Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tajiri na mfadhili wa Timu ya Singida United ambaye ni mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Yusuf Mwandami anafanya kufuru ya kugawa Rushwa kubwa kubwa kuhakikisha anashinda...
4 Reactions
41 Replies
7K Views
Ninaziona kwake dalili njema za yeye kuwa Rais ajae. Sijui wewe kama huzioni. https://www.youtube.com/live/J_snXwqMPgU?si=9KenaV6X_GGepwnA
4 Reactions
138 Replies
951 Views
Huyu Tayari mashtaka yake yamekwisha andaliwa n.a. atashikiliwa kwenye Gereza hilohilo la Ukonga Anakabiliwa na mashtaka 15 ya ukiukaji wa Haki za binadamu yakiwemo mateso na unyanyasaji wa Tundu...
12 Reactions
19 Replies
367 Views
  • Redirect
Shiriki kwenye msiba kwa moyo mkunjufu. Mengine yatafuatia baadaye! Tuwe tofauti na WAO!
2 Reactions
Replies
Views
No man is infallible, all men are falible Binadamu hatukosi kasoro. Lukuvi alikuwa mzuri kwenye ardhi. Kama naye Ni kundi la Sukuma, Basi Ni kumuita na kumuweka sawa . Alikuwa mtendaji mzuri. Pole...
42 Reactions
114 Replies
7K Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ametembelea kiwanja kinachotarajiwa kujengwa ofisi za Kanda ya Kati ya chama hicho kilichopo Kata ya Ipagala, Mtaa wa Ilazo jijini Dodoma. Akizungumza...
3 Reactions
6 Replies
226 Views
“MSIBA WA LUKUVI: JE, KILA MWENYE FAIDA NI MWENYE FURAHA?” Na Emily Mwakilembe Mwambie Mwenezi wa CCM Kihongosi kuna msemo unaoitwa “kufaa kufaana.” Ukielewa falsafa hii, utaona kuwa katika kila...
1 Reactions
3 Replies
181 Views
  • Redirect
Sema hawa mawakili wa CHADEMA wamejua 'kuwahangaisha' majaji At this point ni wazi kuwa hata mahakama/ majaji pia watakuwa wanataka Lissu atoke Gerezani maana kila siku kesi zinafunguliwa...
0 Reactions
Replies
Views
Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama, amepandishwa cheo na kuwa Kamishna wa Polisi, pamoja na kuteuliwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu...
3 Reactions
14 Replies
387 Views
Kuna video moja nimeona inasambaa ikionyesha mdau mmoja akisema CHADEMA wanaringa na msiba wao huku akiahidi kwamba na "wao" wanasubiri msiba wao ambao utafana zaidi ya msiba wa CHADEMA ili nao...
2 Reactions
4 Replies
199 Views
Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira amewataka viongozi na makada wa chama hicho kuachana na vinyongo na hasira iliyosababishwa na uchaguzi mkuu uliopita na badala yake waunganishe nguvu...
1 Reactions
2 Replies
144 Views
Wadau wa JamiiForums, habari zenu. Jana, Machi 26, 2026, Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) ilitoa tangazo ambalo linataka kila mtu au taasisi inayokusanya na kuhifadhi taarifa za watu...
3 Reactions
3 Replies
180 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) Odero Charles Odero anadai kwamba hadi sasa hakuna kikao chochote rasmi kilichofanyika ndani ya chama hicho ambacho kimeazimia kwamba chama...
2 Reactions
17 Replies
278 Views
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi, Kenani Kihongosi, amewaonya vijana kuacha tabia ya kutumia mitandao ya kijamii kushangilia vifo, na amesisitiza umuhimu wa kulinda...
7 Reactions
27 Replies
572 Views
Vijana wa CHADEMA mlimjaza upepo Lissu akajaa sasa maumivu ya kuwekwa kabatini yanauma anatoa milio nyinyi mnakimbilia kwenye Keyboard na Kutukana Serikali Tundu Lissu ana Kesi na anatakiwa...
1 Reactions
11 Replies
135 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), akishiriki Kikao cha Baraza la Uongozi la Umoja wa...
0 Reactions
2 Replies
126 Views
Padre Charles Kitima anasema aliyetumwa, aliyetoa mamlaka kupiga risasi akijua kabisa ni kinyume cha sheria atawajibishwa tu ni suala la wakati. Anasema masuala ya kesi za kibinadamu hayafutiki...
14 Reactions
36 Replies
613 Views
  • Redirect
Ndugu zangu Watanzania, Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha reli, shujaa wa Afrika, Jasiri muongoza...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom