Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kutokana na upungufu mkubwa wa walimu wa vyuo vya VETA nchini kamati ya bunge ya PAC yaishauri serikalini iajiri walimu toka India na China Waliongea hilo wakiwa Singida kukagua chuo cha VETA...
4 Reactions
88 Replies
4K Views
Wasalam mabibi na mababu.. Nikiwa katika Tafakari kubwa sana ni kipi kimemfanya Rais Samia kumtoa Makonda kwenye Uenezi na kumpeleka kama mkuu wa Mkoa wa Arusha! Japokuwa mitaa haiishii soga kuna...
0 Reactions
7 Replies
998 Views
Naibu Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko ametangaza kufuta likizo kwa watumishi wote wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) akiwataka wote wawe kazini kukabiliana na changamoto ya upungufu wa umeme...
9 Reactions
91 Replies
7K Views
Eti mwenzenu mimi sioni kama tunaweza kujenga uchumi imara bila kuwa wazalishaji. Biashara sioni kama ni muhimili wa jishikilia. Mimi nikiangalia nchi nilizochagua (sijui zingine) zimepanda kwa...
8 Reactions
7 Replies
5K Views
Naanza kuelewa Sasa, huwenda ni kweli kwamba Watanzania ni watu wa hovyo na ambao hawawezi Kila kitu na hawawezi Kuibadirisha nchi Yao kutoka Hali mbaya ya umasikini na kuwa nchi yenye neema na...
10 Reactions
83 Replies
4K Views
Nimekaa nimewaza sana nikafika mpaka kuwalaumu Wazungu na Mabeberu kwa propaganda na mambo yanayoendelea Africa.. Mwisho nikakumbuka tatizo ni Wa Africa wenyewe kila Nchi viongozi wake hupambana...
0 Reactions
0 Replies
336 Views
Serikali ya Marekani imemuweka Paulo Makonda kwenye orodha ya Watu hatari duniani, huyu hatakiwi kukanyaga Marekani na nchi washirika wa Marekani. Anatuhumiwa kuhusika na usitishaji wa Uhai wa...
18 Reactions
73 Replies
5K Views
Kila kinachofanywa na serikali yetu pendwa ni utekelezaji yakinifu wa ilani ya chama kilichopo madarakani. Wananchi ndiyo wanaoiweka serikali madarakani kwa kuchagua chama kitakachoiendesha...
0 Reactions
0 Replies
387 Views
Wadau nawasalimu.Watanzania Tumekuwa tunapiga kelele KUDAI KATIBA MPYA. Viongozi badala ya kuendeleza Mchakato wa Kupata KATIBA MPYA wameanzisha Jambo jipya na lisilo na TIJA la Kurekebisha baadhi...
0 Reactions
0 Replies
338 Views
Kwa bahati mbaya, watu wengi, na wengine wapo ofisi za juu kabisa katika nchi, wanajua historia ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar kinadharia kwa kuegemea tu yale yaliyoandikwa, japo siyo...
2 Reactions
11 Replies
731 Views
Polisi wanaingia kazini kuchunguza madai ya Makonda kutishia kumuua Salah.
6 Reactions
88 Replies
8K Views
Rais Samia kila akigusa mahali pa moto sasa analazimika kutumia wapambe wa Magufuli kujaribu kuimarisha utawala wake lakini mambo bado Moto. Hivi Rais Samia anashindwa vipi kuwa na timu yake...
10 Reactions
58 Replies
3K Views
Rais Samia amesema suluhu ya Tatizo la umeme itapatikana April 2024 baada ya Bwawa la Mwalimu Nyerere kuzalisha umeme wa Megawatt.470-500 Mambo mazuri yanakuja tuwe na subira --- Rais Samia...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Wanabodi Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli...
56 Reactions
165 Replies
10K Views
Habari za Sikukuu ya Pasaka! Moja ya dalili kubwa kuwa taifa fulani halina rasilimali Watu ni kwa kuangalia safu ya viongozi na watawala. Ukiona Watu wanaoteuliwa ni walewale yanaitwa miaka...
12 Reactions
41 Replies
2K Views
Kuwa na Maprofessor wengi siyo kigezo cha kuongeza kipato Mkoani West Lake (Kagera). Makamu Mwenyekiti anaongelea tangu Uhuru Serikali imeweka miundombinu gani kuwezesha Mkoa wa West Lake...
1 Reactions
4 Replies
926 Views
Waumini wa KKKT Azania Front jana walimuaga rasmi Mkuu mpya wa Kanisa hilo Askofu Dr Malasusa anayehamia Arusha Risala ya kumuaga ilisomwa wakati wa Ibada ya Pasaka na alizawadiwa Zawadi...
6 Reactions
59 Replies
4K Views
Wana bodi, ni tumaini langu unaendelea vizuri na sherehe za pasàka pili. Baada ya kusikia Kwa muda mrefu suala la watu tofauti tofauti kujitokeza na kudai watamchangia Mama pesa za kugombea Urais...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Ben Mkapa ndio alikuwa tegemeo la kufanya maamuzi kwenye nyakati ngumu Alale Pema Peponi Sasa Chadema kwa Uhuni wao wanatamba sana!
2 Reactions
7 Replies
566 Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amepokea salamu za pole nyumbani kwake Migombani kutoka kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF) Jenerali John Jacob...
2 Reactions
57 Replies
4K Views
Back
Top Bottom