Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,647
- 218,101
Taarifa hii imetolewa leo na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh Othman Masoud akiwa ziarani kujitambulisha kwa wanachama wa chama chake cha ACT Wazalendo.
Ambapo amedai mpaka leo hakuna nchi nyingine itakayopewa code hiyo kwa vile ni mali ya Zanzibar
Nitajaribu kuweka video kama itakubali ili kila mmoja ajionee
Ambapo amedai mpaka leo hakuna nchi nyingine itakayopewa code hiyo kwa vile ni mali ya Zanzibar
Nitajaribu kuweka video kama itakubali ili kila mmoja ajionee