Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Akizungumza Julai 20, 2026 kwenye kipindi cha Dakika 45 cha ITV, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesisitiza kuwa hakuna Katiba ya Jaji Warioba bali...
1 Reactions
12 Replies
192 Views
Huko Mbeya, kitu cha ajabu kimetokea. Uongozi wa kata/kitongoji imetumia mbinu ya kutangaza kuwaambia wananchi kuwa kuna maiti zimeokotwa ili kukusanya watu. Huu ni ushenzi kwa lugha yoyote na...
6 Reactions
7 Replies
148 Views
Mtangazaji Oscar:Kuna swala la amani... swala la amani na usalama ambalo Mheshimiwa Rais pia amezungumza kwamba ili tuweze kupata maendeleo kama nchi, tunapaswa kuendelea kudumisha amani...
1 Reactions
5 Replies
151 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amepuuza madai yanayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kwamba vijana wameichoka CCM na kwamba chama hicho...
0 Reactions
3 Replies
109 Views
Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Chipando Maarufu Baba Levo akizungumza leo Julai 20, 2026 katika uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha sita kutoka Tabora hadi Kigoma...
1 Reactions
16 Replies
340 Views
KWAKUWA NI HALALI KWA WAZANZIBARI KULINDA HAKI ZA WAZANZIBARI HAIWEZI KUWA HARAMU KWA WATANGANYIKA KULINDA HAKI ZA WATANGANYIKA. Kwa yanayoendelea kujitokeza katika Baraza la Wawakilishi...
5 Reactions
15 Replies
445 Views
10 May 2026 Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa https://m.youtube.com/watch?v=sZv8yMHKNII Mazungumzo haya yalifanyika mnamo Mei...
11 Reactions
60 Replies
2K Views
Katika watu ambao hawafai hata kutajwa na ni sumu ya uzalendo wetu ni lissu huyu mtu siasa zake zimelirudisha nyuma Taifa letu kimaendeleo, Lissu ni mtu asiye na uchungu na Taifa letu, ni mtu...
1 Reactions
95 Replies
958 Views
Ndugu zangu Watanzania, Napenda kumpa Taarifa Mke wa Lissu kuwa kama anataka kumuona na kuonana na Lissu basi apande ndege na kuja Nchini ili aende gerezani kuonana naye na siyo kuongea ongea na...
1 Reactions
45 Replies
644 Views
  • Redirect
Wakati anafikishwa mahakamani leo hii21.7.2026 MH Lissu ametuhimiza sisi watanzania tukuchangie cdm maana ndiyo chama pekee cha kuwakomboa watanzania. Huu ni ujumbe muhimu sana kwa watanzania...
0 Reactions
Replies
Views
Yuko wapi!?! Huyu Naibu Waziri wa Kazi,Ajira na Vijana wa Zamani kupitia CCM ya Marehemu Magufuli na Makamu Mwenyekiti wa Zamani wa BAVICHA ya HECHE?!! Au ndiyo Kimya Kingi tungojee Kishindo Cha...
10 Reactions
42 Replies
1K Views
Hivi na nyie mliamini au mnaamini kua atawapa katiba Mpya ndani ya hii miaka 5 hadi 2030? Kama unaamini hivo basi polee sana tena polee sana. Uongo wa kudhihirisha hayupo tayar kutoa katiba Mpya...
4 Reactions
9 Replies
203 Views
Tanzania’s🇹🇿 Immigration Services Department has released a list of African countries whose citizens can enter the country without applying for a visa. The move is expected to boost tourism...
0 Reactions
6 Replies
227 Views
Hivi kweli Hawa polisi wa Tanzania wakutuhumu, kumuua mwenzao alafu wakishikikie siku 21 alafu wakupeleke mahakamani na upewe dhamana ukalale na Mume au mkeo? Hii nchi ccm inatupeleka pabaya...
1 Reactions
4 Replies
217 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Kigoma na Watanzania kwa ujumla kudumisha amani na usalama ili kuchochea maendeleo Akizungumza leo Julai 20...
2 Reactions
63 Replies
966 Views
|||MASAA 2 BILA KUSOMA POPOTE.-MHADHIRI SUA. David Kafulila, Mkurugenzi wa PPPC, akihutubia katika mhadhara wa umma Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA), alisisitiza wajibu wa taasisi hiyo kubwa yenye...
2 Reactions
28 Replies
500 Views
DAR ES SALAAM – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amefanya mazungumzo muhimu na Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Mheshimiwa Wang Yi, Ikulu jijini...
0 Reactions
3 Replies
232 Views
Nimemusoma uku machozi ya furaha yakinibubujika. Ukombozi umekaribia kabisa upo mlangoni maana waliokua vipofu sasa wanaona na kuutanbua ukweli wote bila kubakiza kitu WATU WA MUNGU WTARUDI KWAKE...
14 Reactions
17 Replies
450 Views
Flashback: Kumbuka hili ni Shauri la kikatiba Na. 7300 lililofunguliwa na mawakili Maduhu William, Nashon Nkungu na Paul Kisabo dhidi ya Kamishina Jenerali wa Magereza, Mkuu wa Gereza la Ukonga na...
11 Reactions
18 Replies
955 Views
Nimekutana na Clip hii kwenye Mitandao ya Kijamii kama ni kweli basi ni kubaya.
11 Reactions
22 Replies
754 Views
Back
Top Bottom