Mchambuzi wa masuala ya siasa Kaiza Buberwa amebainisha kuwa nchi inaendelea kukabiliwa na changamoto za kisiasa kwa sababu watawala wamekuwa wakiahirisha matatizo badala ya kuyapatia ufumbuzi wa...
Kupitia mambo mengi yanayoendelea nchini kwetu, mengi yanazungumzwa tena Kwa Ushabiki,
Ninawaza kwamba hivi kwanini tusiwe na Azimio la Chato ambalo litazungumza haya
1.Mtanzania huruhusiwi...
Hii inaanzia Kwa mkubwa alafu Kwa kina Jerry Muro, Makonda, na Happi wa Iringa
Kufoka foka sio kipimo cha Utendaji bora....Na wala sio kila anayefokewa atawajibika kwa ufasaha kutekeleza...
“KAFITI HATOSHI ILEMELA?”KAULI YA RC MWANZA KWA KAFITI “KUKALIA KITI NUNUSU”.
Siku chache zilizopita Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, alitoa kauli yenye mashaka na utata ndani yake kuhusu...
Nafikiri nitaeleweka kirahisi.
Tujadili kuhusu; Commission of Inquiry into the Post-Election Violence (CIPEV), chini ya Jaji Philip Waki,
Waki Commission (Tume ya Waki) iliundwa kwa tangazo la...
===
Wana jamii forum hii ndio habari kuu mpya toka mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa kuwa Mhe Dkt Emmanuel Nchimbi ndio Mgombea mwezi wa CCM katika Uchaguzi Mkuu Ujao Oct 2025...
Mambo hayaendi kabisa halishikiki jambo, Mafaili yamejichanganya sana,
La Kina Makamba halijafanyiwa kazi
La Morogoro bado
La Report ya Uchumi
La Mali za Chama
La Bandari Mpya mtwara
La Usumbufu...
The only thing that can cast out hate is love among Tanzanians,
Magufuli being tyranny direct means CCM's tyrannos might prevail if we don't be careful
We remember that CCM made mistakes and...
Deni limekuwa likilipwa vizuri tu, ila awamu ya 5 wakawa wajuaji jamaa akachomoa waya terminal huko S.A.
Sijui atakuwa ni kabudi kashauri waache?
Hata E-mail inaeleza aloandikiwa Kabudi na Mdai...
Inaonekana wazi wazi kuwa asilimia kubwa ya wafanyakazi na wateule wa Rais wanamtukuza kiunafiki,
Nchi yoyote ambayo ilijenga utaratibu wa kumtukuza Rais au kiongozi wake haikusimama
Tumpongeze...
Ni Kama kausahau unafiki wa Watanzania,
Hawa hawa kina Lemutuz na Makonda walikuwa wananyenyekea Kwa Kikwete lakin wamepata muabudiwa mpya
Usishangae Mwaka 2026 akiwa amekubali kuachia madaraka...
Unadhani kwanini baadhi ya vyama vya siasa vya upinzani nchini Tanzania vimeaamua kuacha kupambana kutafuta kuungwa mkono na wananchi kwa kutumia itikadi za vyama vyao, sera na agenda za kuvutia...
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amemwandikia barua ya kuomba apumzike Umakamu wa Rais ambapo amesema baada ya kutafakari ameridhia ombi hilo...
Wakuu,
Mwaka 2017 Dkt. Nchimbi alipewa onyo kali huku wanachama wengine wakivuliwa uachama kutokana na utovu wa nidhamu kwenye chama baada ya kumkataa Magufuli na kumsapoti Lowasa kwenye...
Mimi ni Amos Ngosha, ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vyombo vya Habari vya Utangazaji Tanzania. Huu ni umoja wa vyombo vya habari vyenyewe, sio wamiliki wa vyombo vya habari.
Kwanza tunasema kuna ule...
Habari wana JF
Kama kichwa kinafyojieleza hapo juu.
Hii mikataba mbalimbali ya kimataifa ambayo serikali husaini kwa ajili ya ushirikiano wa kimataifa na upatikanaji wa fedha za maendeleo kwa...
Happy Sunday guys ❤️
Humu jukwaani kuna ile standard Ukiingia jukwaa fulani, unajua utakutana na nini
Ukiingia jukwaa kama hili la siasa unajua kabisa utakutana na quality fulani
Hata kama huyu...
"Mimi pia maneno yale, nilikuwa wakili wa kwanza kufanya kesi ya ugaidi mahakamani kuwatetea watu, mashehe wa Arusha, waliokaa gerezani kwa miaka tisa. Halafu baadaye mahakama ikathibitisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.