Kutokana na upungufu mkubwa wa walimu wa vyuo vya VETA nchini kamati ya bunge ya PAC yaishauri serikalini iajiri walimu toka India na China
Waliongea hilo wakiwa Singida kukagua chuo cha VETA kilichojengwa na serikali
Wakasema Vyuo vya VETA nchi nzima vina upungufu mkubwa mno wa walimu. Miundombinu yote mizurri sana yote ipo tena ya kisasa .Tatizo ukosefu wa walimu wa VETA.
Kwa hiyo wakatoa ushauri kwa serikali iajiri walimu toka India na China ambako wako wengi tu wakati nchi ikijipanga kuwa na walimu wa kutosha wa VETA
Source: ITV habari saa moja Asubuhi
Waliongea hilo wakiwa Singida kukagua chuo cha VETA kilichojengwa na serikali
Wakasema Vyuo vya VETA nchi nzima vina upungufu mkubwa mno wa walimu. Miundombinu yote mizurri sana yote ipo tena ya kisasa .Tatizo ukosefu wa walimu wa VETA.
Kwa hiyo wakatoa ushauri kwa serikali iajiri walimu toka India na China ambako wako wengi tu wakati nchi ikijipanga kuwa na walimu wa kutosha wa VETA
Source: ITV habari saa moja Asubuhi