Zipo Nchi nyingi Duniani zilizowahi kufanya maridhiano ya pamoja kwa njia zinazotofautiana zikitumia mbinu na mikakati tofauti ili kufanikisha amani na utulivu. Nchi hizo ni pamoja na...
Habari za Jumapili,
Leo nimekuwa nawaza kwamba ni ama watanzania wana asilimia fulani ya ugonjwa wa kusahau walichosimamia Jana na kusema kauli tofauti kesho yake,
Mwaka 1985 kipindi Nyerere...
Naona wananzengo wanaleta hata tweet nilizofuta sijaelewa kwanini zitrend muda huu!
Kiufupi Magufuli alipuuza masuala ya wataalamu akaleta kujifukiza
Kumbe anajimaliza yeye na battery ya moyo...
Mnamo mwaka 1985,Mwalimu wa kemia wa shule ya sekondari Sengerema JOHN POMBE MAGUFULI aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo akichuana na mkulima PHARES KABUYE (wote CCM). PHARES KABUYE alishinda...
In preparation for the Kizimkazi Festival (Kizimkazi Festival 2026),
Vice President of the United Republic of Tanzania Ambassador Dr. Emmanuel Nchimbi has arrived in Zanzibar today, August 11...
"Kuku mmoja anayetaga mayai ya dhahabu ni bandari ya Dar Es Salaam. Unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha hakuna usumbufu kwenye mizigo, kwanza unawatengenezea watu barabara za uhakika kutoka...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amesema vijana ni nguvu kubwa katika jamii na wana uwezo wa kusababisha mabadiliko nchini.
Heche ameyasema hayo akizungumza na vijana, akiwahimiza...
Tundu Lissu akimtania Heche mahakamani leo akimaanisa ana kipara hajaunga kampeni ya kudai haki kwa kutokunyoa nywele kama ambavyo wengine kina Boni Yai wamefanya kushinikiza Lissu kuachiwa kutoka...
Ukiwaweka wanasiasa hawa wawli , Tundu Lisu na Samia ukawaangalia vzr KWA jicho la kiroho au hata kawaida ,utagundua kitu ,
Samia anaishi na kulala nyumba nzuri na godoro la nchi 1000, anawalizi...
Ikulu Chamwino, Dodoma
It has been a blessed and fruitful day meeting and engaging in discussions with the Catholic Bishops through the Tanzania Episcopal Conference (TEC). We have addressed...
Kama TEC haiku raise issue hizi, basi imejitia unajisi
1. Kupigwa kwa Fr. Kitima and government inaction to investigate the atrocity
2. Utekaji
3. Mauaji
4. Katiba mpya
5. Tume huru ya UCHAGUZI...
Tumsifu Yesu Kristo
Ma - Baba Askofu wetu wa TEC!
Nawaandikia haya kama mshirika na muumuni mwaminifu wa kanisa Katoliki ambaye ni muathirika wa utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan na serikali...
Kuna daftari linapita katika baadhi ya vijiji likiwataka watu kuandikisha taarifa zao mie kuna kijiji nipo nimealazimishwa kuandikishwa vip huu utaratibu ukoje hebu nijuzeni hii ni sheria au kitu gan
nina dhani ni bora kujipendekeza kwa katiba kuliko kwa watu, kuna katetesi ndani ndani kwamba hata si bunge tu hata wakuu wa wilaya nao ni majanga kila siku kujipendekeza, kama Mkuu wa wilaya ya...
Hili ni swali baada ya wadau kunusa udanganyifu kwenye Utambulisho wake, sasa tunaomba wadukuzi watueleze ukweli wa mtu huyu Kilaza kabisa anayepigwa spana Mahakamani bila huruma yoyote
Kwa...
Mkakati au "project" mbalimbali za kisiasa zenye lengo la kuibomoa, kuidhoofisha au kuigawa CHADEMA zimefeli kwa kiasi kikubwa, kwani chama hicho bado kimesimama imara kama nguzo kuu ya upinzani...
CHADEMA Marathon 334 ninini?
CHADEMA Marathon 334 ni kampeni maalum ya kuchangisha fedha iliyozinduliwa na chama kikuu cha upinzani nchini Tanganyika.
Lengo kuu la kampeni hii ni kukusanya...
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam
Tanzania na Marekani zimeendelea kusisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika sekta mbalimbali zikiwemo madini adimu, nishati, afya, uwekezaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.