".....Aisee niseme ukweli wa moyo wangu, tangu jana ninafuraha isiyoelezeka aisee, Huyu msenge alijeruhi sana moyo wangu, kisha yeye na wasenge wake wakaendeleza vita usiku na mchana, Kimsingi...
February 5, 2020
Kilosa, Tanzania
Wahandisi : Reli ya kati ihamishwe toka eneo la mafuriko na pia SGR kuchukua miaka 15 kukamilisha
Wakati wa ukaguzi wa uharibifu wa njia ya reli ya kati...
Misingi ya Katiba yenye mgawanyo madhubuti wa madaraka
1. Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya wasiteuliwe moja kwa moja na Rais. Wawe na utaratibu wa wazi wa kikatiba/kisheria wa uteuzi au uchaguzi...
Rais Hakainde Hichilema alitangazwa mshindi kwa asilimia sitini, lakini ushindi huo ulizua mara moja mgogoro mkubwa wa kikatiba nchini Zambia.
Tume ya uchaguzi ilisitisha ujumlishaji wa kura kwa...
Mmeona namna majaji wanaosikiliza kesi ya kubambikia ya Uhaini dhidi ya Tundu Lisu?
Wanaendana na script ya profesaional stunt waonekane wanasimamia HAKI.
Mara kadhaa wanaonekana wakikaripia...
Katiba isichanganywe na kinga ya kutoshitakiwa: Urais si ruhusa ya kuficha ukweli mbele ya Mahakama
Kumekuwa na mjadala muhimu wa kikatiba na kisheria nchini Tanzania: Je, Rais wa Jamhuri ya...
https://www.instagram.com/reel/DcTY51sNn7M/?igsi=dTg3aXN1cjMyMWZ0
Je, Kuna Ukweli juu ya hili kutoka kwa Nuru Vazi?
Je, ni kweli GSU/NSI Wana mpango wa kumjua Nuru Vazi?
Je, ni nani haswa...
Uoga mkubwa ambao anaonyesha Samia kwa Lissu hauna tija kwa jamii. Lissu anahitaji kuheshimiwa sio kuogopewa. Ukiwa Raisi hata kama fake ni vibaya kuogopa mtu kwa kiasi hiki maana usipokuwa makini...
Hii ni fedheha kwa uongozi wa kitaifa wa chadema. Ingekua ni Ulaya wanapaswa kujiuzulu.
Ni wazi chama kimewashinda.
Swali ni je, hivi ni kweli viongozi wa chadema taifa wameshindwa kabisa...
Mara tu baada ya kushika madaraka mwaka 2021 haikuchukua muda ukamtumbua aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya kwa kumsimamisha kazi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zilizokuwa...
Serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Samia ina aleji kubwa na miradi ya kimkakati iliyoanzishwa kwa lengo la kumaliza matatizo ya watanzania.
Rais Samia amegoma kuuzindua mradi wa bwawa la...
Kwa kweli Dk Mwigulu Lameck Nchemba anajitahidi sana ili ajae kwenye kiti cha uwaziri mkuu kupitia kusikiliza kero mbalimbali za wananchi wanyonge lakini moyo wangu bado umegoma kumuona kama...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ndicho chama kikuu na chenye nguvu zaidi cha upinzani nchini Tanzania.
Kikiwa kimeanza kama kikundi kidogo cha wasomi, kimekua na kuwa tishio kubwa...
Shalom shalom watanzania! Naomba niende moja kwa moja kwenye hoja.
Hivi ni sahihi kwa mkuu wa mkoa wa mji mkubwa wa Dar es salaamu tena uliojaa matukio ya watu kutekwa, kupotezwa Hadi kuuliwa...
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua...
Watanzania wenzangu Mungu ni mwema bila shaka.Leo nimetafakari sana na mwisho wa siku imenibidi niandike ombi na wito kwetu watanzania. Hapana shaka kua kuna mambo ayako sawa sana asa kwenye...
Ukirejea falsafa ya 4 R na nia ya dhati ya Mhe. Samia Suluhu Hassan ya maridhiano leo tena tunamuona Freeman Mbowe akiwakilisha ukomavu mkubwa wa kisiasa na kuwapa funzo vijana wake wote...
Wote wenyeviti wa wastaafu vyama vyenye nguvu kwa kila upande. Zanzibar vs Tanzania Bara.
Juma Duni bado tunamuona yupo kimkakati na ACT WAZALENDO, anaongea kauli za ACT za mwenyekiti wake, yupo...