Waziri Mkuu Majaliwa, aagiza Lusubilo Mwakibibi kufikishwa Mahakamani

John7371

JF-Expert Member
Apr 29, 2018
2,994
6,641
Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim ametoa siku 4 kwa Ofisi ya TAKUKURU Temeke kumfikisha Mahakamani aliyekuwa Mkurugenzi wa zamani wa Wilaya hiyo, Lusubilo Mwakabibi na wenzake kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha katika ujenzi wa barabara ya Kijichi Mwanamtoti yenye urefu wa Kilomita 1.8 ikiwa imejengwa kwa gharama ya Bilioni 5.4.

Waziri Majaliwa ametoa maagizo hayo leo wakati wa ziara yake katika wilaya ya Temeke ambapo amemuagiza Mkuu wa TAKUKURU Temeke kuwatafuta wahusika wote akiwemo Mkurugenzi huyo wa zamani kwa ajili ya kushitakiwa.

"Nawapa siku 4, tarehe 20 deadline watu waende Mahakamani, ita yeyote yule huyu aliyehamishwa hapa arudishwe, huyo Mkurugenzi aliyewekwa pembeni arudishwe na Msimamizi Msaidizi, Edward Haule rudisha wote peleka mahakamani hatuwezi kufanya mchezo hapa hizi fedha za wananchi”.

Pia soma
 
Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim ametoa siku 4 kwa Ofisi ya TAKUKURU Temeke kumfikisha Mahakamani aliyekuwa Mkurugenzi wa zamani wa Wilaya hiyo, Lusubilo Mwakabibi na wenzake kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha katika ujenzi wa barabara ya Kijichi Mwanamtoti yenye urefu wa Kilomita 1.8 ikiwa imejengwa kwa gharama ya Bilioni 5.4.

Waziri Majaliwa ametoa maagizo hayo leo wakati wa ziara yake katika wilaya ya Temeke ambapo amemuagiza Mkuu wa TAKUKURU Temeke kuwatafuta wahusika wote akiwemo Mkurugenzi huyo wa zamani kwa ajili ya kushitakiwa.

"Nawapa siku 4, tarehe 20 deadline watu waende Mahakamani, ita yeyote yule huyu aliyehamishwa hapa arudishwe, huyo Mkurugenzi aliyewekwa pembeni arudishwe na Msimamizi Msaidizi, Edward Haule rudisha wote peleka mahakamani hatuwezi kufanya mchezo hapa hizi fedha za wananchi” ———Majaliwa.
Maagizo ya Kassim huwa yanapuuzwa au ni mimi ndio sijui?
 
Aise, hii nchi kila mmoja akipewa nafasi anakula kulingana na urefu wa kamba yake, kama utawala wa magufuli bado kuna watu waliiba hela kiasi hiki,, itakuaje utawala huu wa mama yetu jamani, maana huyu mama anaonekana kabisa hata Hajui kinachoendelea huko mikoani, kazi yake kwa sasa ni safari ya dodoma na dar es salaam, pamoja na safari ya nje!!! Ccm ijitafakari upya
 
Uonevu wa kubambikia watu makosa ni jambo baya sana. Malipo ni hapa hapa ulimwenguni. Hao ccm waendelee tu lakini Mungu yupo na muda utasema
 
Aise, hii nchi kila mmoja akipewa nafasi anakula kulingana na urefu wa kamba yake, kama utawala wa magufuli bado kuna watu waliiba hela kiasi hiki,, itakuaje utawala huu wa mama yetu jamani, maana huyu mama anaonekana kabisa hata Hajui kinachoendelea huko mikoani, kazi yake kwa sasa ni safari ya dodoma na dar es salaam, pamoja na safari ya nje!!! Ccm ijitafakari upya
Tena ni wengi kwa kisingizio cha uzalendo.

Iko hivi kama ulikuwa kwenye nafasi na ukawaaminisha watu wewe ni Tiss basi hapo ndipo upigaji ulipofanyika.

Uzuri wa awamu ile jasiri ndio alifaidi,bahati nzuri hakuna kuripotiwa na chombo chochote cha habari.
 
Aise, hii nchi kila mmoja akipewa nafasi anakula kulingana na urefu wa kamba yake, kama utawala wa magufuli bado kuna watu waliiba hela kiasi hiki,, itakuaje utawala huu wa mama yetu jamani, maana huyu mama anaonekana kabisa hata Hajui kinachoendelea huko mikoani, kazi yake kwa sasa ni safari ya dodoma na dar es salaam, pamoja na safari ya nje!!! Ccm ijitafakari upya
Hatoki labda afe. Na akifa kuna mhutu yupo pale anavizia.
 
Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim ametoa siku 4 kwa Ofisi ya TAKUKURU Temeke kumfikisha Mahakamani aliyekuwa Mkurugenzi wa zamani wa Wilaya hiyo, Lusubilo Mwakabibi na wenzake kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha katika ujenzi wa barabara ya Kijichi Mwanamtoti yenye urefu wa Kilomita 1.8 ikiwa imejengwa kwa gharama ya Bilioni 5.4.

Waziri Majaliwa ametoa maagizo hayo leo wakati wa ziara yake katika wilaya ya Temeke ambapo amemuagiza Mkuu wa TAKUKURU Temeke kuwatafuta wahusika wote akiwemo Mkurugenzi huyo wa zamani kwa ajili ya kushitakiwa.

"Nawapa siku 4, tarehe 20 deadline watu waende Mahakamani, ita yeyote yule huyu aliyehamishwa hapa arudishwe, huyo Mkurugenzi aliyewekwa pembeni arudishwe na Msimamizi Msaidizi, Edward Haule rudisha wote peleka mahakamani hatuwezi kufanya mchezo hapa hizi fedha za wananchi” ———Majaliwa.
Kwa wale wana mahesabu wenzangu,
5.4Bil/1.8km
= 3Bil/1km
 
Anapoka nguvu na kazi ya vyombo uchunguzi.......watamuweka ndani miaka 4 then ushahidi hakuna wanamuacha
 
Aisee yaani mtu anapiga bilioni zote hizo ndo mnashtukia. Wekeni hata utaratibu wa kujua ufisadi kabla haujafikia hatua kama hiyo.

Sasa hela zetu tutazipataje. Utakuta walishagawana Na zote wamehonga, kunywea bia Na kufanyia mengineyo
 
Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim ametoa siku 4 kwa Ofisi ya TAKUKURU Temeke kumfikisha Mahakamani aliyekuwa Mkurugenzi wa zamani wa Wilaya hiyo, Lusubilo Mwakabibi na wenzake kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha katika ujenzi wa barabara ya Kijichi Mwanamtoti yenye urefu wa Kilomita 1.8 ikiwa imejengwa kwa gharama ya Bilioni 5.4.

Waziri Majaliwa ametoa maagizo hayo leo wakati wa ziara yake katika wilaya ya Temeke ambapo amemuagiza Mkuu wa TAKUKURU Temeke kuwatafuta wahusika wote akiwemo Mkurugenzi huyo wa zamani kwa ajili ya kushitakiwa.

"Nawapa siku 4, tarehe 20 deadline watu waende Mahakamani, ita yeyote yule huyu aliyehamishwa hapa arudishwe, huyo Mkurugenzi aliyewekwa pembeni arudishwe na Msimamizi Msaidizi, Edward Haule rudisha wote peleka mahakamani hatuwezi kufanya mchezo hapa hizi fedha za wananchi” ———Majaliwa.
Hatuwezi Mh kukuamini maana huko nyuma ulisema Magufuli yupo ofisini anachapa kazi, wakati yuko kwenye friji! I can not bank on you, Your Excellency!
 
Back
Top Bottom