Nyanswe Nsame
Senior Member
- Jul 9, 2019
- 158
- 175
NYALANDU: Chadema tukiingia Ikulu tutaanzisha benki ya vijana
Mtia nia wa kugombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Lazaro Nyalandu amesema endapo chama hicho kitampa ridhaa, atahakikisha anarudisha utashi na udhubutu wa vijana kuamini wanaweza.
Pia amesema atajenga mifumo imara ya uendeshaji wa nchi na kufufua ndoto za wananchi pamoja na kuandaa kijana wa kitanzania katika kumudu ushindani wa ajira katika soko la ajira ndani ya afrika.
Nyalandu anazungumza na wanafunzi wa vyuo mbalimbali ikiwemo Chuo Cha mtakatifu agoustino (Saut), chuo cha afya cha Tandabui, chuo cha biashara CBE, Chuo Cha Maendeleo ya Jamii na Chuo cha uhasibu (TIA).
Katika hatua nyingine, amesema kupitia chama chake wataanzisha benki ya vijana kwa kuwa vijana wengi wana ndoto za mafanikio lakini mitaji imekuwa ni tatizo ili vijana waweze kujiajili.
BY CHARLES MSETI
Mtia nia wa kugombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Lazaro Nyalandu amesema endapo chama hicho kitampa ridhaa, atahakikisha anarudisha utashi na udhubutu wa vijana kuamini wanaweza.
Pia amesema atajenga mifumo imara ya uendeshaji wa nchi na kufufua ndoto za wananchi pamoja na kuandaa kijana wa kitanzania katika kumudu ushindani wa ajira katika soko la ajira ndani ya afrika.
Nyalandu anazungumza na wanafunzi wa vyuo mbalimbali ikiwemo Chuo Cha mtakatifu agoustino (Saut), chuo cha afya cha Tandabui, chuo cha biashara CBE, Chuo Cha Maendeleo ya Jamii na Chuo cha uhasibu (TIA).
Katika hatua nyingine, amesema kupitia chama chake wataanzisha benki ya vijana kwa kuwa vijana wengi wana ndoto za mafanikio lakini mitaji imekuwa ni tatizo ili vijana waweze kujiajili.
BY CHARLES MSETI