nyingine ni suala la muda tu.
 
Back
Top Bottom