Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,752
- 218,339
Nape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .
Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?
Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?
Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?