britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Kupitia mambo mengi yanayoendelea nchini kwetu, mengi yanazungumzwa tena Kwa Ushabiki,
Ninawaza kwamba hivi kwanini tusiwe na Azimio la Chato ambalo litazungumza haya
1.Mtanzania huruhusiwi kumkosoa Rais wa nchi maana mpaka watanzania milion 8 wamemchagua wanaamini ndo ana akili kuzidi wote
2.Wakurugenzi na DED hawaruhusiwi kutangaza ushindi wa chama chochote cha upinzani while salary wanalipwa na CCM
3.Mtandao wowote wa simu lazim u dukue mawasiliano ya wapinzani wa Rais kujua wanapanga nini
4.Mtanzania yeyote haruhusiwi si tu kupanga kugombea bali hata harakati za urais kama rais yuko nchini hata kama Muda wa uchaguzi umefika
5.Wale wote wanaotweet sana wapewe kesi za money laundering kuanzia 172 Million
6.Huruhusiwi kuongelea takwimu yoyote ile hata idadi ya wanao mpaka uruhusiwe na NBS
7.Makao Makuu yasiwe Dodoma yahamishiwe chato kabisa
Let us Chatolize the Country
Britannica
Ninawaza kwamba hivi kwanini tusiwe na Azimio la Chato ambalo litazungumza haya
1.Mtanzania huruhusiwi kumkosoa Rais wa nchi maana mpaka watanzania milion 8 wamemchagua wanaamini ndo ana akili kuzidi wote
2.Wakurugenzi na DED hawaruhusiwi kutangaza ushindi wa chama chochote cha upinzani while salary wanalipwa na CCM
3.Mtandao wowote wa simu lazim u dukue mawasiliano ya wapinzani wa Rais kujua wanapanga nini
4.Mtanzania yeyote haruhusiwi si tu kupanga kugombea bali hata harakati za urais kama rais yuko nchini hata kama Muda wa uchaguzi umefika
5.Wale wote wanaotweet sana wapewe kesi za money laundering kuanzia 172 Million
6.Huruhusiwi kuongelea takwimu yoyote ile hata idadi ya wanao mpaka uruhusiwe na NBS
7.Makao Makuu yasiwe Dodoma yahamishiwe chato kabisa
Let us Chatolize the Country
Britannica