Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Zaidi ya Mara moja Rais Maghufuli amesikika akilalamikia ugumu wa kazi ya Urais. Kinachoshangaza sasa, kitisho cha Membe kutia nia ya hiyo nafasi kumesababisha yafuatayo: 1. Membe kufukuzwa/...
12 Reactions
35 Replies
3K Views
Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson amesema tarehe 24 Julai atatangaza jimbo atakalogombea Ubunge kwani kwa sasa kipyenga ndani ya chama bado hakijapulizwa. Dkt. Tulia Ackson amekuwa akihusishwa na...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
A wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge. 1. F. Mbowe...
7 Reactions
66 Replies
5K Views
NYALANDU: Chadema tukiingia Ikulu tutaanzisha benki ya vijana Mtia nia wa kugombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Lazaro Nyalandu...
10 Reactions
39 Replies
3K Views
Katika kutafakari juu ya agenda ya vyama pinzani hapa Tanzania tunapoelekea Uchaguzi, nimewaza na kawazua bila kupata majibu juu ya yale yanayojiri kwenye vyama vyenyewe na kile wanachojaribu...
4 Reactions
71 Replies
6K Views
Nakushauri kagombee Rungwe, mziki wa Mbeya mjini ni mnene kwako. Wamama wenzio wa Mbeya mioyo yao iko Chadema, video hii iwe kama alert kwako.
6 Reactions
43 Replies
5K Views
Habar Wana CCM, Kama mnavyojua Chadema na ACT walikua waneshupalia watu wafungiwe ndan wakati wa Corona so hii ni fimbo nzuri kwao ya kuwapiga kwenye kampeni. Mnatakiwa mfanye hivi CCM Sambazen...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Most of youths, wako cdm na ndo wapiga kura 80% wa uchaguzi huu. Je, mmejipangaje katika uchaguzi huu. Msipokaza kalio watawabreak down Nyie endeleeni kuwaweka wazee waliochoka eti wagombee...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Uliyekuwa Mbunge wa Monduli tunakupa ONYO, Acha kugombanisha taasisi za serikali na viongozi wa wilaya ya Monduli. Umekuwa ukipiga simu Takukuru wilayani monduli nakuwalazimisha kwenda kukamata...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana ukumbi habari zenu, Ama baada ya salamu, nlikua nina Ombi kutoka kwenu kwa ajli ya nchi yetu. Ama kwa ombi lenyewe ni kuomba Dua kwa aliyetuumba, atujaalie uchaguzi wa safari hii uwe wa...
0 Reactions
4 Replies
993 Views
Habari ya Membe kuhusu uwanachama wake na kuchukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM imetangwazwa kupitia vituo vya televisions kama VoA, BBC na Al Jazeera. Nilichukulia poa sana swala...
51 Reactions
228 Replies
20K Views
Mwigizaji mkongwe wa vichekesho hapa nchini, Rashid Mwinshehe maarufu kama "Kingwendu" amesema kwa mara nyingine atagombea ubunge wa Kisarawe kupitia chama chake cha CUF na safari hii ameapa...
8 Reactions
76 Replies
9K Views
Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa CCM ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesela...
13 Reactions
60 Replies
6K Views
"Serikali inayoogopa watu, serikali inayoishi kwa uongo haiwezi kushinda kura. Na mimi niwaambie na hiyo meseji iwafikie, uchaguzi huu tunaenda hakuna wa kujitoa. Uchaguzi huu tunaenda, tunajua...
13 Reactions
84 Replies
8K Views
Nikitazama mwenendo wa kampeni za ndani kwenye Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA ] ambako kuna Wagombea wengi, unaona wazi kuwa Mgombea Lazaro Nyalandu amejipanga zaidi kiakili na uwezo...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Hapo juzi aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani wa Tanzania shushu mbobezi, bwana Benard Camilius Membe alijitokeza kupitia mitandao ya kijamii akihoji juu ya uwepo wa tume huru ya uchaguzi. kauli ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Niende tu kwenye point moja kwa moja! Kama Mwanasiasa huna hela na una nia thabiti ya kusaidia jimbo lako na unaishi jimboni kiasi kwamba kila mtu anakuona je? Utumie mbinu gani ili ushinde...
0 Reactions
8 Replies
798 Views
Taarifa iliyofikia Meza ya Habari muda huu Mbunge wa Bunda Vijijini anaemaliza muda wake amekamatwa na TAKUKURU ambao wamemkuta Mbunge huyo amekusanya Wajumbe akiwagawia Fedha Tsh. Elfu 50, kwa...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Kuna kitu kisheria kinaitwa convincing evidence. Huu ni ushahidi ambao unatumiwa kuthibitisha hasa kwenye kesi za madai,mfano mtu unamdai mtu alafu anakataa kukulipa wewe unaedai lazima uishawishi...
4 Reactions
88 Replies
8K Views
Habari wana JF Leo wakati Rais Magufuli akivunja bunge, katika hali inayoonyesha hofu ya kutojiamini kuelekea Kampeni za Uchaguzi Mkuu ujao, ametadharisha kuwa watakokuwa wanatoa matusi...
29 Reactions
114 Replies
11K Views
Back
Top Bottom