Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

ASKOFU AJIBU HOJA ZA SIMBACHAWENE JUU YA DKT. NCHIMBI NA KATIBA MPYA! Ndugu Watanzania! Mbunge wa Jimbo la Kibakwe mkoani Dodoma na aliyekuwa Waziri Mwandamizi katika serikali ya Samia na...
6 Reactions
3 Replies
254 Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefafanua msimamo wake kuhusu hatua zilizochukuliwa dhidi ya aliyekuwa Katibu wa Chama na Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi. Akizungumza katika mahojiano ya Medani...
5 Reactions
15 Replies
281 Views
Historia ya watoto wa Mobutu Sese Seko, Muammar Gaddafi na Saddam Hussein ina somo moja kubwa: watoto wanaporithi mamlaka ya baba zao bila kuwajibika kwa sheria, huanza kujiona warithi wa taifa...
45 Reactions
78 Replies
2K Views
Leo, Septemba 6, 2026, inatimiza miaka miwili tangu kifo chake, lakini hadi leo matokeo ya uchunguzi wa tukio hilo bado hayajawekwa wazi. Pumzika kwa amani, Ali Kibao, tutakukumbuka daima. =====...
4 Reactions
6 Replies
109 Views
Inasikitisha sana kama kweli hili ndiyo kisa la kufanya makamu wa rais kutukuzwa. inatia huruma sana na masimango.
1 Reactions
0 Replies
53 Views
Viongozi wa chadema semeni chopa zipo wapi mbona hazipo ufipa Wala unyaturuni🤣🤣 Na zile gari zipo wapi naskia zilibadilishwa rangi na usajiri haya wazee wa ufipa karibu kwa mjadala
2 Reactions
22 Replies
156 Views
Hakuna sababu mtu ashambuliwe kwa kumtetea Nchimbi. The question of the 2030 elections does not arise. Uchaguzi huo wakati wake bado. Tunasema kwamba sasa hivi Nchimbi ndio Makamu wa Rais. Yule...
2 Reactions
8 Replies
205 Views
Odemba: ...chama chenyu cha Chama Cha Mapinduzi kimepata ushindi wa kishindo kwa asilimia zaidi ya 97, mliwezaje kupata asilimia zote zile katika hali kama hii ambayo watu na umma unajua ya kwamba...
0 Reactions
2 Replies
296 Views
Mnakumbuka MH Polepole ?. Kile alichokifanya kwanza , kujiuzulu nafasi zake zote, kisha akaanza kukosoa UOVU wa CCM , kilikua na Thaman sana, na Watanganyika Wakamuamini 100% na Ule Ukweli...
2 Reactions
10 Replies
137 Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni chama chenye historia kubwa katika safari ya Taifa la Tanzania. Tangu kuanzishwa kwake, CCM kimekuwa sehemu muhimu ya uongozi na maendeleo ya nchi yetu. CCM na...
1 Reactions
14 Replies
79 Views
Nikiwa mdogo kama walivyo watu wengi kuna mambo unakuwa huyaelewi elewi na kadiri unavyokuwa ndivyo unavyoendelea kupata ufahamu Nikiwa mdogo nadhani hadi umri wa kidato cha Pili (hapa sio mdogo...
1 Reactions
1 Replies
54 Views
== Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania (PPPC), Bwana David Kafulila, akiwa katika Tengeru Institute of Community Development (TICD) jijini Arusha, amekaririwa akisema kuwa “Kwa mujibu wa...
1 Reactions
10 Replies
73 Views
Wakuu, kama tunavyofahamu, hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa katika uongozi wa juu wa nchi yetu baada ya Dkt. Emmanuel Nchimbi kujiuzulu wadhifa wa Makamu wa Rais, na Bunge...
0 Reactions
14 Replies
327 Views
Wengi wa waliotekwa na wanaotekwa ni vijana wa umri tofauti walioowa na ambao hawajaoa. Kwenye serikali ya awamu hii, vilio vinasikika kila kona ya Tanganyanyika kwasababu zisizoeleweka watu...
1 Reactions
6 Replies
78 Views
Odemba: Taarifa hizo zipo, ndio na sisi tunaziona. Kwamba watu wanatekwa hapa nchini? Ndio, watu wanapata changamoto. Nani anayeteka watu hapa Tanzania? Kihongosi: Ni vigumu kujua jambo hilo...
1 Reactions
41 Replies
788 Views
Nakumbuka Hayati John Magufuli kipindi cha mchakato wa uchaguzi 2015 alikuja nyumbani kwangu Oysterbay aliniambia anataka kujiondoa kwenye mizunguko ya kutafuta wadhamini alisema hana pesa kabisa...
10 Reactions
23 Replies
500 Views
NDUGU WA POLEPOLE ATETA NA ASKOFU! Ndugu Watanzania! Usiku huu nimepokea ujumbe kutoka kwa mtu ambaye ni mmoja wa ndugu wa Mhe. Balozi Humphrey Polepole. Nimebadilisha initials au utambulisho...
5 Reactions
57 Replies
1K Views
Kuna wakati Taifa linahitaji siyo tu viongozi, bali pia umoja wa mioyo, matumaini na mshikamano wa watu wake. Leo tunapoangalia Tanzania yetu, tunapaswa kukumbuka kuwa amani tuliyonayo, fursa...
0 Reactions
0 Replies
17 Views
Wakuu wa jukwaa hili, karibu tujadili suala zito linaloendelea kuigusa nchi yetu - hali ya kisiasa iliyofuatia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, na jitihada zinazoendelea za kujenga maridhiano ya...
0 Reactions
7 Replies
74 Views
https://www.youtube.com/live/l9aMozamc9E?si=Uzp7jrGfBn-D6-UJ
0 Reactions
2 Replies
49 Views
Back
Top Bottom