Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwandishi wa habari Khalifa Said amesema mali ambazo CCM imekuwa ikizitaja kuwa ni mali zake zinapaswa kuangaliwa upya, akidai nyingi zilipatikana kwa fedha za umma zilizotokana na kodi za...
6 Reactions
12 Replies
305 Views
Nairobi, Kenya. Wanaharakati wa haki za binadamu nchini Kenya wameandamana katika mitaa ya Nairobi wakitaka Serikali ya Uganda kumuachilia mara moja kiongozi mkongwe wa upinzani, Dk Kizza Besigye...
3 Reactions
9 Replies
118 Views
Jambo la kwanza ni kwamba ametaja ripoti za SADC, EU, Commonwealth na Thabo Mbeki Foundation. Kama sehemu za ripoti hizo zitaruhusiwa kutumika kama ushahidi mahakamani, upande wa utetezi unaweza...
15 Reactions
30 Replies
735 Views
ATCL KUANZA SAFARI ZA URUSI JUNI 2025 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, amesema kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), linatarajia kuanza...
0 Reactions
3 Replies
199 Views
Mwaka 2013-2014 wakati kesi ya Kenyatta na Rutto zinarindima kwenye mahakama ya uhalifu wa kimataifa (ICC-The Hague), njia kuu iliyotumika kuzima sakata ni kuharibu ushahidi kwa kuuficha, na kuua...
66 Reactions
80 Replies
2K Views
Siku hizi Anakamatwa Mtu ,lkn unashindwa kujua, Amekamatwa au Ametekwa!. Ametekwa na Jeshi la Polisi ? Ametekwa na Usàlama? Ametekwa na Wahalifu ?. Nmekua Mstari mbele nikikemea Tabia hii ya...
2 Reactions
16 Replies
238 Views
Nadhani hakuna ubishi wala mashaka dhidi ya haiba, uwezo, uzoefu, uadilifu na weledi wa Dr. Emmanuel John Nchimbi kwenye nafasi yake kama makamu wa Rais wa Tanzania. Mungwana amesimana vizuri...
9 Reactions
120 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu ameyasema hayo Leo, Septemba 3, 2026 alipokuwa mahakani kwenye mwendelezo wa Kesi inayomkabili ya shitaka la uhaini. Lissu amesema " Watu wenye hatia ndio...
11 Reactions
14 Replies
514 Views
25 Aprili 2025 https://m.youtube.com/watch?v=wbk2XLS77j8 Ushindi haupatikani kwa kutegemea 'chawa' wala wingi wa kadi. Watu wana kadi na mapenzi kwa vyama hata vitatu. CCM iwe makini wanatakiwa...
49 Reactions
235 Replies
14K Views
haya ndiyo mambo ya kujadiliwa na wasomi. Lisu katenda lipi kati ya haya IN THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA AT ZANZIBAR (CORAM: KISANGA J.A, RAMADHANI , J.A, And LUGAKINGIRA, J.A.) CRIMINAL...
2 Reactions
42 Replies
2K Views
https://www.youtube.com/live/BdUex_A8m7A Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwaapisha Wakuu wa Mikoa na Katibu Tawala wa Mkoa, Ikulu Ndogo ya Tunguu...
2 Reactions
25 Replies
542 Views
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa (NEC) na Mbunge wa Karagwe, Innocent Bashungwa amesema uamuzi uliochukuliwa na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumvua uanachama...
2 Reactions
21 Replies
608 Views
Viongozi wa dini, ni waonesha njia, najiuliza, kwa sasa wanaonyesha njia Gani ikiwa uovu umetamalaki nchini? Watu wanapotea, wanatekwa na kuuwawa, lakini hatuoni kauli ya pamoja kama viongozi...
5 Reactions
10 Replies
162 Views
Aliye karibu na mwandishi huyu wa The Chanzo, analiwa timing ili atokomezwe.
21 Reactions
56 Replies
2K Views
Baada ya kumgusa Mtukufu Mwaipopo na jeshi lake lililotengenezwa na Ikulu ya Tanzania, bila shaka Katambi haelewi lolote kuhusu Samia na Mambo yake Hakuna wasiwasi kwamba atatimuliwa kwenye...
10 Reactions
31 Replies
934 Views
Tayari Mshtakiwa wa kesi ya Uhaini Mh Tundu Lissu amefikishwa mahakamani. Kaa tayari kufuatilia kile kinachoendelea mahakama kuu ya Tanzania, Mahakama ndogo jijini Dar es Salaam ======= Soma...
23 Reactions
142 Replies
5K Views
Leo wanaharakati wa Kenya wameandamana Mpaka ubalozi wa Tanzania na Uganda nchini Kenya, wakizitaka mamlaka zimuachilie huru Tundu Lissu na Kizza Besige, wanaharakati hao wameipa masharti Serikali...
9 Reactions
29 Replies
548 Views
Kupitia kesi ya Lisu CHADEMA wamepata nafasi sahihi kabisa ya kueleza mateso Yao,kudai haki za wananchi,kupelela hoja zao za msingi kabisa Kwa MAHAKAMA na Dunia nzima. Kupitia kesi hii ya...
3 Reactions
3 Replies
109 Views
"Kwa sababu mnaniuliza na rasta zangu, Bob Marley aliimba hivi: 'Ukweli unaweza ukawa ni kosa la jinai kwa watawala waovu, haijawahi kuwa dhambi.' Truth may be an offense, it is never a sin...
8 Reactions
23 Replies
304 Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dk. Emmanuel Nchimbi, "amegoma kujiuzulu," kwa mujibu wa gazeti la Mwanahalisi. Taarifa mikononi mwa gazeti hilo zinasema, Dk. Nchimbi amekuwa akikabiliwa...
30 Reactions
79 Replies
3K Views
Back
Top Bottom