Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mtu anaitwa Vyombo vya Habari, anasema, HECHE anakula Hela za TONETONE. unakuta Mtu huyo, anajikita ni Katibu wa BAVICHA Nanjilinji. Yaan wewe wa Nanjilinji hukoo maporin, unaanzaje Kufungua...
5 Reactions
5 Replies
112 Views
Wanabodi Mungu na Shetani Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani ambalo naliendesha kwa hoja za maswali Kwanza hebu msikilizeni nabii huyu...
16 Reactions
50 Replies
3K Views
Taarifa hii imetolewa leo na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh Othman Masoud akiwa ziarani kujitambulisha kwa wanachama wa chama chake cha ACT Wazalendo. Ambapo amedai mpaka leo hakuna nchi...
16 Reactions
187 Replies
24K Views
Huu uzi ukiusikiliza kama wewe ni mpenda haki lazima utavimbiwa na mihasira. Nawaomba tumsikikize Tena wandugu maana wimbo mzuri daima hauchuji.
3 Reactions
10 Replies
248 Views
Wanabodi Watch this https://youtu.be/mjaFkFP3swk?si=HQWWh1DplyU1uuzG Could this be true?. Paskali
7 Reactions
25 Replies
510 Views
Kwenu Waheshimiwa wenye Mamlaka kwenye hii nchi Asalaam aleykum? Bwana Yesu asifiwe? Kristu ? Kwa heshima kubwa, naomba nitoe ushauri kama mwananchi mwenye nia njema kwa mustakabali wa nchi...
1 Reactions
5 Replies
94 Views
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania, taasisi za umma na binafsi, mashirika na wadau wa maendeleo waungane na Serikali katika kuwezesha matibabu ya upandikizaji wa figo na uloto...
1 Reactions
5 Replies
163 Views
…Imebidi niulize hili ili wadau mnisaidie , RC wa Dar es salaam ameonekana akikagua ujenzi wa Barabara ya Chang'ombe - Maduka mawili , ambayo ujenzi wake umefanywa baada ya CCM kung'olewa jijini...
17 Reactions
121 Replies
11K Views
CCM mtalaaniwa milele. Sikiliza clip hii. Wanamrubuni kiongozi wa chadema aseme uongo dhidi ya Heche.
3 Reactions
6 Replies
188 Views
Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim ametoa siku 4 kwa Ofisi ya TAKUKURU Temeke kumfikisha Mahakamani aliyekuwa Mkurugenzi wa zamani wa Wilaya hiyo, Lusubilo Mwakabibi na wenzake kwa tuhuma za...
9 Reactions
86 Replies
12K Views
Ushafunga mkataba wa kiduwanzi na Shetani eti leo ndio unakuja kuona Wazee Tushakustukia.
8 Reactions
30 Replies
616 Views
Wote ni mashahidi miji ya Tanzania ina sifa moja mingi ina squatter zifuatazo ni njia ambazo ntazitumia kuondoa hizi squatter zilizopo kama sehemu ya kuifanya nchi kuwa nzuri kama nchi zilizoendelea
3 Reactions
15 Replies
263 Views
CCM Imefanikiwa sana kulinda amani kwa haya makundi ya watu 1. Mafisaidi 2. Wezi 3. Mapuyanga/mapapai/ mchicha mwiba, madafu. 4. Al munafiqina 5. Wachawi/Machawa Huwezi kuwa katika makundi au...
6 Reactions
4 Replies
102 Views
Karibu Tanzania Mhe. Abdel Fattah El - Sisi, Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri Ziara ya Kitaifa 18 Julai, 2026.
2 Reactions
10 Replies
218 Views
Wadau, jana Chuma Heche ametoa neno linalohitaji fikra tunduizi kwa kusema 'mwenye mpira ndio anayekabwa na akaenda mbali kwa kusema mpira uko chini ya udhibiti wake ndio maana wakabaji wa mpira...
19 Reactions
49 Replies
756 Views
Sheria ni nini? WAJIBU wake kwa jamii, Sheria ni mjumuisho wa kanuni ambazo wananchi na viongozi. wanapaswa kuzifuata katika utekelezaji wa majukumu Yao ya Kila siku. Sheria za nchi hutungwa baada...
8 Reactions
14 Replies
164 Views
Heche amesema kwamba hao wanaosemasema, ni kutaka kufifisha mjadala wa kifo cha dereva wake Suez Daniel Maradufu. Amesema ni mikakati imepangwa si bahati mbaya. Polisi ndo Waliopiga picha Maiti...
19 Reactions
20 Replies
556 Views
Mradi huu ni wa serikali kwa kupitia Taasisi zake. Aliyeufisadi hajulikani. Na mwenye mradi hajulikani, lakini fedha zilizotumika ni za Watanzania. Sikumbuki kama kuna mtu yeyote aliyechukuliwa...
19 Reactions
89 Replies
6K Views
Mwenyekiti wa State Oil (T) Ltd Nilesh Suchak kupitia kampuni ya Uwakili ya Prime Attorneys amemtumia barua Mkurugenzi Mtendaji wa Jamvi la Habari Habib Mchange akimtaka kuomba radhi na kufuta...
2 Reactions
3 Replies
124 Views
WAZIRI KOMBO AKUTANA NA UJUMBE MAALUM WA RAIS WA DRC Waziri Kombo Akutana na Mjumbe Maalumu wa Rais wa DRC Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Mahmoud Thabit...
2 Reactions
4 Replies
103 Views
Back
Top Bottom