Wote wenyeviti wa wastaafu vyama vyenye nguvu kwa kila upande. Zanzibar vs Tanzania Bara.
Juma Duni bado tunamuona yupo kimkakati na ACT WAZALENDO, anaongea kauli za ACT za mwenyekiti wake, yupo karibu na nwenyekiti wake. Jee MBOWE bado pamoja na chadema? Kama yupo mbona hatumuoni kuhusu swala la lissu? Kama kastaafu siasa mbona tunamuona ktk matukio ya kisiasa?
Sitaki kuingiza udini ndani yake. Lkn nasema kumpeleka madrasa ntoto wako sio ujinga kama baadhi ya wasomi wanavyoamin. Madrasa inamjenga mtoto imani thabiti isiyoyumbayumba.
Ni hayo tu kwa sasa.
CHADEMA MJIFUNZE SIASA ZA ZANZIBAR
Juma Duni bado tunamuona yupo kimkakati na ACT WAZALENDO, anaongea kauli za ACT za mwenyekiti wake, yupo karibu na nwenyekiti wake. Jee MBOWE bado pamoja na chadema? Kama yupo mbona hatumuoni kuhusu swala la lissu? Kama kastaafu siasa mbona tunamuona ktk matukio ya kisiasa?
Sitaki kuingiza udini ndani yake. Lkn nasema kumpeleka madrasa ntoto wako sio ujinga kama baadhi ya wasomi wanavyoamin. Madrasa inamjenga mtoto imani thabiti isiyoyumbayumba.
Ni hayo tu kwa sasa.
CHADEMA MJIFUNZE SIASA ZA ZANZIBAR