Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanabodi, Preamble: Chadema ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo jina tuu, ila uendeshaji wake ni wa kidikteta wa hali ya juu!. Katiba yake inavipengele vya kidikteta vinavyokwenda kinyume cha...
7 Reactions
285 Replies
39K Views
Kuna mjadala unaendelea kuhusu MoU iliyosainiwa jana kati ya Tanzania na Uganda, huku baadhi ya vijana wa Lumumba wakisema moja kwa moja kwamba “Tanzania na Uganda wamekubaliana kujenga refinery...
2 Reactions
7 Replies
168 Views
Rais Magufuli alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba. Angalia video hapo chini.
55 Reactions
690 Replies
167K Views
Kimsingi Kauli kama hizi hutokewa na watu wajinga na ambao wanaishi kwenye mawazo ya kale na kusikiliza stori za vijiweni zilizojaa uongo na mihemko. Mwambukusi Toka anazaliwa Hadi anazeeka yeye...
7 Reactions
205 Replies
2K Views
Sijatumia neno kustaafu maana ya Mungu mengi, Rais utoka madarakani ama kwa kumaliza muda wake, Kupinduliwa, au kupatwa na Mauti Je Una lipi la kumkumbuka ? Britanicca
29 Reactions
112 Replies
2K Views
Hivi Bank M ni ya nani vile? NEEEEWZZZZ today!!! OMBI la mfanyabiashara Jeetu Patel anayetuhumiwa kuwa kinara wa ufisadi katika kuchota mabilioni kutoka kwenye Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA)...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Bank M Tanzania Limited is among bankers appointed by the Tanzania Revenue Authority (TRA) to collect taxes on the authority's behalf. The service was officially launched by the bank at a...
1 Reactions
103 Replies
9K Views
@BRELA naomba msaada wenu wa moja kwa moja kwenye suala hili. Nimewasilisha maombi ya Company Name Clearance kupitia mfumo rasmi wa BRELA Online Services (BOS) wiki ya tatu sasa. Tracking...
1 Reactions
0 Replies
40 Views
Ni weeek Sasa Toka Jeshi la Polisi likiongozwa Na Afande IGP C Wambura kudhibiti Mipango ya Kigaidi iliyopangwa na Raia wa Kenya waliongia nchini kwa kigezo cha kufwatilia Kesi ya Uhaini ya Ndg...
8 Reactions
91 Replies
3K Views
Kazi nzuri sana imefanyika na hii iwe funzo wanaodhani wanaweza kutokutii Sheria na Maelekezo Siku za Karibuni Kamanda Murillo alitoa Onyo kwa watu waliopanga kuleta Vurugu na Kuchoma Mahakama...
14 Reactions
75 Replies
4K Views
Wakuu kumbe hawa Jamhuri genge la Wambura, Muliro, MAFWELE siyo watu wazuri sana. Huyu shahidi ambaye majuzi walitaka kumuongezea ushahidi mpaka wamekata Rufaa ni MAREHEMU. Mke wake anasema...
11 Reactions
32 Replies
2K Views
Mzee Leopord Rwizandekwe mkazi wa kijiji cha Katendaguro Tarafa ya Kiziba Wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera ambaye mwaka 1965 alitaka kumng'oa mwalimu Nyerere kabla ya jina lake kuenguliwa na vikao...
3 Reactions
34 Replies
6K Views
Kila siku CCM wapuuzi walia liaa, ohooo Kuna watu walilipwa, ohoooo kimeenda kimerudi. Upande wa pili, Watanzania Wana picha mbalimbali za Genge la Mauaji Sasa na nyie CCM, tuonyésheni picha...
5 Reactions
11 Replies
120 Views
Ninaomba kufikisha kero yangu kwa Waziri wa Nishati. Serikali inahamasisha wananchi kutumia nishati safi kama gesi na umeme ili kupunguza matumizi ya mkaa na kulinda mazingira, lakini gharama za...
3 Reactions
25 Replies
558 Views
Aione Samia Aione Wambura Aione Mombo Aione Abdul ,Mafwele, Kizigha, na genge lao lote. KAMWE ,HAMNA SERIKALI CHINI YA JUA ITAKAYOYUMBISHA KANISA !!..
10 Reactions
19 Replies
953 Views
Nyerere akaondoshwa, Mkapa akaondoshwa, Magufuli akaondoshwa , Makamo Isidori akaponea chupuchupu, Sahizi kabakia Nchimbi ambaye kama Kanisa kwa kutumia Vyombo vyake, likishindwa kumlinda, naye...
0 Reactions
5 Replies
179 Views
Ama kweli Heri Nguo kuraruka kuliko Akili. Ujinga mnaoufanya dhidi ya Catholic,ni sawa Kuwaambia VATICAN wawe Serious na Tanzania. Unaposema VATICAN Kwa Uhuni wako ili uwachafue, ni kusema...
12 Reactions
63 Replies
1K Views
Wakati tukiendelea Kushuhudia Matukio ya Utekaji na Mauaji yanayoendelea nchini, Mimi binafsi nilitumia Akili yangu na kipawa KIKUBWA nilichojaaliwa cha kutizama mambo kwa UPANDE wa pili, na...
15 Reactions
20 Replies
809 Views
Jambo nalowahakikishia kama Mh Polepole , Balozi, alifika Nchini hawakujua, Kakaa miezi yote hiyo hawakujua, Utasema wana INTELIJENSIA??. Bisho Gwajima Kakaa Dar , muda wake wotee huo mpaka...
1 Reactions
3 Replies
253 Views
Chimbi kukutana na JK kuna mambo mengi ya kujifunza na kuweka akiba ya Maneno
1 Reactions
9 Replies
221 Views
Back
Top Bottom