johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,958
- 141,951
Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson amesema tarehe 24 Julai atatangaza jimbo atakalogombea Ubunge kwani kwa sasa kipyenga ndani ya chama bado hakijapulizwa.
Dkt. Tulia Ackson amekuwa akihusishwa na majimbo ya Mbeya Mjini na Kawe ambayo Wananchi wameonesha kutaka mabadiliko ya wabunge.
Chanzo: Clouds media!
Dkt. Tulia Ackson amekuwa akihusishwa na majimbo ya Mbeya Mjini na Kawe ambayo Wananchi wameonesha kutaka mabadiliko ya wabunge.
Chanzo: Clouds media!