Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mliwafukuza wabunge wao kimefika wapi, kubalini yaishe. =============== Leo Mabalozi wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya wamekutana na Mhe. Amb. M.T. Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania...
10 Reactions
45 Replies
1K Views
Kuna maambo yanachekesha kabisa nasikia kuna mtu anatapa tapa kwamba ataenda ICC kushtaki, ni kwa kosa lipi alilofanya Magufuli? Nasikia mwingine huko zanzibar ameanza kuzurura nje eti subirini...
16 Reactions
85 Replies
13K Views
Kwa mfuatiliaji mzuri sana wa mambo ya siasa na Taifa ili tuna watu watatu ambao ni wa kuangalia kwa makini, 1.Makongoro Nyerere, Mzanaki 2. Muzamir kalokola - Mhaya 3. John Magufuli-...
17 Reactions
93 Replies
19K Views
Mkuu wa Mkoa wa Njombe RC Anthony Mtaka akiongea kuhusu Watumishi wa Umma kuhusu nidhamu na mshahara amesema kuwa watumishi wa Umma wanajisahau kuanza ujenzi mapema wanakuja kujenga wakati ambao...
7 Reactions
44 Replies
713 Views
My Take Wale wa Samia ameuza Mali zao za Urithi mnaitwa kuja kumwaga povu jingine. Kwa taarifa yenu sio tuu shehena ya mzigo imeongezeka Bali muda wa kusubiria meli umetoka siku 14 Hadi siku 3...
8 Reactions
171 Replies
6K Views
Mwenyekiti wa BAWACHA Mkoa wa Rukwa, Aida Khenani, amewataka wananchi kutowalaumu askari wa chini kwa vifo vilivyotokea Kyela Oktoba 29, bali kuhoji mamlaka iliyotoa amri ya matumizi ya nguvu...
2 Reactions
4 Replies
183 Views
Huyu Jamaa alipokuwa anasifiasifia Tanzania wala sikumwelewa, hadi alitunukiwa ubalozi wa utalii, Nina hakika hata waliomtunukia ubalozi hawakumjua, huyu alitumwa kufanya Kazi Maalum na ameifanya...
34 Reactions
48 Replies
2K Views
Ni ombwe la uongozi na ukata wa pesa tu au kuna jingine? Kwa mfano, Uropokaji umekidumaza mno kisiasa chama hicho cha siasa nchini, Lakini pia kufanya siasa za kutegemea zaidi artificial...
1 Reactions
34 Replies
312 Views
Hivi haya mambo makubwa anayoyafanya Rais Dkt Samia hawa wanaharakati hawayaoni? Si walikuwa wanapiga kelele enzi za Hayati Magufuli wakisema nchi imefungwa na fursa za kimataifa zimezuiwa? Sasa...
2 Reactions
11 Replies
125 Views
Ndugu zangu wapinzani na hata wana harakati, siyo dhambi mkiyaenzi japo mazuri ya viongozi waliotangulia mbele za haki. Mfano hayati Rais Magufuli, siyo dhambi akienziwa kwa kupambana kwake...
1 Reactions
4 Replies
94 Views
  • Redirect
Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Halima Mdee, ambaye alifukuzwa uanachama wa chama hicho mwaka 2020 pamoja na wabunge wengine 18 wa Viti Maalum, amerejea rasmi ndani ya chama...
5 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
GTs, Baada ya safari ya Urusi, hakika niliyoyashuhudia huko, basi Dkt Samia aendelee kubakia kwenye kiti cha Urais mpaka 2040. Cha muhimu tuanze mchakato wa kubadili katiba ya chama na ya nchi...
0 Reactions
Replies
Views
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Taifa, Ally Salum Hapi akiwa Shinyanga Juni 4, 2026 amesema; "Chama chenye sera nzuri, ni chama cha Mapinduzi. Wamepewa fursa ya kusema, waitumie fursa...
7 Reactions
34 Replies
603 Views
Anonymous
Kumekuwa na malalamiko yanayoashiria uwezekano wa matumizi mabaya ya fedha, ambapo baadhi ya viongozi wanadaiwa kunufaika zaidi na mapato ya hospitali huku watumishi wanaochangia kwa kiasi kikubwa...
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema kuwa kukosoa ni haki ya msingi katika jamii ya kidemokrasia, lakini ukosoaji huo unapaswa...
3 Reactions
9 Replies
315 Views
Kauli ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, alipokuwa akizungumza katika mahojiano kwenye kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa na kituo cha televisheni cha ITV, Juni 8, 2026...
4 Reactions
18 Replies
447 Views
Hivi karibuni niliandika kwamba ile bidii ya Raisi Samia kuchukua mikopo ya nje kila siku ilikuwa ni mkakati maalumu uliowekwa ili fedha nyingi ziende Zanzibar kama mgawo wao wa hiyo mikopo. Fedha...
9 Reactions
52 Replies
698 Views
Rais wa Singapore, Tharman Shanmugaratnam, akizungumza leo Juni 9, 2026, katika Ikulu ya Dar es Salaam mara baada mazungumzo na Rais Samiaamesema wamekubaliana kuendelea kuimarisha ushirikiano wa...
0 Reactions
3 Replies
101 Views
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa majina yao kwenye mali na miradi ya nchi, hili jambo halina maana wala tija yoyote ile. Kwa mfano, si sawa kwa stendi ya...
29 Reactions
263 Replies
14K Views
Rais wa Jamhuri ya Singapore, Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam, anatarajiwa kuwasili Tanzania jioni ya leo kwa ajili ya kuanza Ziara ya Kiserikali kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
1 Reactions
4 Replies
169 Views
Back
Top Bottom