abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Habar Wana CCM,
Kama mnavyojua Chadema na ACT walikua waneshupalia watu wafungiwe ndan wakati wa Corona so hii ni fimbo nzuri kwao ya kuwapiga kwenye kampeni.
Mnatakiwa mfanye hivi CCM
Sambazen hii propaganda hata kwa kutumia wasanii watu waelewe kuwa Chadema na ACT walitaka wawaangamize kwa kupitia corona
Na walipanga watu wakifungiwa ndani wawachochee ili wafanye vurugu
CCM mkiweza kucheza vizur na corona basi mmebutua
Kama mnavyojua Chadema na ACT walikua waneshupalia watu wafungiwe ndan wakati wa Corona so hii ni fimbo nzuri kwao ya kuwapiga kwenye kampeni.
Mnatakiwa mfanye hivi CCM
Sambazen hii propaganda hata kwa kutumia wasanii watu waelewe kuwa Chadema na ACT walitaka wawaangamize kwa kupitia corona
Na walipanga watu wakifungiwa ndani wawachochee ili wafanye vurugu
CCM mkiweza kucheza vizur na corona basi mmebutua