Uamuzi wa kumfukuza Said Issa Mohamed ulikuwa sahihi kwa mujibu wa katiba yao CHADEMA

Uamuzi wa kumfukuza Said Issa Mohamed ulikuwa sahihi kwa mujibu wa katiba yao CHADEMA

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
12,980
Reaction score
29,402
JMT!

Hivi karibuni kumetokea Sintofahamu baada ya mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo machachari sheikh Said issa mohamedi kufukuzwa uanachama na chama chake kwa madai mbali mbali..
hatahivyo baada ya kufukuzwa ameibuka na kudai kuwa ana uhalali wa kuendelea kuwa mwanachama kwa kuwa bado anahisi utaratibu haukufuatwa wa yeye lkutolewa uachama hapa chini nimekuandikia sababu halali za kikatiba kwanini kusimamishwa uanachama bila kufuata taratibu za kawaida.

Kama mwanadiplomasia au mfuatiliaji wa Maswala ya siasa na sheria naomba kuweka na kutia kijineno..

Kwanza tukirejea Uamuzi wa kumfukuza Ndugu Said Issa Mohammed kulingana na Taarifa kwa Umma ya tarehe 07 Juni 2026 iliyotolewa na Katibu wa Kanda ya Pemba, Abdulla Hassan, una uhalali kamili wa kikatiba.

Twende deep sasa Hapa chini za kikatiba na kikanuni zinazothibitisha kwanini hakuwa na sifa ya kupewa haki ya kusikilizwa ya kawaida (Natural Justice):

1. KUKIMBILIA MAHAKAMANI NI KUJIFUKUZISHA UANACHAMA

CHADEMA ina taratibu zake za ndani za kusikiliza na kutatua migogoro. Kitendo cha mwanachama kukimbilia mahakama za serikali kabla ya kumaliza ngazi hizo kinamnyang'anya sifa na haki zote za kulindwa na Katiba ya chama.
  • Ukisoma Katiba ya Chadema ya mwaka 2006 toleo la mwaka 2019 ,Mwongozo wa Kamati za Maadili ya Chama, Sehemu ya E (Hatua za Kinidhamu), Kipengele cha 2 (x) kiko wazi:

    “CHADEMA itashughulikia matatizo ya viongozi na wanachama kwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama, wala hata siku moja haitashughulikia mambo kama hayo Mahakamani. Mwanachama atakayeshindwa kufuata taratibu na ngazi za Chama hatavumiliwa na atakuwa amejifukuzisha uanachama.”
Hiyo inamaanisha nini, bwana Said Issa Mohammed amejifukuzisha uanachama yeye mwenyewe kwa matendo yake. Huwezi kudai haki ya kusikilizwa kama mwanachama wakati Katiba inatafsiri kuwa ulishajiondoa kwenye chama siku ulipofungua kesi.

2. MAMLAKA YA DHARURA YA KULINDA CHAMA (DOCTRINE OF NECESSITY)

Kufungua kesi mahakamani na kusababisha hasara ama kukwamishaa uendeshaji wa shughuli za chama kinahesabika kuwa ni kosa kubwa la Usaliti na Hujuma.

Chini ya Mwongozo wa Maadili, Kipengele cha 3 (a)(i) na (vii) , matendo ya "kupanga njama za kuhujumu Chama" na "kuhujumu programu za Chama" yanatafsiriwa kama usaliti mkubwa unaoondoa haki ya kusubiri taratibu za kawaida.
  • Katika mazingira ya hujuma ya wazi, Kanuni za Chama, Sura ya Sita, Kifungu cha 6.5.1 (d) inatoa mamlaka ya dharura:

    “Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila kuzingatia utaratibu wa kifungu (a) na (b) hapo juu [vya kupewa mashitaka ya maandishi na kusubiri wiki mbili za kujibu] kama itaona maslahi ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa...”
3. UHALALI WA KIKAO NA MAMLAKA YA NIDHAMU
Hatua hiyo iliyochukuliwa na Kamati Tendaji ya Kanda ya Pemba chini ya Mwenyekiti wa Kanda, Omar Nassor, tarehe 06 Juni 2026, inaendana na mgawanyo wa madaraka ya kinidhamu ndani ya chama.
  • Chini ya Ibara ya 6.3.6 (a)(v), Kamati Tendaji ya Kanda ndiyo yenye Mamlaka ya Nidhamu kwa viongozi wa ngazi ya mkoa.
Niseme tu hata kwa sisi CCM tuliwahi kuyafanya haya , Mwanachama hawezi kuivunja na kuisafiria nyota Katiba ya chama kwa kuandikisha kesi mahakamani, kisha akageuka na kudai Katiba hiyo hiyo imlinde kumpa haki ya kusikilizwa ya kawaida. Said Issa Mohammed amejifukuzisha uanachama kisheria na tangu tarehe 06 Juni 2026 si mwanachama tena wa CHADEMA wala hatambuliki katika ngazi yoyote.
 
JMT!

Hivi karibuni kumetokea Sintofahamu baada ya mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo machachari sheikh Said issa mohamedi kufukuzwa uanachama na chama chake kwa madai mbali mbali..
hatahivyo baada ya kufukuzwa ameibuka na kudai kuwa ana uhalali wa kuendelea kuwa mwanachama kwa kuwa bado anahisi utaratibu haukufuatwa wa yeye lkutolewa uachama hapa chini nimekuandikia sababu halali za kikatiba kwanini kusimamishwa uanachama bila kufuata taratibu za kawaida.

kama mwanadiplomasia au mfuatiliaji wa Maswala ya siasa na sheria naomba kuweka na kutia kijineno..

kwanza tukirejea Uamuzi wa kumfukuza Ndugu Said Issa Mohammed kulingana na Taarifa kwa Umma ya tarehe 07 Juni 2026 iliyotolewa na Katibu wa Kanda ya Pemba, Abdulla Hassan, una uhalali kamili wa kikatiba.

Twende deep sasa Hapa chini za kikatiba na kikanuni zinazothibitisha kwanini hakuwa na sifa ya kupewa haki ya kusikilizwa ya kawaida (Natural Justice):

1. KUKIMBILIA MAHAKAMANI NI KUJIFUKUZISHA UANACHAMA

CHADEMA ina taratibu zake za ndani za kusikiliza na kutatua migogoro. Kitendo cha mwanachama kukimbilia mahakama za serikali kabla ya kumaliza ngazi hizo kinamnyang'anya sifa na haki zote za kulindwa na Katiba ya chama.
  • Ukisoma Katiba ya Chadema ya mwaka 2006 toleo la mwaka 2019 ,Mwongozo wa Kamati za Maadili ya Chama, Sehemu ya E (Hatua za Kinidhamu), Kipengele cha 2 (x) kiko wazi:

    “CHADEMA itashughulikia matatizo ya viongozi na wanachama kwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama, wala hata siku moja haitashughulikia mambo kama hayo Mahakamani. Mwanachama atakayeshindwa kufuata taratibu na ngazi za Chama hatavumiliwa na atakuwa amejifukuzisha uanachama.”
Hiyo inamaanisha nini, bwana Said Issa Mohammed amejifukuzisha uanachama yeye mwenyewe kwa matendo yake. Huwezi kudai haki ya kusikilizwa kama mwanachama wakati Katiba inatafsiri kuwa ulishajiondoa kwenye chama siku ulipofungua kesi.

2. MAMLAKA YA DHARURA YA KULINDA CHAMA (DOCTRINE OF NECESSITY)

Kufungua kesi mahakamani na kusababisha hasara ama kukwamishaa uendeshaji wa shughuli za chama kinahesabika kuwa ni kosa kubwa la Usaliti na Hujuma.
Chini ya Mwongozo wa Maadili, Kipengele cha 3 (a)(i) na (vii) , matendo ya "kupanga njama za kuhujumu Chama" na "kuhujumu programu za Chama" yanatafsiriwa kama usaliti mkubwa unaoondoa haki ya kusubiri taratibu za kawaida.
  • Katika mazingira ya hujuma ya wazi, Kanuni za Chama, Sura ya Sita, Kifungu cha 6.5.1 (d) inatoa mamlaka ya dharura:

    “Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila kuzingatia utaratibu wa kifungu (a) na (b) hapo juu [vya kupewa mashitaka ya maandishi na kusubiri wiki mbili za kujibu] kama itaona maslahi ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa...”
3. UHALALI WA KIKAO NA MAMLAKA YA NIDHAMU
Hatua hiyo iliyochukuliwa na Kamati Tendaji ya Kanda ya Pemba chini ya Mwenyekiti wa Kanda, Omar Nassor, tarehe 06 Juni 2026, inaendana na mgawanyo wa madaraka ya kinidhamu ndani ya chama.
  • Chini ya Ibara ya 6.3.6 (a)(v), Kamati Tendaji ya Kanda ndiyo yenye Mamlaka ya Nidhamu kwa viongozi wa ngazi ya mkoa.
niseme tu hata kwa sisi CCM tuliwahi kuyafanya haya , Mwanachama hawezi kuivunja na kuisafiria nyota Katiba ya chama kwa kuandikisha kesi mahakamani, kisha akageuka na kudai Katiba hiyo hiyo imlinde kumpa haki ya kusikilizwa ya kawaida. Said Issa Mohammed amejifukuzisha uanachama kisheria na tangu tarehe 06 Juni 2026 si mwanachama tena wa CHADEMA wala hatambuliki katika ngazi yoyote.
well done gentleman,
very interesting short and clear analysis 👊
 
1. KUKIMBILIA MAHAKAMANI NI KUJIFUKUZISHA UANACHAMA

CHADEMA ina taratibu zake za ndani za kusikiliza na kutatua migogoro. Kitendo cha mwanachama kukimbilia mahakama za serikali kabla ya kumaliza ngazi hizo kinamnyang'anya sifa na haki zote za kulindwa na Katiba ya chama.
  • Ukisoma Katiba ya Chadema ya mwaka 2006 toleo la mwaka 2019 ,Mwongozo wa Kamati za Maadili ya Chama, Sehemu ya E (Hatua za Kinidhamu), Kipengele cha 2 (x) kiko wazi:

    “CHADEMA itashughulikia matatizo ya viongozi na wanachama kwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama, wala hata siku moja haitashughulikia mambo kama hayo Mahakamani. Mwanachama atakayeshindwa kufuata taratibu na ngazi za Chama hatavumiliwa na atakuwa amejifukuzisha uanachama.”
Hiyo inamaanisha nini, bwana Said Issa Mohammed amejifukuzisha uanachama yeye mwenyewe kwa matendo yake. Huwezi kudai haki ya kusikilizwa kama mwanachama wakati Katiba inatafsiri kuwa ulishajiondoa kwenye chama siku ulipofungua kesi.
Mkuu DR Mambo Jambo , kwanza naunga mkono hoja zako kuhusu huo ndio utaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, ila utaratibu huo ni kinyume na katiba ya JMT, hivyo katiba ya Chadema ni batili!, Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa . Katiba ya JMT, ndio sheria mama, kama katiba inasema haki inapatikana mahakamani, kipengele chochote cha taasisi yoyote inayozuia mtu kutafuta haki yake mahakamani, ni batili, kinyume na katiba!. GE2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
P
 
JMT!

Hivi karibuni kumetokea Sintofahamu baada ya mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo machachari sheikh Said issa mohamedi kufukuzwa uanachama na chama chake kwa madai mbali mbali..
hatahivyo baada ya kufukuzwa ameibuka na kudai kuwa ana uhalali wa kuendelea kuwa mwanachama kwa kuwa bado anahisi utaratibu haukufuatwa wa yeye lkutolewa uachama hapa chini nimekuandikia sababu halali za kikatiba kwanini kusimamishwa uanachama bila kufuata taratibu za kawaida.

Kama mwanadiplomasia au mfuatiliaji wa Maswala ya siasa na sheria naomba kuweka na kutia kijineno..

Kwanza tukirejea Uamuzi wa kumfukuza Ndugu Said Issa Mohammed kulingana na Taarifa kwa Umma ya tarehe 07 Juni 2026 iliyotolewa na Katibu wa Kanda ya Pemba, Abdulla Hassan, una uhalali kamili wa kikatiba.

Twende deep sasa Hapa chini za kikatiba na kikanuni zinazothibitisha kwanini hakuwa na sifa ya kupewa haki ya kusikilizwa ya kawaida (Natural Justice):

1. KUKIMBILIA MAHAKAMANI NI KUJIFUKUZISHA UANACHAMA

CHADEMA ina taratibu zake za ndani za kusikiliza na kutatua migogoro. Kitendo cha mwanachama kukimbilia mahakama za serikali kabla ya kumaliza ngazi hizo kinamnyang'anya sifa na haki zote za kulindwa na Katiba ya chama.
  • Ukisoma Katiba ya Chadema ya mwaka 2006 toleo la mwaka 2019 ,Mwongozo wa Kamati za Maadili ya Chama, Sehemu ya E (Hatua za Kinidhamu), Kipengele cha 2 (x) kiko wazi:

    “CHADEMA itashughulikia matatizo ya viongozi na wanachama kwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama, wala hata siku moja haitashughulikia mambo kama hayo Mahakamani. Mwanachama atakayeshindwa kufuata taratibu na ngazi za Chama hatavumiliwa na atakuwa amejifukuzisha uanachama.”
Hiyo inamaanisha nini, bwana Said Issa Mohammed amejifukuzisha uanachama yeye mwenyewe kwa matendo yake. Huwezi kudai haki ya kusikilizwa kama mwanachama wakati Katiba inatafsiri kuwa ulishajiondoa kwenye chama siku ulipofungua kesi.

2. MAMLAKA YA DHARURA YA KULINDA CHAMA (DOCTRINE OF NECESSITY)

Kufungua kesi mahakamani na kusababisha hasara ama kukwamishaa uendeshaji wa shughuli za chama kinahesabika kuwa ni kosa kubwa la Usaliti na Hujuma.

Chini ya Mwongozo wa Maadili, Kipengele cha 3 (a)(i) na (vii) , matendo ya "kupanga njama za kuhujumu Chama" na "kuhujumu programu za Chama" yanatafsiriwa kama usaliti mkubwa unaoondoa haki ya kusubiri taratibu za kawaida.
  • Katika mazingira ya hujuma ya wazi, Kanuni za Chama, Sura ya Sita, Kifungu cha 6.5.1 (d) inatoa mamlaka ya dharura:

    “Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila kuzingatia utaratibu wa kifungu (a) na (b) hapo juu [vya kupewa mashitaka ya maandishi na kusubiri wiki mbili za kujibu] kama itaona maslahi ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa...”
3. UHALALI WA KIKAO NA MAMLAKA YA NIDHAMU
Hatua hiyo iliyochukuliwa na Kamati Tendaji ya Kanda ya Pemba chini ya Mwenyekiti wa Kanda, Omar Nassor, tarehe 06 Juni 2026, inaendana na mgawanyo wa madaraka ya kinidhamu ndani ya chama.
  • Chini ya Ibara ya 6.3.6 (a)(v), Kamati Tendaji ya Kanda ndiyo yenye Mamlaka ya Nidhamu kwa viongozi wa ngazi ya mkoa.
Niseme tu hata kwa sisi CCM tuliwahi kuyafanya haya , Mwanachama hawezi kuivunja na kuisafiria nyota Katiba ya chama kwa kuandikisha kesi mahakamani, kisha akageuka na kudai Katiba hiyo hiyo imlinde kumpa haki ya kusikilizwa ya kawaida. Said Issa Mohammed amejifukuzisha uanachama kisheria na tangu tarehe 06 Juni 2026 si mwanachama tena wa CHADEMA wala hatambuliki katika ngazi yoyote.
Mimi si CHADEMA lakini naunga mkono suala la kumtimua huyu baradhuli.
HuyiSaid Issa Mohamed alifanya hilo la kuishtaki CHADEMA kwa maslahi mapana ya Zanzibar na si kwa ajili Muungano.
Kwa hilo tu nasapoti mabaradhuli kama hao warudi makwao.
 
Mkuu DR Mambo Jambo , kwanza naunga mkono hoja zako kuhusu huo ndio utaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, ila utaratibu huo ni kinyume na katiba ya JMT, hivyo katiba ya Chadema ni batili!, Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa . Katiba ya JMT, ndio sheria mama, kama katiba inasema haki inapatikana mahakamani, kipengele chochote cha taasisi yoyote inayozuia mtu kutafuta haki yake mahakamani, ni batili, kinyume na katiba!. GE2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
P
Kabisa Pascal Mayalla na natamani kama katiba zote za nchi zingibadilishwa ili ziendane na katiba mama Maana nilisoma katiba ya Nchi yangu Zanzibar nikiri kwamba inapishana sana na Katiba ya Tanzania na hata katiba ya CCM pia chama changu inapishana pia na katiba ya NChi kama nchi inapaswa kuona sasa njia sahihi ya kusimamia aidha katiba ibadilishwe iendane sawa na katiba zingine au Katiba zingine zibadilishwe ziendane sawa na katiba ya nchi..

kitu ninachojiuliza iliwezekananje chama bado kupewa Usajili na inapingana na Katiba ya nchi??

MKuu ningtemani ufanye analysis ya Katiba ya zanzibar ukipata Muda
 
Mkuu DR Mambo Jambo , kwanza naunga mkono hoja zako kuhusu huo ndio utaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, ila utaratibu huo ni kinyume na katiba ya JMT, hivyo katiba ya Chadema ni batili!, Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa . Katiba ya JMT, ndio sheria mama, kama katiba inasema haki inapatikana mahakamani, kipengele chochote cha taasisi yoyote inayozuia mtu kutafuta haki yake mahakamani, ni batili, kinyume na katiba!. GE2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
P
Ingekuwa mahakamani haki inapatikana kesi ya huyo muhuni isingekaa mwaka mzima bila hukumu. Nyie ndio wale mnaoendekeza kujifanya mnatii katiba wakati uhalisia unakataa. Si. Bure nyie waandishi wa habari kila siku mnatungiwa sheria kandamizi mkiwa hamuwezi kujitetea kwa nguvu mkihofia kuitwa wanaharakati, matokeo yake mmegeuka machawa msio na aibu. Yaani nyie mijizee mmechangia sana huu uko ndio usio na tija kwenye nchi hii.
 
KWA WASTANI CCM INA WASOMI WENGI KULIKO CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA. TOFAUTI NI KWAMBA CCM HAITOI ROOM YA WASOMI KUONESHA TALANTA ZAO.
Tatizo ukiwa CCM unajivua akili na kubakisha za kushabikia kila uozo wa serikali, ndani ya bunge huwezi kutofautisha mchango wa profesa na mchango darasa la saba B. Ukiwa CCM ukionyesha matumiza bora ya akili utaitwa kila jina baya ili wakufanyizie, mfano Profesa Kabudi yule wa Tume ya Warioba na Profesa Kabudi wa leo ni watu wawili tofauti kabisa.
 
Mkuu DR Mambo Jambo , kwanza naunga mkono hoja zako kuhusu huo ndio utaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, ila utaratibu huo ni kinyume na katiba ya JMT, hivyo katiba ya Chadema ni batili!, Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa . Katiba ya JMT, ndio sheria mama, kama katiba inasema haki inapatikana mahakamani, kipengele chochote cha taasisi yoyote inayozuia mtu kutafuta haki yake mahakamani, ni batili, kinyume na katiba!. GE2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
P
Yani suala kuwa mwanachama au kutokuwa mwanachama wa Chama cha siasa liamuliwe na katiba ya nchi Boss??
 
Mkuu DR Mambo Jambo , kwanza naunga mkono hoja zako kuhusu huo ndio utaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, ila utaratibu huo ni kinyume na katiba ya JMT, hivyo katiba ya Chadema ni batili!, Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa . Katiba ya JMT, ndio sheria mama, kama katiba inasema haki inapatikana mahakamani, kipengele chochote cha taasisi yoyote inayozuia mtu kutafuta haki yake mahakamani, ni batili, kinyume na katiba!. GE2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
P
chama kimemaliza kazi yake hivyo yeye akapinge mahakamani (kwamujibu wa hiyo katiba ya jmt)
 
Tatizo ukiwa CCM unajivua akili na kubakisha za kushabikia kila uozo wa serikali, ndani ya bunge huwezi kutofautisha mchango wa profesa na mchango darasa la saba B. Ukiwa CCM ukionyesha matumiza bora ya akili utaitwa kila jina baya ili wakufanyizie, mfano Profesa Kabudi yule wa Tume ya Warioba na Profesa Kabudi wa leo ni watu wawili tofauti kabisa.
HIYO NDIYO CHANGAMOTO YAO ILA WANA WASOMI WENGI SANA
 
KWA WASTANI CCM INA WASOMI WENGI KULIKO CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA. TOFAUTI NI KWAMBA CCM HAITOI ROOM YA WASOMI KUONESHA TALANTA ZAO.
Huwezi kuwa msomi ukae sehemu au chama inakunyima kuonyesha uwezo wako wa kisomi au Atlanta

MSomi ANAJUA KUSIMAMIA alichokusoma na najua sehemu ya kukufanyia kazi kiwe msaada Kwa jamii

Labda kama unaongelea zile Phd za kupewa madegree ya kwenye makaratasi
 
JMT!

Hivi karibuni kumetokea Sintofahamu baada ya mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo machachari sheikh Said issa mohamedi kufukuzwa uanachama na chama chake kwa madai mbali mbali..
hatahivyo baada ya kufukuzwa ameibuka na kudai kuwa ana uhalali wa kuendelea kuwa mwanachama kwa kuwa bado anahisi utaratibu haukufuatwa wa yeye lkutolewa uachama hapa chini nimekuandikia sababu halali za kikatiba kwanini kusimamishwa uanachama bila kufuata taratibu za kawaida.

Kama mwanadiplomasia au mfuatiliaji wa Maswala ya siasa na sheria naomba kuweka na kutia kijineno..

Kwanza tukirejea Uamuzi wa kumfukuza Ndugu Said Issa Mohammed kulingana na Taarifa kwa Umma ya tarehe 07 Juni 2026 iliyotolewa na Katibu wa Kanda ya Pemba, Abdulla Hassan, una uhalali kamili wa kikatiba.

Twende deep sasa Hapa chini za kikatiba na kikanuni zinazothibitisha kwanini hakuwa na sifa ya kupewa haki ya kusikilizwa ya kawaida (Natural Justice):

1. KUKIMBILIA MAHAKAMANI NI KUJIFUKUZISHA UANACHAMA

CHADEMA ina taratibu zake za ndani za kusikiliza na kutatua migogoro. Kitendo cha mwanachama kukimbilia mahakama za serikali kabla ya kumaliza ngazi hizo kinamnyang'anya sifa na haki zote za kulindwa na Katiba ya chama.
  • Ukisoma Katiba ya Chadema ya mwaka 2006 toleo la mwaka 2019 ,Mwongozo wa Kamati za Maadili ya Chama, Sehemu ya E (Hatua za Kinidhamu), Kipengele cha 2 (x) kiko wazi:

    “CHADEMA itashughulikia matatizo ya viongozi na wanachama kwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama, wala hata siku moja haitashughulikia mambo kama hayo Mahakamani. Mwanachama atakayeshindwa kufuata taratibu na ngazi za Chama hatavumiliwa na atakuwa amejifukuzisha uanachama.”
Hiyo inamaanisha nini, bwana Said Issa Mohammed amejifukuzisha uanachama yeye mwenyewe kwa matendo yake. Huwezi kudai haki ya kusikilizwa kama mwanachama wakati Katiba inatafsiri kuwa ulishajiondoa kwenye chama siku ulipofungua kesi.

2. MAMLAKA YA DHARURA YA KULINDA CHAMA (DOCTRINE OF NECESSITY)

Kufungua kesi mahakamani na kusababisha hasara ama kukwamishaa uendeshaji wa shughuli za chama kinahesabika kuwa ni kosa kubwa la Usaliti na Hujuma.

Chini ya Mwongozo wa Maadili, Kipengele cha 3 (a)(i) na (vii) , matendo ya "kupanga njama za kuhujumu Chama" na "kuhujumu programu za Chama" yanatafsiriwa kama usaliti mkubwa unaoondoa haki ya kusubiri taratibu za kawaida.
  • Katika mazingira ya hujuma ya wazi, Kanuni za Chama, Sura ya Sita, Kifungu cha 6.5.1 (d) inatoa mamlaka ya dharura:

    “Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila kuzingatia utaratibu wa kifungu (a) na (b) hapo juu [vya kupewa mashitaka ya maandishi na kusubiri wiki mbili za kujibu] kama itaona maslahi ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa...”
3. UHALALI WA KIKAO NA MAMLAKA YA NIDHAMU
Hatua hiyo iliyochukuliwa na Kamati Tendaji ya Kanda ya Pemba chini ya Mwenyekiti wa Kanda, Omar Nassor, tarehe 06 Juni 2026, inaendana na mgawanyo wa madaraka ya kinidhamu ndani ya chama.
  • Chini ya Ibara ya 6.3.6 (a)(v), Kamati Tendaji ya Kanda ndiyo yenye Mamlaka ya Nidhamu kwa viongozi wa ngazi ya mkoa.
Niseme tu hata kwa sisi CCM tuliwahi kuyafanya haya , Mwanachama hawezi kuivunja na kuisafiria nyota Katiba ya chama kwa kuandikisha kesi mahakamani, kisha akageuka na kudai Katiba hiyo hiyo imlinde kumpa haki ya kusikilizwa ya kawaida. Said Issa Mohammed amejifukuzisha uanachama kisheria na tangu tarehe 06 Juni 2026 si mwanachama tena wa CHADEMA wala hatambuliki katika ngazi yoyote.
Uko sahihi kabisa mkuu

Ni aibu Chadema kuwa na kiongozi asiyefahamu hata katiba ya Chama chake
 
Huwezi kuwa msomi ukae sehemu au chama inakunyima kuonyesha uwezo wako wa kisomi au Atlanta

MSomi ANAJUA KUSIMAMIA alichokusoma na najua sehemu ya kukufanyia kazi kiwe msaada Kwa jamii

Labda kama unaongelea zile Phd za kupewa madegree ya kwenye makaratasi
WEWE NI MSOMI ?
 
Mkuu DR Mambo Jambo , kwanza naunga mkono hoja zako kuhusu huo ndio utaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, ila utaratibu huo ni kinyume na katiba ya JMT, hivyo katiba ya Chadema ni batili!, Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa . Katiba ya JMT, ndio sheria mama, kama katiba inasema haki inapatikana mahakamani, kipengele chochote cha taasisi yoyote inayozuia mtu kutafuta haki yake mahakamani, ni batili, kinyume na katiba!. GE2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
P
Juzi nilikuuliza ukakwepa.

Mnapokua mnadai haki ya kusikilizwa kama mlivyowaomba EU , je mwanachama wenu Humphrey Polepole mlimpa nafasi ya kumsikiliza kwa tuhuma alizokua anazitoa ?

Tangu October 6 , mwaka jana sio chama wala mwanachama au kiongozi katolea tamko juu yake.
 
Back
Top Bottom