Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mjadala wa wazi kati ya viongozi wa Dini na Wanananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 Mwanza katika ukumbi wa Nyakahoja leo Machi 26, 2026. Viongozi wa dini wanaoshiriki mjadala wa...
0 Reactions
2 Replies
104 Views
Mfanyabishara na Mmiliki wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth akiwa katika hafla ya harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuchangia fedha za Uchaguzi Mkuu
23 Reactions
286 Replies
13K Views
"Mimi na Magufuli ni kitu kimoja" kweli? Magufuli yupi analiyemaanisha hapa? Magufuli huyu aliyemkamata Seth kwa ufisadi na utapeli? Magufuli huyu wa Chato au ni Magufuli wa Msoga? Leo Magufuli...
9 Reactions
45 Replies
2K Views
Ndani ya miezi miwili kutoka sasa, utashangaa kuna mkeka unatoka na kuna watu wataliwa vichwa. Stay tuned…
3 Reactions
2 Replies
142 Views
2030 hiyooooo yaja! Cartel paving their way to supremacy!
4 Reactions
13 Replies
270 Views
  • Redirect
Dear Mr. President, POTUS However this Iran war turns out, you have earned my respect for keeping your word to the Iranian people as they were being massacred by their own government, you told...
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu, Hakuna sababu yoyote kuzidi kumuweka Lissu Gerezani Uchaguzi ushapita, maandamano yashapita na lile joto la kisiasa pia lishapita. The only reason why, Lissu yuko Gerezani ni kuhakikisha...
0 Reactions
4 Replies
112 Views
Wanabodi, Leo nawaletea tena PMNA Kwa wasiojua PMNA, anzia hapa PMNA: Makamo wa Rais Dr Nchimbi, atamsaidia sana Rais Samia na Taifa, Ni Mkweli Anayeweza Kumweleza Rais Ukweli!. Ili Kumsaidia...
17 Reactions
25 Replies
553 Views
Wakili mwandamizi Shaban Nsato Marijani ameeleza kuwa kilichozungumzwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia (CHADEMA), John Mnyika kuhusu wigo wa shauri la mgawanyo wa mali ni upotoshaji. Wakili...
0 Reactions
10 Replies
251 Views
Mimi siyo mtabili ila ukweli mtauona hasa tunapoikalibia 2030, kama wewe waziri au mbunge anza kujichimbia kaburi kabisa
2 Reactions
13 Replies
271 Views
Wakati Tanzania ikijivunia kuwa na idadi kubwa ya mifugo, bado inalazimika kutumia zaidi ya Sh23 bilioni kila mwaka kuagiza wastani wa lita milioni 11.6 za maziwa kutoka nje ya nchi. Hali hiyo...
5 Reactions
37 Replies
453 Views
Wakuu,hii ni kumbukizi ya viongozi wetu shupavu&wenye hekima waliotangulia mbele ya haki kuanzia 2025/2026 Lengo la mada,ni kuwaenzi,kuyakumbuka matendo yao mema hapa duniani. Na kuzidi kuwaombea...
1 Reactions
2 Replies
75 Views
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema wanaopanga njama za kudhoofisha jitihada za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kisa tamaa za kupata Urais mwaka 2030 hawatofanikiwa...
0 Reactions
6 Replies
119 Views
Kwanza kabisa sikubaliani na watu wanaosambaza uzushi wa aina yoyote ikiwemo kuwalisha watu maneno kwa njia yoyote ile, ila pia nadhani Gwajima alitakiwa kukanusha uzushi kwa maneno mafupi sana...
5 Reactions
108 Replies
2K Views
Hii ieleweke vizuri kuwa duniani na hususani dunia ya sasa imejipanga kusambaratisha Taifa flani kwa kuwahonga viongozi au kuwameliza kwa kuwaua ili lengo la kibeberu litimie. Kwa muktadha huu...
0 Reactions
6 Replies
127 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ikifika Aprili 15, 2024 atawataja kwa majina Watu wakiwemo Mawaziri wanaotoa fedha za kuwalipa Watu ili wamtukane Rais Samia mitandaoni kama...
35 Reactions
454 Replies
31K Views
Kupitia comment yake kwenye post yake ya leo tarehe 25/03/2026 katibu mkuu wizara ya habari, utamaduni, sanaa na michezo amedai kuwa kuna wanufaika wa mikopo iliyotolewa na wizara ambao wamegoma...
2 Reactions
20 Replies
319 Views
  • Redirect
2 Reactions
Replies
Views
Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika, Mahmoud Ali Youssouf, ametangaza uteuzi wa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuwa Mwakilishi Mkuu wa Pembe ya Afrika...
1 Reactions
6 Replies
108 Views
Back
Top Bottom