Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Fuatilia kinachojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 15, Kikao cha 3, leo Aprili 4, 2024. https://www.youtube.com/watch?v=fQ35KHplqx4 NAIBU WAZIRI: SERIKALI INA MKAKATI WA KUPELEKA GESI KATIKA...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Three The Hardway Lowasa - Kamanda wa UVCCM Dr Nchimbi - Mwenyekiti UVCCM Makala - Katibu Mkuu UVCCM Walitisha Sana na UVCCM ilikuwa Imara kuliko wakati wowote Baada ya TYL CCM itatuletea...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Wananchi walipaswa kushawishiwa na CCM kwa kasi ya maendeleo. Na hivyo ccm ingreendelea kushamiri na kupendwa na wananchi. Lkn naona ccm wanahangaika kutafuta MTU sahihi wa kuwashawishi wananchi...
12 Reactions
34 Replies
2K Views
Baada ya tengua na teua zilizotolewa usiku huu, je ndo wakati wa kumleta ndugu Ally Hapi kwenye ulingo wa siasa kama ilivyofanyika kwa Makonda? Let's wait and see.
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Sijawahi kudhani kuwa watanzania wengi ( sio wote ) ni wajinga wa ngazi hii tunayoiona. Ndio maana ni ngumu kutofautisha mtanzania wa kidato cha sita na yule wa chuo kikuu. Katika IQ zao, kuwaza...
78 Reactions
693 Replies
58K Views
Nimetafakari na kubaini kuna aina nne za wabunge na kazi zao ( nipo tayari kukosolewa) 1. Wabunge wa Majimbo Hawa hupigiwa kura na wananchi wa jimbo. Hupewa ridhaa na wananchi wakawakilishe...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Ujio wa Makala pale Uenezi unaibakiza CCM Kuwa Chama Cha wakulima Tunasubiri safu ya Chadema Ili tujiridhishe kama bado Wana Sifa ya Chama Cha Wasomi na Wajanja like akina Bob Mazishi Kwako...
1 Reactions
15 Replies
831 Views
Hili ni ombi langu kwenu tume, kwamba uchaguzi ujao, punguzeni majimbo ya uchaguzi. Hatuwezi kuendelea kwa kuwa na majimbo kila mtaa. Ongezeko la majimbo limeifanya siasa kuwa ni agenda ya nchi...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Serikali ina mkakati wa kubana matumizi na ndiyo maana hawaongezi mishahara. Cha ajabu sana watu wamekuwa wakilalamika tu hata upinzani bila hata kutoa ushauri wafanyaje kubana matumizi. Mimi...
7 Reactions
66 Replies
6K Views
Ndugu wanajamvi karibuni kwenye Mada inayohusu Ugawaji wa Majimbo ya Uchaguzi Tanzania. Nikiwa mdau wa Siasa za Tanzania najua na hata wewe unajua kuwa mwaka 2020 ambao ni mwaka tutakaofanya...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atazindua Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, leo, Aprili 3, 2024, Ukumbi wa JNICC. Tume hii ina majukumu muhimu kama kusimamia sheria...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi ameshiriki vikao vya kikatiba vya CCM ngazi ya Taifa na Kamati Kuu ya...
0 Reactions
1 Replies
590 Views
Ni kweli CCM haina hazina ya wanachama bali wanavikundi vya kusifu na kuabudu ambavyo vimejaa vijana wengi Machawaa lakini hawana weredi wowote? Je, ingekuwa na hazina isingekuwa inarudia kuteua...
0 Reactions
0 Replies
297 Views
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameshiriki vikao vya kikatiba vya CCM ngazi ya Taifa na Kamati Kuu ya Halmashauri...
0 Reactions
3 Replies
696 Views
Huu mfumo kuwapa wabunge pensheni kila baada ya miaka mitano haufai. Ingefaa Wabunge walipwe pensheni baada ya mbunge kuachia ubunge na kutokuwa mbunge angalau miaka 10 mfululizo. Ikitokea baada...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
MWENGE WA UHURU UNAOSEMEKANA UMILIKE PALE PASIPO NA HAKI, LEO 2024 KWA ZUKA TAFRANI YA HAKI Wananchi hao vijiji vya wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro wadai ardhi yao kuporwa na mamlaka ya Bonde...
7 Reactions
21 Replies
3K Views
Mtoto wa Makamu wa kwanza na Waziri Mkuu mstaafu Mhe. John Malecela Bw. Samwel Malecela hivi sasa anafanya kampeni kubwa kupitia watendaji wa kata 19 za Mtera ili apate nafasi ya kugombea ubunge...
5 Reactions
146 Replies
23K Views
Heri ya pasaka kwa wanajukwaa na waumini wote. Waliofunga nawatakia swaum njema Kutokana na kuondolewa Makonda kwenye nafasi yake ya Itikadi na Uenezi ndani ya chama na kwenda kuwa RC Arusha...
6 Reactions
49 Replies
4K Views
Gari ya Lissu tuliiona, na matundu ya risasi tuliyaona, vipi gari ya Mzee Ole Sendeka iliyoshambuliwa kwa mvua ya "mirisasi" mmeiona? Naomba picha nilione na mie Pia soma > Mbunge wa Simanjiro...
12 Reactions
52 Replies
4K Views
Awamu ya tano ya Mh. Rais Magufuri watu wengi waliisema kwa udikteta na mambo mengine kama hayo lakini angalau kwenye teuzi alijaribu kuweka sura na majina mapya Awamu hii ni kama watu...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom