Mtu anaitwa Vyombo vya Habari, anasema, HECHE anakula Hela za TONETONE.
unakuta Mtu huyo, anajikita ni Katibu wa BAVICHA Nanjilinji.
Yaan wewe wa Nanjilinji hukoo maporin, unaanzaje Kufungua...
Wanabodi
Mungu na Shetani
Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani ambalo naliendesha kwa hoja za maswali
Kwanza hebu msikilizeni nabii huyu...
Taarifa hii imetolewa leo na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh Othman Masoud akiwa ziarani kujitambulisha kwa wanachama wa chama chake cha ACT Wazalendo.
Ambapo amedai mpaka leo hakuna nchi...
Kwenu Waheshimiwa wenye Mamlaka kwenye hii nchi
Asalaam aleykum?
Bwana Yesu asifiwe?
Kristu ?
Kwa heshima kubwa, naomba nitoe ushauri kama mwananchi mwenye nia njema kwa mustakabali wa nchi...
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania, taasisi za umma na binafsi, mashirika na wadau wa maendeleo waungane na Serikali katika kuwezesha matibabu ya upandikizaji wa figo na uloto...
…Imebidi niulize hili ili wadau mnisaidie , RC wa Dar es salaam ameonekana akikagua ujenzi wa Barabara ya Chang'ombe - Maduka mawili , ambayo ujenzi wake umefanywa baada ya CCM kung'olewa jijini...
Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim ametoa siku 4 kwa Ofisi ya TAKUKURU Temeke kumfikisha Mahakamani aliyekuwa Mkurugenzi wa zamani wa Wilaya hiyo, Lusubilo Mwakabibi na wenzake kwa tuhuma za...
Wote ni mashahidi miji ya Tanzania ina sifa moja mingi ina squatter zifuatazo ni njia ambazo ntazitumia kuondoa hizi squatter zilizopo kama sehemu ya kuifanya nchi kuwa nzuri kama nchi zilizoendelea
CCM Imefanikiwa sana kulinda amani kwa haya makundi ya watu
1. Mafisaidi
2. Wezi
3. Mapuyanga/mapapai/ mchicha mwiba, madafu.
4. Al munafiqina
5. Wachawi/Machawa
Huwezi kuwa katika makundi au...
Wadau, jana Chuma Heche ametoa neno linalohitaji fikra tunduizi kwa kusema 'mwenye mpira ndio anayekabwa na akaenda mbali kwa kusema mpira uko chini ya udhibiti wake ndio maana wakabaji wa mpira...
Sheria ni nini? WAJIBU wake kwa jamii,
Sheria ni mjumuisho wa kanuni ambazo wananchi na viongozi. wanapaswa kuzifuata katika utekelezaji wa majukumu Yao ya Kila siku. Sheria za nchi hutungwa baada...
Heche amesema kwamba hao wanaosemasema, ni kutaka kufifisha mjadala wa kifo cha dereva wake Suez Daniel Maradufu.
Amesema ni mikakati imepangwa si bahati mbaya. Polisi ndo Waliopiga picha Maiti...
Mradi huu ni wa serikali kwa kupitia Taasisi zake.
Aliyeufisadi hajulikani.
Na mwenye mradi hajulikani, lakini fedha zilizotumika ni za Watanzania.
Sikumbuki kama kuna mtu yeyote aliyechukuliwa...
Mwenyekiti wa State Oil (T) Ltd Nilesh Suchak kupitia kampuni ya Uwakili ya Prime Attorneys amemtumia barua Mkurugenzi Mtendaji wa Jamvi la Habari Habib Mchange akimtaka kuomba radhi na kufuta...
WAZIRI KOMBO AKUTANA NA UJUMBE MAALUM WA RAIS WA DRC
Waziri Kombo Akutana na Mjumbe Maalumu wa Rais wa DRC Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Mahmoud Thabit...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.