MWENGE WA UHURU UNAOSEMEKANA UMILIKE PALE PASIPO NA HAKI, LEO 2024 KWA ZUKA TAFRANI YA HAKI
Wananchi hao vijiji vya wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro wadai ardhi yao kuporwa na mamlaka ya Bonde la Pangani, hivyo walikuja na mabango kuonesha kero wanayopitia lakini mabango yao yalikumbana nguvu ya vyombo vya dola ...
Ni imani yetu kuwa uwepo wa tovuti hii utaongeza ushiriki wa wadau katika ulinzi na uhifadhi wa vyanzo vya maji kulingana na kauli mbiu yetu ambayo inasema katika tovuti ya Bonde la Pangani
Wananchi hao vijiji vya wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro wadai ardhi yao kuporwa na mamlaka ya Bonde la Pangani, hivyo walikuja na mabango kuonesha kero wanayopitia lakini mabango yao yalikumbana nguvu ya vyombo vya dola ...
Bodi ya Maji ya Bonde la Pangani’. kazi zake ni kutoa elimu ya uelewa wa Bonde na utendaji kazi wake, kupata taarifa muhimu, kutoa maoni, kujadili changamoto, kuleta fursa na kupendekeza mbinu bora ya kusonga mbele ili tufikie lengo letu la pamoja la kusimamia Rasilimali za Maji kwa njia endelevu.Ni imani yetu kuwa uwepo wa tovuti hii utaongeza ushiriki wa wadau katika ulinzi na uhifadhi wa vyanzo vya maji kulingana na kauli mbiu yetu ambayo inasema katika tovuti ya Bonde la Pangani