Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu Watanzania, Hiyo ni Kauli nzito iliyotolewa na Mkuu wa Majeshi Ya Tanzania. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ), Jenerali Jacob Mkunda, amesema Taifa imara halijengwi na Watu...
4 Reactions
52 Replies
970 Views
Wanabodi Moja ya jambo kubwa lililokuwa linasubiriwa sana na kwa hamu kubwa na watu wengi kwenye Ripoti ya Uchunguzi ya Jaji Chande, kubwa la kwanza ni idadi ya vifo vilivyotokea kwenye vurugu...
5 Reactions
63 Replies
1K Views
Wanabodi Utangulizi, Hili ni bandiko elimishi la kuelimisha watu humu dhana ya uwajibikaji kwa watumishi wa umma. Je wajua kuwa mwajiri mkuu wa watumishi wote wa umma nchini Tanzania,wakiwemo...
9 Reactions
32 Replies
3K Views
Hela za Tanganyika zimehamishiwa Zanzibar. Sasa wanajenga KM mbili za Barabara kwa Bilioni 50+ kisa AFCON. AFCON ishakuwa Dilisha la upigaji. Kumbuka Bajeti ya Miundombinu ya Zanzibar ni...
22 Reactions
57 Replies
1K Views
Hiyo siku kuwe na usawa na haki toka kwa Polisi kusiwe na vitisho na kila mwananchi achague mwenyewe aende wapi, wakubebwa na magar wabebwe, wakwenda wenyewe waende then tupate picha ya siasa zetu...
4 Reactions
11 Replies
207 Views
Mnatapa tapa sana aisee! Mazungumzo yenu yote ninayo na mtu wenu ambaye juzi alitaka autuhumu ubalozi moja kwa moja kwamba ndo umemficha Polepole nikawasihi na kuwaonya kwa Uzi nilioandika kwamba...
58 Reactions
73 Replies
4K Views
  • Redirect
Sote ni mashuhuda jinsi ambavyo baadhi ya waTanzania wenye tamaa binafsi nia ovu dhidi ya taifa letu huru, wakizunguka Ulaya na Amerika wakipanga bei ya kuliuza taifa letu. Kama wazalendo wa...
0 Reactions
Replies
Views
Mimi ukinikuta mtaani ni kada wa chama kweli kweli huwa najitahidi kukusanya maoni ya wananchi wengi vijiweni kwa mabodaboda kwa mama ntilie machinga wafanya biashara maana Wakandarasi wanangu...
12 Reactions
80 Replies
782 Views
"Niliiuliza Meta kwa nini ilifuta akaunti ya mwanaharakati wa Kitanzania Mange Kimambi na ikazuia akaunti ya Maria Sarungi nchini Tanzania, lakini sikupata majibu. Meta inamiliki Facebook...
4 Reactions
12 Replies
960 Views
Wale ambao hamjapanda madaraja poleni mfumo wa ESS umetumika kuwaumiza hela za kuwapandisha hakuna kwahiyo k8gezo Cha ess kimetumika kama fimbo Kwa wale ambao hamjafikisha asilimia. Source mnyetishaji
5 Reactions
49 Replies
2K Views
No. Tanzania's cooperation with Russia in the nuclear sector does not mean Tanzania is preparing to develop nuclear weapons. There is a major difference between: 1. Nuclear energy programs...
2 Reactions
1 Replies
156 Views
Kukosoa serikali ni jambo la kawaida na muhimu katika demokrasia. Lakini ukosoaji unapopoteza msingi wa ukweli na kuhamia kwenye propaganda, taifa lote hupoteza nafasi ya kufanya mjadala wa maana...
2 Reactions
27 Replies
206 Views
Waziri wa Mambo ya Nje Thabit Kombo ameeleza kuwa ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi, imeleta "mtikisiko chanya" wenye athari kubwa ulimwenguni...
2 Reactions
23 Replies
511 Views
Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA) kimekanusha taarifa zinazomhusisha muuguzi na tukio la kumpasua mgonjwa nyumbani juu ya makochi mkoani Tabora, kikibainisha kuwa mhusika hana sifa wala taaluma...
7 Reactions
21 Replies
648 Views
  • Redirect
Waziri wa Mambo ya Nje ameeleza kuwa ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi, imeleta "mtikisiko chanya" wenye athari kubwa ulimwenguni kote, na si...
0 Reactions
Replies
Views
Augustino Lissu, mtoto wa mwanasiasa mashuhuri wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, ametoa ushuhuda mzito na wenye hisia kali mbele ya maofisa wa Bunge la Seneti na Congress nchini Marekani...
36 Reactions
111 Replies
3K Views
Watu wengi hujiunga na vyama vya siasa kwa sababu ya ushawishi wa marafiki, familia, viongozi maarufu au hisia za wakati huo. Hata hivyo, hatua muhimu ambayo mara nyingi hupuuzwa ni kuelewa...
0 Reactions
1 Replies
95 Views
Ukweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ni nani yuko tayari kuyatoa maisha yake kwaajili ya Taifa?
11 Reactions
141 Replies
10K Views
Back
Top Bottom