Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Zipo Nchi nyingi Duniani zilizowahi kufanya maridhiano ya pamoja kwa njia zinazotofautiana zikitumia mbinu na mikakati tofauti ili kufanikisha amani na utulivu. Nchi hizo ni pamoja na...
2 Reactions
12 Replies
155 Views
Habari za Jumapili, Leo nimekuwa nawaza kwamba ni ama watanzania wana asilimia fulani ya ugonjwa wa kusahau walichosimamia Jana na kusema kauli tofauti kesho yake, Mwaka 1985 kipindi Nyerere...
23 Reactions
190 Replies
13K Views
Naona wananzengo wanaleta hata tweet nilizofuta sijaelewa kwanini zitrend muda huu! Kiufupi Magufuli alipuuza masuala ya wataalamu akaleta kujifukiza Kumbe anajimaliza yeye na battery ya moyo...
30 Reactions
59 Replies
1K Views
Mnamo mwaka 1985,Mwalimu wa kemia wa shule ya sekondari Sengerema JOHN POMBE MAGUFULI aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo akichuana na mkulima PHARES KABUYE (wote CCM). PHARES KABUYE alishinda...
14 Reactions
64 Replies
11K Views
In preparation for the Kizimkazi Festival (Kizimkazi Festival 2026), Vice President of the United Republic of Tanzania Ambassador Dr. Emmanuel Nchimbi has arrived in Zanzibar today, August 11...
5 Reactions
25 Replies
388 Views
"Kuku mmoja anayetaga mayai ya dhahabu ni bandari ya Dar Es Salaam. Unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha hakuna usumbufu kwenye mizigo, kwanza unawatengenezea watu barabara za uhakika kutoka...
0 Reactions
0 Replies
80 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amesema vijana ni nguvu kubwa katika jamii na wana uwezo wa kusababisha mabadiliko nchini. Heche ameyasema hayo akizungumza na vijana, akiwahimiza...
3 Reactions
3 Replies
58 Views
Wana JF naomba aliye na updates za kesi hii atuwekee hapa maana wengine huko Dar ni mbali sana kutoka hapa tulipo
5 Reactions
19 Replies
419 Views
Tundu Lissu akimtania Heche mahakamani leo akimaanisa ana kipara hajaunga kampeni ya kudai haki kwa kutokunyoa nywele kama ambavyo wengine kina Boni Yai wamefanya kushinikiza Lissu kuachiwa kutoka...
14 Reactions
28 Replies
728 Views
Ukiwaweka wanasiasa hawa wawli , Tundu Lisu na Samia ukawaangalia vzr KWA jicho la kiroho au hata kawaida ,utagundua kitu , Samia anaishi na kulala nyumba nzuri na godoro la nchi 1000, anawalizi...
10 Reactions
28 Replies
282 Views
Ikulu Chamwino, Dodoma It has been a blessed and fruitful day meeting and engaging in discussions with the Catholic Bishops through the Tanzania Episcopal Conference (TEC). We have addressed...
0 Reactions
0 Replies
100 Views
Kama TEC haiku raise issue hizi, basi imejitia unajisi 1. Kupigwa kwa Fr. Kitima and government inaction to investigate the atrocity 2. Utekaji 3. Mauaji 4. Katiba mpya 5. Tume huru ya UCHAGUZI...
12 Reactions
41 Replies
632 Views
Tumsifu Yesu Kristo Ma - Baba Askofu wetu wa TEC! Nawaandikia haya kama mshirika na muumuni mwaminifu wa kanisa Katoliki ambaye ni muathirika wa utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan na serikali...
7 Reactions
41 Replies
502 Views
Kuna daftari linapita katika baadhi ya vijiji likiwataka watu kuandikisha taarifa zao mie kuna kijiji nipo nimealazimishwa kuandikishwa vip huu utaratibu ukoje hebu nijuzeni hii ni sheria au kitu gan
1 Reactions
21 Replies
299 Views
nina dhani ni bora kujipendekeza kwa katiba kuliko kwa watu, kuna katetesi ndani ndani kwamba hata si bunge tu hata wakuu wa wilaya nao ni majanga kila siku kujipendekeza, kama Mkuu wa wilaya ya...
11 Reactions
35 Replies
1K Views
Hili ni swali baada ya wadau kunusa udanganyifu kwenye Utambulisho wake, sasa tunaomba wadukuzi watueleze ukweli wa mtu huyu Kilaza kabisa anayepigwa spana Mahakamani bila huruma yoyote Kwa...
19 Reactions
47 Replies
1K Views
Mkakati au "project" mbalimbali za kisiasa zenye lengo la kuibomoa, kuidhoofisha au kuigawa CHADEMA zimefeli kwa kiasi kikubwa, kwani chama hicho bado kimesimama imara kama nguzo kuu ya upinzani...
16 Reactions
37 Replies
347 Views
CHADEMA Marathon 334 ninini? CHADEMA Marathon 334 ni kampeni maalum ya kuchangisha fedha iliyozinduliwa na chama kikuu cha upinzani nchini Tanganyika. Lengo kuu la kampeni hii ni kukusanya...
36 Reactions
160 Replies
2K Views
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Tanzania na Marekani zimeendelea kusisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika sekta mbalimbali zikiwemo madini adimu, nishati, afya, uwekezaji...
1 Reactions
6 Replies
224 Views
Nukuu za Waziri Mkuu katika Sekta ya Afya
0 Reactions
0 Replies
23 Views
Back
Top Bottom