Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mko poa wasoma uzi? Niende kwenye mada, baada ya uanzishwaji wa vyama vingi CCM ilichukua mali zilizokua na Umma na kuweka kwenye milki ya chama. Viwanja vya mpira kama Kirumba, Mwanza, Jamuhuri...
3 Reactions
2 Replies
141 Views
Sidhani kama kuna ubishi kwenye jambo hilo kama taifa. Ushindi wa kishindo cha zaidi ya 90% alioupata mgombea ubunge wa CCM katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Isimani, mkoani Iringa, ni...
3 Reactions
49 Replies
338 Views
Nimepita leo ofisi za Nida pale Mombasa watu wamekusanyika wengi foleni juani toka asubuhi hadi jioni, hivi katika kizazi hiki cha technology ilivyopiga hatua una haja gani kuwaanika watu juani na...
3 Reactions
9 Replies
150 Views
Mkutano wa hadhara wa CHADEMA uliofanyika Karatu Mjini umevutia umati mkubwa wa wananchi waliojitokeza kusikiliza viongozi wa chama hicho wakizungumza kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa na...
12 Reactions
12 Replies
374 Views
Kwa mujibu wa Ibara ya 102(a) ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa, kila mkataba na makubaliano yaliyofanywa na mwanachana yoyote wa Umoja wa Mataifa lazima isajiliwe na kuchapishwa na Sekretariati ya...
10 Reactions
26 Replies
7K Views
MwanaJF maarufu ambaye pia ni mwanahabari na mwanasheria nguli, ndugu Pascal Mayalla ameonekana akilalamika hadharani kwamba kuna siku alimuuliza marehemu Magufuli swali gumu, akaishia kufungiwa...
17 Reactions
61 Replies
1K Views
Hii itachochea kwa kiasi kikubwa ari ya uzalendo miongoni mwa wananchi, na kuweka maslahi mapana ya waTanzania wote mbele kuliko maslahi binafsi. Kwakuwa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi...
6 Reactions
54 Replies
524 Views
Ndugu zangu Watanzania, Askofu Wa Kanisa La Katoliki Msumbiji Amepigwa Risasi na Kuuwawa na watu wasiojulikana. Ambapo Mpaka Saizi haijulikani kauwawa na nani . Jeshi La Polisi La Nchi Hiyo...
4 Reactions
29 Replies
524 Views
MZEE FURAHAEL TENGA; ALIYEKUZIDI AKILI HUWEZI MSHINDA KWA UJINGA WAKO. ALIYEKUZIDI UTAJIRI HUWEZI MSHINDA KWA UMASKINI WAKO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Moja ya kitu ambacho watu wajinga na...
2 Reactions
1 Replies
115 Views
Serikali ya kujidanganya tu! tupo pabaya kama taifa kwa ukweli 1. Marafiki wanapungua 2. Kesi kwa Rais na wanaulinzi wetu zinatengenezwa kwasababu ya Oct 29,2025 3. Pesa za maendeleo kutoka US...
1 Reactions
1 Replies
102 Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya, Masaga Kaloli, amesema chama chake hakina nia ya kuingilia migogoro ya ndani ya CCM, lakini kama kiongozi anayetajwa kwa jina la “Yuda Iskariote” ana dhamira...
0 Reactions
0 Replies
94 Views
Ndugu zangu Watanzania, Najua Kila Mtanzania anafahamu ,kuelewa na kutambua Ya kuwa Ndugu Abdul Ni Mtoto Wa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania...
9 Reactions
124 Replies
2K Views
Nianze tahadhari hii fupi kwa misemo ya kifalsafa ili kuwapa mwaliko wa kufikiri kizazi cha “hi inakuwaje”, “ni aje”, “wari”, “ugari”, “lisaa limoja”, “Arsenal imepata matokeo” (yepi, chanya au...
0 Reactions
1 Replies
130 Views
Je, unafanya nini ikiwa unaongoza chama cha upinzani ambacho, kwa ukweli kabisa, hakina uwezo wa kushinda uchaguzi kwa sababu hakijawahi kuwasilisha mawazo au sera za maana kwa wapiga kura tangu...
2 Reactions
22 Replies
266 Views
ORODHA YA WATU 1000 MASHUHURI TZ + WAPIGANIAJI MABADILIKO 1. Viongozi & Mashujaa wa Historia ∼80 Mwalimu Julius Nyerere, Abeid Karume, Rashid Kawawa, Oscar Kambona, Bibi Titi Mohamed, Edward...
12 Reactions
12 Replies
380 Views
Naomba huu Uzi usiunganishwe umebeba Maana kubwa sana kuhusu Rais wetu kipenzi Samia Mapenzi yangu kwako ni kama ya Nchimbi na Polepole kwako Tunashukuru ziara yako ya hapa Urusi imewafungua...
34 Reactions
38 Replies
897 Views
Wengi hawakuamini masuala ya uwepo wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, na mamluki wao, waliojificha ndani ya miongoni mwa vyama vya siasa nchini, wakiwa na nia na dhamira ovu dhidi ya taifa...
4 Reactions
43 Replies
594 Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, yuko Kyela kwa ajili ya Kampeni ya Katiba Mpya na Free Lissu. Kwa kadri ya...
21 Reactions
47 Replies
968 Views
Edwin Odemba: unaamini kwamba Chama cha Mapinduzi ndicho kilikuwa ni chama sahihi eh ya wewe kuwepo kwa wakati ule?" Peter Msigwa: "In a way ndio na in a way no. Uh lakini kwa..." Edwin Odemba...
3 Reactions
18 Replies
278 Views
Back
Top Bottom