Sheria ni nini? WAJIBU wake kwa jamii,
Sheria ni mjumuisho wa kanuni ambazo wananchi na viongozi. wanapaswa kuzifuata katika utekelezaji wa majukumu Yao ya Kila siku. Sheria za nchi hutungwa baada...
Heche amesema kwamba hao wanaosemasema, ni kutaka kufifisha mjadala wa kifo cha dereva wake Suez Daniel Maradufu.
Amesema ni mikakati imepangwa si bahati mbaya. Polisi ndo Waliopiga picha Maiti...
Mradi huu ni wa serikali kwa kupitia Taasisi zake.
Aliyeufisadi hajulikani.
Na mwenye mradi hajulikani, lakini fedha zilizotumika ni za Watanzania.
Sikumbuki kama kuna mtu yeyote aliyechukuliwa...
Mwenyekiti wa State Oil (T) Ltd Nilesh Suchak kupitia kampuni ya Uwakili ya Prime Attorneys amemtumia barua Mkurugenzi Mtendaji wa Jamvi la Habari Habib Mchange akimtaka kuomba radhi na kufuta...
WAZIRI KOMBO AKUTANA NA UJUMBE MAALUM WA RAIS WA DRC
Waziri Kombo Akutana na Mjumbe Maalumu wa Rais wa DRC Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Mahmoud Thabit...
1. Watu wanatekwa wewe upo upo tu.
2. Fedha za nchi yetu zinaibiwa wewe upo upo tu.
3. Watu wanachochea udini na kuanzisha magenge ya kihalifu wewe upo upo tu.
4. Mahakama inadharaulika wewe upo...
Hakika Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Hii ni rekodi ya ajabu Sana!
UPDATES
××××××××
Taarifa Mpya zinaeleza kwamba sasa ni zaidi ya Mil 100, tunakimbilia mil 200
Pia soma: Njama za kuhujumu...
Wananchi wanawatag Polisi kuwajulisha dhamira yao ya kuandamana kwa amani Agosti, 8, 2026 maarufu kama 8/8
Tangazo hili linaonesha sababu za maandano ni
Kupinga Utekaji
Kudai kuheshimiwa kwa...
Ndugu Zangu Watanzania,
Pamoja na Ukweli ya Kuwa Mama yetu Mpendwa Mama Samia Suluhu Hasssan ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ni Ukweli kuwa Rais Wetu Mpendwa ni Binadamu kama...
Rais Samia Suluhu Hassan akimpokea Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri Mhe. Abdel Fattah El-Sisi Ikulu, Dar es Salaam, Julai 18, 2026
https://www.youtube.com/live/Hm1LCMhGUWY
Nchi ikiwa ya moto ya masuala ya Upigaji wa John Heche Baadhi ya wanachama wa Chama hicho wanaonufaika na Upigaji huo wameingia mtandaoni kuhamashisha Uchamgiaji wa kiasi cha Sh. 334,000,000 kwa...
Mkurugenzi Mkuu
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA)
S.L.P 1253 Dodoma / 77150 Dar Es Salaam.
Barua pepe: info@tmda.go.tz
Tovuti: www.tmda.go.tz
Yah: PENDEKEZO LA UTARATIBU WA KUSHUGHULIKA NA...
Wanabodi,
Mungu na Shetani
Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani。
Ulimwengu wa Mwilna Ulimwengu wa Roho
Haya mambo ya mtu kusikia sauti...
NARUDIA, VITA SIO MAONYESHO KAMA WORLD CUP. VITA HAVINAGA MACHO WALA SHERIA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Sijui kwa nini watu wanapumbazwa na artificial laws, editing, makeup.
Vita ni...
Polisi wanachoweza ni kukamata watu wanao panga maandamano tu. Ila usalama wa watu barabarani hawawahusu.
Hampati taairifa za hatari kama hizi ila mnapata za CHADEMA tu, kazi yenu nini sasa...
Chawa mmelogwa. Haya ndiyo anayoyakemea Heche na bado hamuoni ukweli wa hoja zake.
Kuwa shule zetu ziwe nzuri na watoto wenu wawe na nafasi za kugombea hayo ya Isaac. Siyo kosa Isaac kugombea na...
Sote ni mashahidi kwamba uchapakazi, uadilifu, weledi na umakini wa CCM kabla na baada ya kushinda uchaguzi kwa kishindo, na kisha kupewa dhamana ya umma kisheria ya kukamata dola, kuunda...
Katika Makosa aloyafanya Magufuli, ni kukubali Kikwete kumchomekea huyu aliyefeli Darasa la Saba, akarudia rudiaz Kumaliza Kidato cha Nne tu ilikua ni vita patashika Nguo kuchanika ambaye Mwisho...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, leo Julai 17, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Wazee wa Mkoa wa Mara katika Ukumbi wa Zablon Sports Arena mjini Tarime.
Katika mkutano huo...
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Kigoma, leo Alhamisi Julai 16, 2026, imeifuta kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Jimbo la Kigoma Mjini yaliyompa ushindi Mbunge wa Jimbo hilo kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.