Mko poa wasoma uzi?
Niende kwenye mada, baada ya uanzishwaji wa vyama vingi CCM ilichukua mali zilizokua na Umma na kuweka kwenye milki ya chama.
Viwanja vya mpira kama Kirumba, Mwanza, Jamuhuri...
Sidhani kama kuna ubishi kwenye jambo hilo kama taifa.
Ushindi wa kishindo cha zaidi ya 90% alioupata mgombea ubunge wa CCM katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Isimani, mkoani Iringa, ni...
Nimepita leo ofisi za Nida pale Mombasa watu wamekusanyika wengi foleni juani toka asubuhi hadi jioni, hivi katika kizazi hiki cha technology ilivyopiga hatua una haja gani kuwaanika watu juani na...
Mkutano wa hadhara wa CHADEMA uliofanyika Karatu Mjini umevutia umati mkubwa wa wananchi waliojitokeza kusikiliza viongozi wa chama hicho wakizungumza kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa na...
Kwa mujibu wa Ibara ya 102(a) ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa, kila mkataba na makubaliano yaliyofanywa na mwanachana yoyote wa Umoja wa Mataifa lazima isajiliwe na kuchapishwa na Sekretariati ya...
MwanaJF maarufu ambaye pia ni mwanahabari na mwanasheria nguli, ndugu Pascal Mayalla ameonekana akilalamika hadharani kwamba kuna siku alimuuliza marehemu Magufuli swali gumu, akaishia kufungiwa...
Hii itachochea kwa kiasi kikubwa ari ya uzalendo miongoni mwa wananchi, na kuweka maslahi mapana ya waTanzania wote mbele kuliko maslahi binafsi.
Kwakuwa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi...
Ndugu zangu Watanzania,
Askofu Wa Kanisa La Katoliki Msumbiji Amepigwa Risasi na Kuuwawa na watu wasiojulikana. Ambapo Mpaka Saizi haijulikani kauwawa na nani .
Jeshi La Polisi La Nchi Hiyo...
MZEE FURAHAEL TENGA; ALIYEKUZIDI AKILI HUWEZI MSHINDA KWA UJINGA WAKO. ALIYEKUZIDI UTAJIRI HUWEZI MSHINDA KWA UMASKINI WAKO.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Moja ya kitu ambacho watu wajinga na...
Serikali ya kujidanganya tu! tupo pabaya kama taifa kwa ukweli
1. Marafiki wanapungua
2. Kesi kwa Rais na wanaulinzi wetu zinatengenezwa kwasababu ya Oct 29,2025
3. Pesa za maendeleo kutoka US...
Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya, Masaga Kaloli, amesema chama chake hakina nia ya kuingilia migogoro ya ndani ya CCM, lakini kama kiongozi anayetajwa kwa jina la “Yuda Iskariote” ana dhamira...
Ndugu zangu Watanzania,
Najua Kila Mtanzania anafahamu ,kuelewa na kutambua Ya kuwa Ndugu Abdul Ni Mtoto Wa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania...
Nianze tahadhari hii fupi kwa misemo ya kifalsafa ili kuwapa mwaliko wa kufikiri kizazi cha “hi inakuwaje”, “ni aje”, “wari”, “ugari”, “lisaa limoja”, “Arsenal imepata matokeo” (yepi, chanya au...
Je, unafanya nini ikiwa unaongoza chama cha upinzani ambacho, kwa ukweli kabisa, hakina uwezo wa kushinda uchaguzi kwa sababu hakijawahi kuwasilisha mawazo au sera za maana kwa wapiga kura tangu...
ORODHA YA WATU 1000 MASHUHURI TZ + WAPIGANIAJI MABADILIKO
1. Viongozi & Mashujaa wa Historia ∼80
Mwalimu Julius Nyerere, Abeid Karume, Rashid Kawawa, Oscar Kambona, Bibi Titi Mohamed, Edward...
Naomba huu Uzi usiunganishwe umebeba Maana kubwa sana kuhusu Rais wetu kipenzi Samia
Mapenzi yangu kwako ni kama ya Nchimbi na Polepole kwako
Tunashukuru ziara yako ya hapa Urusi imewafungua...
Wengi hawakuamini masuala ya uwepo wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, na mamluki wao, waliojificha ndani ya miongoni mwa vyama vya siasa nchini, wakiwa na nia na dhamira ovu dhidi ya taifa...
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, yuko Kyela kwa ajili ya Kampeni ya Katiba Mpya na Free Lissu.
Kwa kadri ya...
Edwin Odemba: unaamini kwamba Chama cha Mapinduzi ndicho kilikuwa ni chama sahihi eh ya wewe kuwepo kwa wakati ule?"
Peter Msigwa: "In a way ndio na in a way no. Uh lakini kwa..."
Edwin Odemba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.