Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakati mwingine watu wanajiuliza hili jimbo lilianzishwa kimakosa? Barabara zote muhimu ni chakavu na sio za lami. Nilipita barabara ya kibanda cha mkaa kwenda mjimpya nikajiuliza hili jimbo lina...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Kuna clip inasambaa kwamba wananchi wameitwa kwa Mhe. Rais huko Zanzibar kupewa zawadi ya Idd, mmoja wa wananchi hao ameonyesha kukerwa na kitendo cha kupewa bahasha yenye Tsh. 5,000 akidai hata...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Nawapongeza sana UVCCM maana wanachofanya siku zote ni kuwaheshimisha vijana, huwezi kukuta UVCCM wanapanga kufanya maandamano huku wakijua vijana wanatakiwa kutafuta ugali wao muda huo...
1 Reactions
3 Replies
486 Views
Wakuu mimi mtoto wa mkulima, na nimekuja mujini kutafuta maisha. Sasa naona wameingia viongozi wapya CCM, hasa uenezi. Msingi mkubwa wao wanatamba kuwa ni watoto wa mujini. Sasa CCM inaweza...
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Wanajuana vizuri, wana mtindo wa uongozi unaofanana, wana uwezo wa kuongea, wanaijua vyema CCM, wanawajua vyema upinzani na kwakweli wana uwezo wa kuwajibu wapinzani visingizio na malalamiko yao...
1 Reactions
80 Replies
3K Views
Mzee Makala natabiri atakaa kwa muda mfupi sana kwenye nafasi mpya. Changamoto kubwa iliyopo ni kukalia kiti cha mtu anayeamini yupo sahihi na anaweza kuliko wote. Team Makonda are not happy na...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
MAPIGO 10 YA CCM KWA MZEE LOWASSA. Haikuwa Jambo rahisi kwa CCM kumshuhudia Kiongozi mkubwa ngazi (Waziri Mkuu) kukihama CCM na kujiunga na Chama cha upinzani CHADEMA. Usiwaone leo CCM msibani...
13 Reactions
99 Replies
6K Views
Sasa wapiga kura, wananchi, walipa kodi, tumeanza kujua kiini cha Teua-Tengua zinazoendelea kila baada ya miezi miwili au mitatu. Wengi wanaokumbwa si kwamba hawafanyi kazi, la hasha! Wengine si...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Kuzaliwa tu DSM hakukufanyi Kuwa Mtoto wa Mjini kwa maana ya MJINI au Mission Town Wazaliwa wengi wa DSM ni walugaluga waliopitiliza na mifano ni mingi tu tukianza na Manara aliyezaliwa Kigogo na...
3 Reactions
8 Replies
712 Views
Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika Hili suala haina...
13 Reactions
220 Replies
13K Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, makala ya leo ni kuhusu umuhimu wa viongozi wetu na haswa wakuu wa Mihimili lazima sio tuu wawe wasomi...
30 Reactions
169 Replies
11K Views
Nimesikitishwa sana na mavazi (sare) ya viongozi mbalimbali waliohudhuria Uzinduzi wa kinachoitwa Mbio za Mwenge, kwa nchi masikini kama hii inayoomba omba kila mara kutumia hela za umma ili...
10 Reactions
62 Replies
5K Views
Wafu wengi wanashindwa kumwelewa Dkt. Biteko, lakini wale ambao wanajua maana ya uongozi wanatambua kipaji alicho nacho kijana huyu. Tanesco imepata kiongozi na tanesco chini ya biteko inakuja...
1 Reactions
2 Replies
947 Views
Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Ndugu. Amos Makalla amesema amekuwa akisoma Mitandaoni na kuona baadhi ya Watu wanamkumbusha majukumu yake, amewaambia “Anayaelewa”...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj. Dk. Hussein Ali Mwinyi ameahidi kuendeleza ushirikiano wa muda mrefu uliopo kati ya Zanzibar na Oman. Rais Alhaj Dk.Mwinyi amesema...
0 Reactions
1 Replies
525 Views
HOJA ZA MAPINGAMIZI YA SERIKALI YA MUUNGANO NA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR KUHUSU KESI YA BANDARI YATUPITILIWA MBALI, KESI YA MSINGI YA KIKATIBA SASA KUPANGIWA TAREHE YA KUANZA KUSIKILIZWA...
6 Reactions
4 Replies
2K Views
Baada ya mabadiliko ya Mwenezi ndani ya chama cha Mapinduzi kuna kila dalili ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kurithi mikoba ya Makonda ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha! Pia...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Nimemsikia Makala akitamba Kuwa yeye kazaliwa Mivinjeni Kilwa road so hakuna wa kumbabaisha Mongella amesema yeye kazaliwa Kariakoo kwenye makao makuu ya Saigon so hakuna wa kumtishia Kumbe...
2 Reactions
19 Replies
883 Views
WAZAZI SIMAMIENI MAADILI YA WATOTO WENU - MHE. HEMED SULEIMAN ABDULLA Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla amewataka Wazazi na walezi kuwasimamia vyema watoto wao na...
0 Reactions
0 Replies
414 Views
Hii safu mpya iliyoingia CcM inachokosa ni Agenda. Haiwezekani mkutano wa kwanza kwa umma usiwe na issue za nini watafanya kwa wananchi katika kuzisimamia serikali. Unapokuwa na kikao cha kwanza...
5 Reactions
5 Replies
827 Views
Back
Top Bottom