Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 7,647
- 18,954
Kwa kweli Dk Mwigulu Lameck Nchemba anajitahidi sana ili ajae kwenye kiti cha uwaziri mkuu kupitia kusikiliza kero mbalimbali za wananchi wanyonge lakini moyo wangu bado umegoma kumuona kama waziri mkuu.
Shida ya Mwigulu Nchemba ni kwamba ana sura mbili, sura ya kwanza ni ya utendaji na sura ya pili ni ya propaganda.
Bahati mbaya sana kwa Mwigulu Nchemba ni kwamba sura ya propaganda ndiyo dominant(imemtawala)
Chini ya kundi la CCM mtandao full potential ya Mwigulu Nchemba haitakaa ionekane labda akiukwaa urais huko mbele ya safari.
Shida ya Mwigulu Nchemba ni kwamba ana sura mbili, sura ya kwanza ni ya utendaji na sura ya pili ni ya propaganda.
Bahati mbaya sana kwa Mwigulu Nchemba ni kwamba sura ya propaganda ndiyo dominant(imemtawala)
Chini ya kundi la CCM mtandao full potential ya Mwigulu Nchemba haitakaa ionekane labda akiukwaa urais huko mbele ya safari.