Ukiangalia matukio yanayotokea kwenye nchi nyingi za kiafrika yanathibitisha kuwa sisi sio watu
Yawezekana sisi ndio wale sokwe waliokuwa wanakaribia kuwa binadamu lakini mchakato ukaishia...
Waziri wa Fedha na Mipango, Juma Malik Akil, amebainisha kuwa Zanzibar inaendelea kupata manufaa makubwa na hadhi ya kipekee ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hasa katika uimarishaji wa...
Salute
Kila mfumo wenye kujiamini huona sauti za wananchi kama sehemu ya afya ya taifa. Lakini mfumo wenye hitilafu huona kila swali kama tishio, maandamano kama uadui, na kila ukosoaji kama...
Wakuu,
Script ni ile ile yaani, serikali ikivurunda badala ya kutafuta njia ya kutatua tatizo yenyewe ndio kwanza inamwagia Petroli kwenye moto!
Bado Tanzania wana machungu juu ya kilichotokea...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mwenyekiti wa CCM huko Kilimanjaro (Chugga) amemrubuni mke wa mtu na kumuoa (bibi harusi). Kufuatia kadhia hiyo, wananchi wa eneo hilo wamecharuka vibaya sana...
Rais mwinyi umelelewa Tanganyika maisha yako yote, sasa kuna huyu mwenzako yeye ameshabariki ubaguzi unaoendelea huko Zanzibar.
Sasa msijekusema Watanganyika wakorofi.
Kwa kuwa umeshindwa...
Imekuwa ni jadi na utamaduni kufurahia sikukuu hii na kuwaenzi waasisi wa Muungano wetu Mwalimu Nyerere na Mzee Abeid Karume kwa matamasha, gwaride na shangwe kebekebe.
Lakini imekuwa ni dhambi...
Mbunge wa Jimbo la Katavi, Thomas Maganga, ametoa wito mzito bungeni akitaka hatua za dharura zichukuliwe kuokoa watoto na kizazi kijacho dhidi ya wimbi la mmomonyoko wa maadili na vitendo vya...
Hizi tuhuma zilivuma na kuwachafua sana hawa jamaa wawili wakati wa u-Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete (2005 - 2015). Cha ajabu ni kuwa, huwa wamo tu serikalini. Ama kweli wachawi na waganga wao wana...
Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ally Bananga, amesema CHADEMA ya Freeman Mbowe ilikuwa bora zaidi kuliko ilivyo sasa, akimtaja Mbowe kuwa kiongozi mwenye uwezo wa kupunguza...
Serikali ya Tanzania imetolea ufafanuzi mjadala na upigaji kura uliofanyika katika Bunge la Ulaya mnamo Juni 18, 2026, kuhusu Programu ya Ubia ya mwaka 2026 yenye thamani ya Euro milioni 156...
Sisi Wafanyakazi 160 tuliopo katika Mgodi mdogo ambao unapatikana Mkoani Mara, Wilaya ya Musoma, Kata ya Kigera, Kijiji cha Kwitope chini ya Kampuni ya IDERA au GDM tuna changamoto ambazo...
Mzee Nyerere na wenzake walimaliza zamu yao ya ukombozi wa Afrika.
Sisi tumebaki na zamu ya kupambana na maisha yetu, kulipa bili na kutafuta hela za kula bata kidogo.
Kujifanya mkombozi wa awamu...
Ndugu zangu Watanzania,
Nashindwa Niandike nini hapa ,Nashindwa nimuelezee Vipi Rais Samia , Nashindwa Nizungumze Nini Nanyi Maana Rais Samia Anaendelea kuonyesha kuwa ni chaguo la Mungu ...
Mjadala unaendelea!
Hakuna kiongozi asiyetaka kuacha Legacy na jina lake kukumbukwa katika Historia.
Nchi ya Tanganyika mpaka muda huu imeongozwa na Rais Mmoja tuu ambaye ni Hayati JK Nyerere...
Chagua jina litakalofaa pale taifa letu litakapokombolewa
NB: unaweza kutaja sababu
1. Tanganyika
2. Tanzania
Mwisho wa kupiga kura ni tarehe 18.01.2026
Kama viongozi wa chadema kutwa wanakesha wanapitisha kapu la donation kuwatapeli watu nchini, Je! Wanauwezo wa kulipia land huko kwa mabeberu? Je wanauwezo wa kusomesha watoto huko kwa mabeberu...
Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kusini, Bele Ponera, amekosoa vikali hali ya maendeleo katika Jimbo la Mchinga mkoani Lindi, akidai kuwa linakabiliwa na umaskini uliokithiri na ukosefu wa...
Tabia ya baadhi ya nchi za Afrika kubadili katiba ili kuongeza muda wa marais wanaokaribia kumaliza mihula yao imeendelea kujitokeza mara kwa mara. Je, hii ni ishara ya ukomavu wa kisiasa na...
Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mheshimiwa Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 19 Juni, 2026 kwa ziara ya kitaifa.
Ziara hiyo, ambayo ni ya pili kuifanya nchini Tanzania...