Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

DKT. MWIGULU: TUENDELEE KUMUOMBEA MHE. LUKUVI WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaomba Watanzania waendelee kumuombea kwa Mwenyezi Mungu aliyekuwa Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera...
1 Reactions
15 Replies
200 Views
Ndugu zangu Watanzania, Marehemu William Lukuvi Anatarajiwa Kuagwa Kishujaa katika Mikoa Mitatu . Ambapo Mwanasiasa Huyo Nguli ,Mkongwe ,maarufu na Mashuhuri hapa Nchini. Anatarajiwa Kuagwa...
1 Reactions
40 Replies
862 Views
Sisi mawakili Maduhu William, Nashon Nkungu na Paul Kisabo tumefungua shauri la Kikatiba ambalo ni Shauri No. 7300dhidi ya Kamishina Jenerali wa Magereza, Mkuu wa Gereza la Ukonga na Mwanasheria...
11 Reactions
23 Replies
536 Views
HILI LIWE FUNZO KWA MAFWELE NA GENGE LAKE. SSP Christopher Bageni atanyongwa hadi kufa. Ndivyo mahakama ya rufaa ilivyoamua. Maamuzi ya leo ni ya mwisho katika mwenendo wa kesi yake. Hana pengine...
12 Reactions
23 Replies
748 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameitembelea familia ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Iringa, Frank Nyalusi aliyefariki Septemba 19, 2025 katika Hospitali ya rufaa ya Iringa...
6 Reactions
15 Replies
231 Views
Ajali ilivyobadili maisha ya aliyekuwa mfanyakazi mradi wa ujenzi Bwawa la Nyerere, alia na fidia kiduchu ya WCF. Asema 'bora ningekufa' Ally Omari Mbelwa ambaye alikuwa fundi chini ya usimamizi...
5 Reactions
3 Replies
250 Views
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Tanzania Bara Benson Kigaila amedai kuwa chama hicho kinaweza kushika nafasi ya pili kwa kuwa na idadi kubwa ya wanachama na wafuasi baada...
4 Reactions
14 Replies
263 Views
Halima Mdee tubu yaishe lakini eleza ukweli wote Covid 19. Amegoma kwenda CCM sasa atubu kwa uwazi kabisa kuhusu Covid 19 kabla hajakubaliwa kurudi kama mwanachama wa kawaida. Bila kutubu asiruhusiwe
7 Reactions
32 Replies
567 Views
Wanabodi, Makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la leo Leo Jumapili ya Agosti 25, Jumatano ya Agosti 28, kipenga cha kuanza kampeni za Uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani, kinapulizwa...
3 Reactions
96 Replies
2K Views
Wanabodi Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa October, from time to time nitakuwa nafanya makala fupi za uelimishaji umma elimu kwa kujitolea kusaidia kuelimisha umma umuhimu wa kujiandikisha kupiga kura na...
9 Reactions
64 Replies
2K Views
  • Redirect
Jeshi la Polisi limetoa hati (certificate) ya kusafisha (clear) tuhuma za uhalifu kwa mmiliki wa IPTL, Seth Harbinder. Juni 2021 Seth aliachiwa chini ya utaratibu wa Plea Bargaining, na kutakiwa...
0 Reactions
Replies
Views
Imagine mahakama ya ICC wanatangaza kufungua uchunguzi rasmi wa makosa ya jinai dhidi ya Samia, mara anajiandaa kusimama kizimbani huko The Hague, halafu machawa mnazindua uwanja wa AFCON na kuupa...
5 Reactions
20 Replies
379 Views
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Mbunge wa Arusha Mjini, Paul Christian Makonda amesema kuelekea mwaka 2030 wapo wanasiasa wengi wanaotaka kutumia shida za wananchi...
10 Reactions
76 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amesema kwamba baada ya Uchunguzi wa Mwili wa Marehemu ulioshuhudiwa na Ndugu wa Marehemu pamoja na viongozi wa Chadema, Imebainika kwamba Ally Kibao ameuawa...
28 Reactions
190 Replies
14K Views
Hii ni kwa sababu kufanya hivyo itakuwa ni kumkufuru Mungu na kujitafutia laana ya kujitakia ya Milele. Salamu zingine ambazo hazipaswi kupokelewa ni kutoka kwa viongozi wote Wastaafu wa Tanzania...
13 Reactions
27 Replies
2K Views
Mahakama ya Rufaa imemhukumu aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni, Christopher Bageni kunyongwa hadi kufa katika kesi ya vifo vya wafanyabiashara wa madini iliyokuwa ikimkabili yeye...
4 Reactions
220 Replies
69K Views
Idd Amin akifa, siwezi kulia. Nitamtupa Kagera awe Chakula Cha Mamba. Miaka hiyo tunaimba hizo. Tuliamini mtu mbaya ni Nduli Idd Amin Dada tu. Kumbe Nduli Idd Amin Mama Kashata naye roho mbaya...
7 Reactions
8 Replies
169 Views
Hii ni baada ya Mahakama kuifutilia mbali kesi yake ya kuomba uamuzi wa Mahakama kuu iliyomhukumu kunyongwa upitiwe upya . Kwa faida ya wageni wa JF na wengine ni kwamba huyu Bageni ni mmoja wa...
18 Reactions
234 Replies
35K Views
Back
Top Bottom