Hvi hizi dharahu zimejitokeza baada ya kuona Raisi anaikumbatia sana Zanzibari.
Vyombo kama TISS kazi yao nini je wapo kwa maslahi ya Raisi au Taifa,
HIvi kuna wapemba wangapi huku bara.
Sababu...
Nimejikuta nawakumbuka watu waliopotea kisa kusema ukweli na kukemea maovu kama kina Polepole.
Nauhakika wengi kama sio wote wameshauawa na hatutawaona tena.'Mungu awapokee katika ufalme wale...
Kamwe hakuna chama kinachoweza kukamata dola ya Tanzania bila kuwekeza vyema kwa wafuasi wengi wa Tanzania bara na Tanzania visiwani.
Dr Wilbrod Slaa na Marehemu Edward lowassa walitambua hili na...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche, akizungumza katika Mahojiano na Bongo FM leo Juni 10, 2026, amejibu kauli ya Mwenezi wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi...
Hamjambo!
Huwezi kataa nature.
Zipo jamii zenye watu warefu, wapo wafupi, wapo mchanganyiko yaani warefu, wakawaida na wafupi.
Zipo jamii zenye watu wenye ngozi nyeupe, nyeusi na njano na...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche akifanya Mahojiano na Bongo FM leo Juni 10, 2026, amesema haungi mkono tabia ya watu kuhama Vyama
"Watanzania wana haki...
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, ametoa wito mzito na wa dharura akiwataka Watanganyika kuamka na kuanza kuhoji kwa kina mifumo, haki, na maslahi ya nchi yao...
KWAKUWA NI HALALI KWA WAZANZIBARI KULINDA HAKI ZA WAZANZIBARI HAIWEZI KUWA HARAMU KWA WATANGANYIKA KULINDA HAKI ZA WATANGANYIKA.
Kwa yanayoendelea kujitokeza katika Baraza la Wawakilishi...
Watu wengi hujiuliza kwa nini Marekani na Uingereza zimeendelea kuwa miongoni mwa nchi zenye ushawishi mkubwa duniani kwa mamia ya miaka. Wengine hudhani ni kwa sababu ya utajiri wa maliasili...
Huwa tunashuhudia mipango ya kutenda uovu au vurugu kwenye nchi ikiandaliwa kupitia hamasa ya wanaharakati uchwara.
Halafu hawa TEC wanakuwa kimya, wala hawawezi kukemea Sasa swali ni je?
Wao...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche akizungumza katika Mahojiano na Bongo FM leo Juni 10, 2026.
"Hii nchi haina amani bwana. Nchi ambayo ina amani polisi...
Said Issa Mohammed, aliyefukuzwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa madai ya kukiuka katiba, kanuni na miongozo ya chama, amesema uamuzi huo ni kinyume na katiba ya chama...
LAZIMA tupinge ubaguzi huu lakini tukiwa tumeshikilia kete kuu ya 29 October
Kitendo Cha viongozi kunyamazia kauli ya kwanza ya Ubaguzi WA wazi kuhusu ajira ni ishara kwamba hiyo kete ilitupwa...
Wakuu,
Naona Bi. Mkubwa kaona anakosa wa kupiga nae umbea na kushangilia mambo MAZURI ya uongozi wake, akaona amvute Oddo ake karibu, sasa amebaki Makamba kumsaidia kuua hizo team ndani ya...
Serikali hii fake sasa imekuwa kama dalali wa madini tu. Hizi nchi zinataka madini tu. Yaani kwa ujinga Watanzania tunachukuliwa ardhi yetu wanapewa Urusi eti walime! Kwani Watanzania hawawezi...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche akizungumza katika Mahojiano na Bongo FM leo Juni 10, 2026, akijibu kuhusiana na kauli iliyotolewa na Mwenezi CCM Taifa...
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP), Wilbrod Mutafungwa amesema Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limeanza uchunguzi wa kuwasaka wote wanaosambaza vipeperushi...
Juni 8, 2026, Ukurasa wa Instagram 'switch Tv ke' ilichapisha taarifa orodha ya watengeneza maudhui wa Kenya kama vile Mjaka Mfine, Mokaya, na Malcolm kupigwa marufuku kuingia Tanzania na Zanzibar...
Dkt. Bashiru anapinga mtazamo wa kuwa vyama vingine vya upinzani (ukiondoa CHADEMA) ni "project" au miradi CCM, akisisitiza kuwa madai hayo si ya kweli na ni njia ya kuvidharau vyama...
Ndo maana hafanyi reshuffle anawaacha wale kwanza Waijenge Zanzibar kupitia bara.
Asilimia 69 ya wakurugenzi waliopo wilayani Tanzania bara ni kutoka Zanzibar
Asilimia 59 ya wakuu wa wilaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.