Wanabodi,
Preamble: Chadema ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo jina tuu, ila uendeshaji wake ni wa kidikteta wa hali ya juu!. Katiba yake inavipengele vya kidikteta vinavyokwenda kinyume cha...
Kuna mjadala unaendelea kuhusu MoU iliyosainiwa jana kati ya Tanzania na Uganda, huku baadhi ya vijana wa Lumumba wakisema moja kwa moja kwamba “Tanzania na Uganda wamekubaliana kujenga refinery...
Rais Magufuli alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba.
Angalia video hapo chini.
Kimsingi Kauli kama hizi hutokewa na watu wajinga na ambao wanaishi kwenye mawazo ya kale na kusikiliza stori za vijiweni zilizojaa uongo na mihemko.
Mwambukusi Toka anazaliwa Hadi anazeeka yeye...
Sijatumia neno kustaafu maana ya Mungu mengi,
Rais utoka madarakani ama kwa kumaliza muda wake, Kupinduliwa, au kupatwa na Mauti
Je Una lipi la kumkumbuka ?
Britanicca
Hivi Bank M ni ya nani vile?
NEEEEWZZZZ today!!!
OMBI la mfanyabiashara Jeetu Patel anayetuhumiwa kuwa kinara wa ufisadi katika kuchota mabilioni kutoka kwenye Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA)...
Bank M Tanzania Limited is among bankers appointed by the Tanzania Revenue Authority (TRA) to collect taxes on the authority's behalf.
The service was officially launched by the bank at a...
@BRELA naomba msaada wenu wa moja kwa moja kwenye suala hili.
Nimewasilisha maombi ya Company Name Clearance kupitia mfumo rasmi wa BRELA Online Services (BOS) wiki ya tatu sasa.
Tracking...
Ni weeek Sasa Toka Jeshi la Polisi likiongozwa Na Afande IGP C Wambura kudhibiti Mipango ya Kigaidi iliyopangwa na Raia wa Kenya waliongia nchini kwa kigezo cha kufwatilia Kesi ya Uhaini ya Ndg...
Kazi nzuri sana imefanyika na hii iwe funzo wanaodhani wanaweza kutokutii Sheria na Maelekezo
Siku za Karibuni Kamanda Murillo alitoa Onyo kwa watu waliopanga kuleta Vurugu na Kuchoma Mahakama...
Wakuu kumbe hawa Jamhuri genge la Wambura, Muliro, MAFWELE siyo watu wazuri sana.
Huyu shahidi ambaye majuzi walitaka kumuongezea ushahidi mpaka wamekata Rufaa ni MAREHEMU.
Mke wake anasema...
Mzee Leopord Rwizandekwe mkazi wa kijiji cha Katendaguro Tarafa ya Kiziba Wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera ambaye mwaka 1965 alitaka kumng'oa mwalimu Nyerere kabla ya jina lake kuenguliwa na vikao...
Kila siku CCM wapuuzi walia liaa, ohooo Kuna watu walilipwa, ohoooo kimeenda kimerudi.
Upande wa pili, Watanzania Wana picha mbalimbali za Genge la Mauaji
Sasa na nyie CCM, tuonyésheni picha...
Ninaomba kufikisha kero yangu kwa Waziri wa Nishati. Serikali inahamasisha wananchi kutumia nishati safi kama gesi na umeme ili kupunguza matumizi ya mkaa na kulinda mazingira, lakini gharama za...
Nyerere akaondoshwa, Mkapa akaondoshwa, Magufuli akaondoshwa , Makamo Isidori akaponea chupuchupu, Sahizi kabakia Nchimbi ambaye kama Kanisa kwa kutumia Vyombo vyake, likishindwa kumlinda, naye...
Ama kweli Heri Nguo kuraruka kuliko Akili.
Ujinga mnaoufanya dhidi ya Catholic,ni sawa Kuwaambia VATICAN wawe Serious na Tanzania.
Unaposema VATICAN Kwa Uhuni wako ili uwachafue, ni kusema...
Wakati tukiendelea Kushuhudia Matukio ya Utekaji na Mauaji yanayoendelea nchini, Mimi binafsi nilitumia Akili yangu na kipawa KIKUBWA nilichojaaliwa cha kutizama mambo kwa UPANDE wa pili, na...
Jambo nalowahakikishia kama Mh Polepole , Balozi, alifika Nchini hawakujua, Kakaa miezi yote hiyo hawakujua, Utasema wana INTELIJENSIA??.
Bisho Gwajima Kakaa Dar , muda wake wotee huo mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.