Kuna baadhi ya teuzi au hata chaguzi ambazo hutaelewa kwanini zimekuwa hivyo kwani sio kila teuzi/chaguzi zinafanywa kwa matakwa ya binadamu!
Viongozi wakubwa waliopo ni mipango either kutoka Juu...
Bunge limefanya mabadiliko madogo ya sheria ya idara ya Uhamiaji ambapo sasa litakuwa ni jeshi kamili litakalowajibika moja kwa moja kwa Amiri Jeshi Mkuu
Waziri wa Mambo ya Ndani mh Simbachawene...
https://www.youtube.com/watch?v=xoyfxK2zxJk
Nipo nawasikiliza Wachambuzi wa masuala ya Sias wakijadili Katiba Mpya.
Baadhi ya washiriki wa mjadala ni:
Dkt. Anna Henga, Mkurugenzi Mtendaji, LHRC...
Nimepitia mitandao ya kijamii ya walioteliwa wote, wameonyesha furaha na shukrani.
Makonda ni kama kichwa gia zinaruka, mpaka sasa haamini kama hayupo jikoni, kapelekwa akakusanye kuni, hajatoa...
As campaign heats up, candidates sling pledges
By Richard Mgamba
5th September 2010
Just two weeks since the campaign for the presidency kicked off, the three front-running candidates are...
Nikijitambua kama mzalendo kamili nchini sitasita kutoa maoni yangu kuntu hususani linapokuja swala la umeme kukatika nchi nzima kwa visingizio visivyo na mashiko kwa wanasayansi kama mimi...
Leo jumatatu katika kipindi cha Dakika 45 cha ITV kinachoongozwa na Farhia Middle aliyekuwa Waziri wa Kilimo na pia kada maarufu wa CCM amekiri kuhujumu katiba ya Warioba ambayo ilipendekeza...
Kwa namna tunavyoenda, hakika nchi hii tutaendelea kunung'unika na kulaumiana milele na kuwataja wenzetu wa mahali pengine Duniani wanavyosonga mbele. Sababu mojawapo kubwa ni kwamba hatutaki...
MBUNGE MAVUNDE KUWAPATIA MEZA NA VIFAA VYA KISASA MAMA LISHE WA STENDI KUU YA MABASI DODOMA
- Atatua mgogoro wa wamachinga na Mama Lishe kuhamishwa
- Ashauri wasiondolewe katika maeneo yao kwa...
Mkoa wa Arusha ni mkoa wa kitalii, unapokea maelfu ya watalii kutoka Ulaya na Marekani. Ni vyema basi, kutokana na mabadiliko ya kiutawala, na watalii huwa hawapendi rabsha, wamekuja kupumzika na...
Hawa watu sijui ni wanamdharau mama au ni nini hiki?
Yani inawezekanaje usimjue mdeni wako?
--
Ukaguzi wa CAG umebaini TTCL ina madeni makubwa ya TZS bilioni 21, lakini uongozi haukuweza kutambua...
Toka Rais Samia ameingia madarakani amekuwa na mwendo wa panga pangua nyingi kutoka kwenye Chama hadi kwenye serikali yake, Panga pangua zake amekua akizifanya kwa mantiki ya kufanya maboresho na...
Magazeti yanayoheshimika hapa Tanzania yote yamekuja na habari tajwa hapo juu. Hii inahitimisha ubishi wa jana ya kuwa Zitto ameshindwa kutaja majina ya wahujumu uchumi hao hapo jana Mwembeyanga...
Ndugu zangu Watanzania, uchapakazi wa Mheshimiwa Makonda, ujasiri wake, uzalendo wake, kujitoa kwake kutetea wanyonge, ushupavu na umadhubuti wake umewakosha na kukonga mioyo ya Watanzania...
Utakubaliana na mimi kuwa CCM inayumba sana kwa sasa kutokana na nafasi ya katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo taifa. Kila aliyeshika hiyo nafasi, kama hakupwaya basi aliishia kuwagawa wanaCCM...
Majina ya mmoja wao atakaye teuliwa kuwa katibu mwenezi yametangazwa lakini laa! Orodha iliyotolewa inasikitisha sana kwani haifsnani na CCM tuijuayo, hii imepwaya haina wanasiasa.
Bila kuwa...
Huyu jamaa anafanya Micromanagement, ukiwa na kiongozi mwenye hizi Character, ngumu kutoboa.
Nilidhan Biteko ni akili kubwa angedeal na tatizo once and for all kutatua tatizo la umeme.
Tangu...
Mshirika wa karibu na Waziri wa zamani wa mipango madam Judith Tuluka ameteuliwa na Rais Felix Tchisekedi kuwa Waziri Mkuu wa kwanza Mwanamke Nchini DRC.
Madam Tuluka ataunga Baraza la Mawaziri...
Ndugu zangu nimeona nianze kwa kuweka mstari huu wa Biblia kwa kuwa Magufuli anamweshimu Mungu na kwa kinywa chake amekuwa akikiri kuwa msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mimi pia nimependa niendelee...
"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.