Kuna umuhimu gani wa kuwa na wabunge wa kuteuliwa?
Hii tabia ni muendelezo wa kulipana fadhila tu kwa chama tawala ccm.
Mwache mtu agombee apite kwa kupigiwa kura na wananchi kama anakubalika...
Watanzania wenzangu nawasabahi.
Nije kwenye Mada moja kwa moja. Kuna hili suala la WABUNGE wa VITI MAALUMU katika BUNGE letu. Wabunge hawa Wamekuwa wanapatikana bila kupigiwa kura na Wananchi...
Anaandika Humphrey Shao wa Msakuzi Kaskazini.
kiongozi ni lazima awe ni yule anayejishugulisha kufikri kwa sababu ya watu na awe anaendana na watu anawaongoza naona huu ndio Mtazamo...
Kama kuna haja ya kuongeza majimbo ya uchaguzi basi ondoeni ubunge wa viti maalumu. Majimbo mapya ya uchaguzi yaongezwe kwa kupunguza idadi ya viti maalum. Ingependeza kwa kila jimbo 1 la uchaguzi...
ASIYEKUTEUA HAWEZI KUKUTENGUA
KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI
TOLEO LA 2022
IBARA YA 102
Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa
zitakuwa zifuatazo:-
KIFUNGU CHA 12
Kuchagua Katibu wa...
Suala la Katibu Mwenezi wa Taifa wa CCM, Makonda kuwaitisha, kuwataka majibu na kuwapa maelekezo mbalimbali viongozi wakubwa wa nchi limekuwa gumzo kubwa.
Wengine wakisema hana mamlaka hayo na...
Kwa msiofahamu tumbaku hununuliwa na makampuni tofauti. Makampunj yaliyopewa leseni ya kununua tumbaku mkoani Tabora ni pamoja na Voedsel, Alliance One, TLTC, GTI, Mkwawa na mengine nimeyasahau...
Fuatilia kinachojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 15, Kikao cha 3, leo Aprili 4, 2024.
https://www.youtube.com/watch?v=fQ35KHplqx4
NAIBU WAZIRI: SERIKALI INA MKAKATI WA KUPELEKA GESI KATIKA...
Three The Hardway
Lowasa - Kamanda wa UVCCM
Dr Nchimbi - Mwenyekiti UVCCM
Makala - Katibu Mkuu UVCCM
Walitisha Sana na UVCCM ilikuwa Imara kuliko wakati wowote Baada ya TYL
CCM itatuletea...
Wananchi walipaswa kushawishiwa na CCM kwa kasi ya maendeleo. Na hivyo ccm ingreendelea kushamiri na kupendwa na wananchi.
Lkn naona ccm wanahangaika kutafuta MTU sahihi wa kuwashawishi wananchi...
Baada ya tengua na teua zilizotolewa usiku huu, je ndo wakati wa kumleta ndugu Ally Hapi kwenye ulingo wa siasa kama ilivyofanyika kwa Makonda? Let's wait and see.
Sijawahi kudhani kuwa watanzania wengi ( sio wote ) ni wajinga wa ngazi hii tunayoiona. Ndio maana ni ngumu kutofautisha mtanzania wa kidato cha sita na yule wa chuo kikuu. Katika IQ zao, kuwaza...
Nimetafakari na kubaini kuna aina nne za wabunge na kazi zao ( nipo tayari kukosolewa)
1. Wabunge wa Majimbo
Hawa hupigiwa kura na wananchi wa jimbo. Hupewa ridhaa na wananchi wakawakilishe...
Ujio wa Makala pale Uenezi unaibakiza CCM Kuwa Chama Cha wakulima
Tunasubiri safu ya Chadema Ili tujiridhishe kama bado Wana Sifa ya Chama Cha Wasomi na Wajanja like akina Bob Mazishi
Kwako...
Hili ni ombi langu kwenu tume, kwamba uchaguzi ujao, punguzeni majimbo ya uchaguzi. Hatuwezi kuendelea kwa kuwa na majimbo kila mtaa. Ongezeko la majimbo limeifanya siasa kuwa ni agenda ya nchi...
Serikali ina mkakati wa kubana matumizi na ndiyo maana hawaongezi mishahara. Cha ajabu sana watu wamekuwa wakilalamika tu hata upinzani bila hata kutoa ushauri wafanyaje kubana matumizi. Mimi...
Ndugu wanajamvi karibuni kwenye Mada inayohusu Ugawaji wa Majimbo ya Uchaguzi Tanzania. Nikiwa mdau wa Siasa za Tanzania najua na hata wewe unajua kuwa mwaka 2020 ambao ni mwaka tutakaofanya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atazindua Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, leo, Aprili 3, 2024, Ukumbi wa JNICC.
Tume hii ina majukumu muhimu kama kusimamia sheria...
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi ameshiriki vikao vya kikatiba vya CCM ngazi ya Taifa na Kamati Kuu ya...
Ni kweli CCM haina hazina ya wanachama bali wanavikundi vya kusifu na kuabudu ambavyo vimejaa vijana wengi Machawaa lakini hawana weredi wowote?
Je, ingekuwa na hazina isingekuwa inarudia kuteua...