Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwenye mhadhara wa kudai katiba mpya ulioandaliwa na chama cha wananchi leo wajumbe wamesema lazima kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025 twende na katiba mpya na wamemtaka rais Samia kuachana na mambo...
20 Reactions
71 Replies
8K Views
Kama malalamiko yaliyotolewa bungeni na mbunge wa mafinga bwana Chumi kwamba Tanesco wameshaanza mchakato wa kuanza kuagiza tena nguzo za umeme nje nchi ni ya kweli basi Tanzania uzalendo ni kitu...
8 Reactions
45 Replies
5K Views
Uzembe na utendaji mbovu ukiandamana sambamba na hujuma na ufisadi, katika wizara ya Nishati.Ndio hasa imekuwa chanzo cha sakata la kuadimika kwa nishati ya umeme nchini kwa sasa. Wakati hali...
21 Reactions
151 Replies
19K Views
Mara baada ya Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa kujiunga na kuinunua CHADEMA ili awe mgombea urais mwaka 2015 , kitu cha kwanza kabisa alipokabidhiwa tu chama alipiga marufuku siasa za kiharakati...
12 Reactions
64 Replies
9K Views
Mchambuzi kwenye gazeti hilo ambaye ni mfanyakazi aliyepita wa shirika la afya duniani (WHO) amesema kitendo cha Magufuli kukataa lock down nchini Tanzania kuliokoa maisha ya maelfu ya watu hasa...
74 Reactions
246 Replies
21K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa CHADEMA kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo...
5 Reactions
72 Replies
8K Views
Leo aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amefika mahakamani kuendelea na kesi yake ya uhujumu uchumi inayomkabiri. Sabaya ameonekana mwenye furaha na tabasamu tele usoni mwake...
7 Reactions
101 Replies
9K Views
Mbunge wa Geita vijijini Mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi. Musukuma amesema Hayati...
25 Reactions
153 Replies
17K Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema hali ya kisiasa kwa chama hicho inazidi kuwa mbaya zaidi kwenye serikali ya awamu ya sita chini ya rais Samia Suluhu kwa sababu sasa hawaruhusiwi...
7 Reactions
47 Replies
5K Views
Mwenyekiti wa Chadema taifa Freeman Mbowe amesema serikali ya Rais Samia imeamua kumtoa kafara aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na kuwaacha wahalifu wengine ikiwemo waliompiga...
7 Reactions
58 Replies
10K Views
Baada ya jana askofu Gwajima kugomea baadhi ya mambo kwenye kamati ya kumhoji ,leo tena mbunge wa Ukonga Jerry Slaa akielekea kuhojiwa kwenye kamati ya bunge alipofika kwenye geti aligoma...
6 Reactions
93 Replies
12K Views
Ni kweli chadema na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana CCM wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na...
32 Reactions
227 Replies
19K Views
Msemaji Mkuu wa Serikali bwana Gerson Msigwa amefichua siri kuwa Hayati Rais Magufuli alikuwa analala anapokuwa na usingizi tu na ikitokea hana usingizi usiku mzima basi na wasaidizi wake wote...
14 Reactions
97 Replies
9K Views
Hospitali kubwa na ya kisasa kupita hata hospitali ya KCMC ya kanda ya Chato imefunguliwa rasmi na kuanza kutoa huduma bora kabisa kwenye ukanda wote wa maziwa makuu. Kumbuka maendeleo ya Chato...
14 Reactions
148 Replies
54K Views
Nilijiuliza sana ina maana pamoja na makelele yote hayo hata ndani ya Chadema hawamwamini makamu mwenyekiti wao? Sasa huyu Lisu anaamika wapi maana hata kura za urais alipata kura chache sana mkoa...
9 Reactions
10 Replies
2K Views
Mh. Rais Samia, sisi wana CCM tunakuomba kama ulivyoguswa na maombi ya watu mbalimbali ya kutaka umwachie Mbowe anayetuhumiwa kwa tuhuma nzito za ugaidi na kupanga njama za kuua viongozi wa...
9 Reactions
109 Replies
11K Views
Mwenzetu huyu amejipa kazi ya kupiga domo na kukosoa kila kitu kinachofanywa na watawala, kwake yeye hakuna jema hata moja liliofanyika hapa nchini! Kutwa kuongeaongea tu kwenye makongamano bila...
15 Reactions
192 Replies
14K Views
Fuatilia kinachojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 15, Kikao cha 5, leo Aprili 8, 2024 jijini Dodoma. https://www.youtube.com/watch?v=RWUrwI58Nt4 Mbunge wa Musoma Mjini (CCM) Vedastus Manyinyi...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu zangu nimekutana na wazee wenye heshima zao na wamo ndani ya CCM wakilaumu mpango mzima wa Serikali wakutaka kupora hela zao za kustaafu eti kwa kigezo cha kuwapa kidogo kidogo kustaafu...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Naona sasa maandamano yameshika kasi na kila mtu anayataka. Watu wa Arusha wametutamanisha. Maandamano ni haki ya kila mtu, ikiwemo wafanyakazi wa umma na sekta binafsi. Kuna hili la hovyo...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
Back
Top Bottom