Tajiri na mfadhili wa Timu ya Singida United ambaye ni mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Yusuf Mwandami anafanya kufuru ya kugawa Rushwa kubwa kubwa kuhakikisha anashinda...
Huyu Tayari mashtaka yake yamekwisha andaliwa n.a. atashikiliwa kwenye Gereza hilohilo la Ukonga
Anakabiliwa na mashtaka 15 ya ukiukaji wa Haki za binadamu yakiwemo mateso na unyanyasaji wa Tundu...
No man is infallible, all men are falible Binadamu hatukosi kasoro. Lukuvi alikuwa mzuri kwenye ardhi. Kama naye Ni kundi la Sukuma, Basi Ni kumuita na kumuweka sawa . Alikuwa mtendaji mzuri.
Pole...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ametembelea kiwanja kinachotarajiwa kujengwa ofisi za Kanda ya Kati ya chama hicho kilichopo Kata ya Ipagala, Mtaa wa Ilazo jijini Dodoma.
Akizungumza...
“MSIBA WA LUKUVI: JE, KILA MWENYE FAIDA NI MWENYE FURAHA?”
Na Emily Mwakilembe
Mwambie Mwenezi wa CCM Kihongosi kuna msemo unaoitwa “kufaa kufaana.” Ukielewa falsafa hii, utaona kuwa katika kila...
Sema hawa mawakili wa CHADEMA wamejua 'kuwahangaisha' majaji
At this point ni wazi kuwa hata mahakama/ majaji pia watakuwa wanataka Lissu atoke Gerezani maana kila siku kesi zinafunguliwa...
Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama, amepandishwa cheo na kuwa Kamishna wa Polisi, pamoja na kuteuliwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu...
Kuna video moja nimeona inasambaa ikionyesha mdau mmoja akisema CHADEMA wanaringa na msiba wao huku akiahidi kwamba na "wao" wanasubiri msiba wao ambao utafana zaidi ya msiba wa CHADEMA ili nao...
Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira amewataka viongozi na makada wa chama hicho kuachana na vinyongo na hasira iliyosababishwa na uchaguzi mkuu uliopita na badala yake waunganishe nguvu...
Wadau wa JamiiForums, habari zenu.
Jana, Machi 26, 2026, Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) ilitoa tangazo ambalo linataka kila mtu au taasisi inayokusanya na kuhifadhi taarifa za watu...
Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) Odero Charles Odero anadai kwamba hadi sasa hakuna kikao chochote rasmi kilichofanyika ndani ya chama hicho ambacho kimeazimia kwamba chama...
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi, Kenani Kihongosi, amewaonya vijana kuacha tabia ya kutumia mitandao ya kijamii kushangilia vifo, na amesisitiza umuhimu wa kulinda...
Vijana wa CHADEMA mlimjaza upepo Lissu akajaa sasa maumivu ya kuwekwa kabatini yanauma anatoa milio nyinyi mnakimbilia kwenye Keyboard na Kutukana Serikali Tundu Lissu ana Kesi na anatakiwa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), akishiriki Kikao cha Baraza la Uongozi la Umoja wa...
Padre Charles Kitima anasema aliyetumwa, aliyetoa mamlaka kupiga risasi akijua kabisa ni kinyume cha sheria atawajibishwa tu ni suala la wakati. Anasema masuala ya kesi za kibinadamu hayafutiki...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha reli, shujaa wa Afrika, Jasiri muongoza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.