Heheee! Nani atakubali maridhiano?

Heheee! Nani atakubali maridhiano?

October 2pm

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2023
Posts
1,143
Reaction score
2,023
Mkadhani mkiniingiza ndani ndimi ntatoa siri ya kambi? Hehehe! Mahii, mnalota sana. Kama mnaniona zumbukuku, basi mumejikosea. Mmeloba.

Sasa huyo mtu wenu munayemtafuta, huenda akawaletee jambo kubwa la kutetemesha. Sijui walahi! Mahii! Hakuna mambo ya maridhiano wala mapatano tena.

Hakuna wa kukaa meza moja na wauaji. Mwaona yule mlomfanya mlemavu, mkamuweka ndani? Hata yeye hakubali. Sasa munapita njia ya nyuma, mlango wa uani. Tutaona mwisho wake. Na bado mambo hayajaisha. Dadeki!
 
Mkanadhani mkiniingiza ndani ndimi ntatoa siri ya kambi? Hehehe! Mahii, mnalota sana. Kama mnaniona zumbukuku, basi mumejikosea. Mmeloba.
Sasa huyo mtu wenu munayemtafuta, huenda akawaletee jambo kubwa la kutetemesha. Sijui walahi! Mahii! Hakuna mambo ya maridhiano wala mapatano tena.

Hakuna wa kukaa meza moja na wauaji. Mwaona yule mlomfanya chiba Chibale, mkamuweka ndani? Hata yeye hakubali. Sasa munapita njia ya nyuma, mlango wa uani. Tutaona mwisho wake. Na bado mambo hayajaisha. Dadeki!
Kiswahili ni lugha yetu sote!
 
"TUJIFUNZE LUGHA YETU"
Ilikuwa series ya vitabu vya somo la kiswahili shule ya msingi enzi zangu.
 
Mkadhani mkiniingiza ndani ndimi ntatoa siri ya kambi? Hehehe! Mahii, mnalota sana. Kama mnaniona zumbukuku, basi mumejikosea. Mmeloba.

Sasa huyo mtu wenu munayemtafuta, huenda akawaletee jambo kubwa la kutetemesha. Sijui walahi! Mahii! Hakuna mambo ya maridhiano wala mapatano tena.

Hakuna wa kukaa meza moja na wauaji. Mwaona yule mlomfanya mlemavu, mkamuweka ndani? Hata yeye hakubali. Sasa munapita njia ya nyuma, mlango wa uani. Tutaona mwisho wake. Na bado mambo hayajaisha. Dadeki!
Screenshot_20260719-105441~2.png
 
ameamua kuandika kwa mtindo huu ili kuficha utambulisho wake, na siyo kwamba hajui lugha
 
Back
Top Bottom