Mwandishi wa habari Khalifa Said amesema mali ambazo CCM imekuwa ikizitaja kuwa ni mali zake zinapaswa kuangaliwa upya, akidai nyingi zilipatikana kwa fedha za umma zilizotokana na kodi za...
Nairobi, Kenya. Wanaharakati wa haki za binadamu nchini Kenya wameandamana katika mitaa ya Nairobi wakitaka Serikali ya Uganda kumuachilia mara moja kiongozi mkongwe wa upinzani, Dk Kizza Besigye...
Jambo la kwanza ni kwamba ametaja ripoti za SADC, EU, Commonwealth na Thabo Mbeki Foundation. Kama sehemu za ripoti hizo zitaruhusiwa kutumika kama ushahidi mahakamani, upande wa utetezi unaweza...
ATCL KUANZA SAFARI ZA URUSI JUNI 2025
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, amesema kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), linatarajia kuanza...
Mwaka 2013-2014 wakati kesi ya Kenyatta na Rutto zinarindima kwenye mahakama ya uhalifu wa kimataifa (ICC-The Hague), njia kuu iliyotumika kuzima sakata ni kuharibu ushahidi kwa kuuficha, na kuua...
Siku hizi Anakamatwa Mtu ,lkn unashindwa kujua, Amekamatwa au Ametekwa!.
Ametekwa na Jeshi la Polisi ? Ametekwa na Usàlama? Ametekwa na Wahalifu ?.
Nmekua Mstari mbele nikikemea Tabia hii ya...
Nadhani hakuna ubishi wala mashaka dhidi ya haiba, uwezo, uzoefu, uadilifu na weledi wa Dr. Emmanuel John Nchimbi kwenye nafasi yake kama makamu wa Rais wa Tanzania. Mungwana amesimana vizuri...
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu ameyasema hayo Leo, Septemba 3, 2026 alipokuwa mahakani kwenye mwendelezo wa Kesi inayomkabili ya shitaka la uhaini.
Lissu amesema " Watu wenye hatia ndio...
25 Aprili 2025
https://m.youtube.com/watch?v=wbk2XLS77j8
Ushindi haupatikani kwa kutegemea 'chawa' wala wingi wa kadi. Watu wana kadi na mapenzi kwa vyama hata vitatu. CCM iwe makini wanatakiwa...
haya ndiyo mambo ya kujadiliwa na wasomi.
Lisu katenda lipi kati ya haya
IN THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA AT ZANZIBAR
(CORAM: KISANGA J.A, RAMADHANI , J.A, And LUGAKINGIRA, J.A.)
CRIMINAL...
https://www.youtube.com/live/BdUex_A8m7A
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwaapisha Wakuu wa Mikoa na Katibu Tawala wa Mkoa, Ikulu Ndogo ya Tunguu...
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa (NEC) na Mbunge wa Karagwe, Innocent Bashungwa amesema uamuzi uliochukuliwa na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumvua uanachama...
Viongozi wa dini, ni waonesha njia, najiuliza, kwa sasa wanaonyesha njia Gani ikiwa uovu umetamalaki nchini? Watu wanapotea, wanatekwa na kuuwawa, lakini hatuoni kauli ya pamoja kama viongozi...
Baada ya kumgusa Mtukufu Mwaipopo na jeshi lake lililotengenezwa na Ikulu ya Tanzania, bila shaka Katambi haelewi lolote kuhusu Samia na Mambo yake
Hakuna wasiwasi kwamba atatimuliwa kwenye...
Tayari Mshtakiwa wa kesi ya Uhaini Mh Tundu Lissu amefikishwa mahakamani.
Kaa tayari kufuatilia kile kinachoendelea mahakama kuu ya Tanzania, Mahakama ndogo jijini Dar es Salaam
=======
Soma...
Leo wanaharakati wa Kenya wameandamana Mpaka ubalozi wa Tanzania na Uganda nchini Kenya, wakizitaka mamlaka zimuachilie huru Tundu Lissu na Kizza Besige, wanaharakati hao wameipa masharti Serikali...
Kupitia kesi ya Lisu CHADEMA wamepata nafasi sahihi kabisa ya kueleza mateso Yao,kudai haki za wananchi,kupelela hoja zao za msingi kabisa Kwa MAHAKAMA na Dunia nzima.
Kupitia kesi hii ya...
"Kwa sababu mnaniuliza na rasta zangu, Bob Marley aliimba hivi: 'Ukweli unaweza ukawa ni kosa la jinai kwa watawala waovu, haijawahi kuwa dhambi.' Truth may be an offense, it is never a sin...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dk. Emmanuel Nchimbi, "amegoma kujiuzulu," kwa mujibu wa gazeti la Mwanahalisi.
Taarifa mikononi mwa gazeti hilo zinasema, Dk. Nchimbi amekuwa akikabiliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.