Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Kuna kitu kisheria kinaitwa convincing evidence. Huu ni ushahidi ambao unatumiwa kuthibitisha hasa kwenye kesi za madai,mfano mtu unamdai mtu alafu anakataa kukulipa wewe unaedai lazima uishawishi mahakama kuwa kweli kulikuwa na deni. Na utafanya hivi kwa kuleta vielelezo kuwa kweli una mdai, kama mliandikishina au kuna mtu alisikia kuwa mlikopeshana ikiwa hakuna maandishi.
Nirudi kwenye mada husika, majimbo ya uchaguzi ya Hai na Kigoma mjini kuna ushahidi unaonyesha kuwa yanarudi CCM au kwa ufupi yamesharudi CCM. Hii ni kwa sababu waliokuwa wabunge wa hayo majimbo waliyatelekeza.
Aliyekuwa mbunge wa Kigoma mjini hana muda kabisa na masuala yayowahusu wananchi wake, muda wote miaka mitano ni kutembea nje za nchi akiiponda Serikali kuwa haifanyi lolote zaidi ya kukandamiza demokraia. Alidiriki kwenda USA kupeleka WB barua ili Tanzania isipate mkopo wa kuendeleza na kuimarisha elimu bila hata kuwa na hoja za msingi. Yeye alitaka watoto wote jimboni kwake na Tanzania wawe wanasoma kama vile shule ni kliniki na wodi za wazazi.
Aliyekuwa Mbunge wa Hai yeye ndio alitelekeza jimbo kabisa hadi wananchi walishamsahau na hata alipofanya mkutano aliishia kuzomewa. Muda mwingi anaumalizia kwenye masuala yake.Na kashfa zinazomuandama ndio wananchi wamemdharau kabisa. Anatuhumiwa kukwapua zaidi ya bil 8 za CHADEMA na hii shutuma ndio imemchafua kabisa,ukijumlisha na kizaa cha kuumia akiwa anatoka kula bata ndio kwisha kabisa.
Kwa hiyo ni dhahiri kabisa kwa namna wabunge hawa walivyoyatelekeza majimbo yao kwa muda mrefu,kuna ushahidi unaotia ushawishi kuwa tayari hawarudi bungeni,ndio maana wadadisi wa mambo wansema itakuwa ni kijani tu mjengoni.
Nirudi kwenye mada husika, majimbo ya uchaguzi ya Hai na Kigoma mjini kuna ushahidi unaonyesha kuwa yanarudi CCM au kwa ufupi yamesharudi CCM. Hii ni kwa sababu waliokuwa wabunge wa hayo majimbo waliyatelekeza.
Aliyekuwa mbunge wa Kigoma mjini hana muda kabisa na masuala yayowahusu wananchi wake, muda wote miaka mitano ni kutembea nje za nchi akiiponda Serikali kuwa haifanyi lolote zaidi ya kukandamiza demokraia. Alidiriki kwenda USA kupeleka WB barua ili Tanzania isipate mkopo wa kuendeleza na kuimarisha elimu bila hata kuwa na hoja za msingi. Yeye alitaka watoto wote jimboni kwake na Tanzania wawe wanasoma kama vile shule ni kliniki na wodi za wazazi.
Aliyekuwa Mbunge wa Hai yeye ndio alitelekeza jimbo kabisa hadi wananchi walishamsahau na hata alipofanya mkutano aliishia kuzomewa. Muda mwingi anaumalizia kwenye masuala yake.Na kashfa zinazomuandama ndio wananchi wamemdharau kabisa. Anatuhumiwa kukwapua zaidi ya bil 8 za CHADEMA na hii shutuma ndio imemchafua kabisa,ukijumlisha na kizaa cha kuumia akiwa anatoka kula bata ndio kwisha kabisa.
Kwa hiyo ni dhahiri kabisa kwa namna wabunge hawa walivyoyatelekeza majimbo yao kwa muda mrefu,kuna ushahidi unaotia ushawishi kuwa tayari hawarudi bungeni,ndio maana wadadisi wa mambo wansema itakuwa ni kijani tu mjengoni.