Senators wa US kuwaweka kitimoto ujumbe wa Tanzania mubashara kupitia CNN?

Senators wa US kuwaweka kitimoto ujumbe wa Tanzania mubashara kupitia CNN?

lubajaro

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2015
Posts
1,612
Reaction score
884
Ikiwa Maseneta wa Marekani watakaowahoji ujumbe wa Tanzania wataamua mahojiano hayo yawe mubashara kupitia CNN kuhusu Tanzania, kwa lugha pendwa ya Kiingereza, Wakielekeza hoja zao katika maeneo ya Hali ya demokrasia na uchaguzi wa Tanzania na Tuhuma za ukiukwaji wa haki za binadamu baada ya uchaguzi wa 2025.

Je, Tutegemee mahojiano hayo kurushwa mubashara kupitia CNN, BBC, DW, AL JAZEERA...????

Kwa sasa, Maseneta Jeanne Shaheen na Ted Cruz wamewasilisha muswada unaotaka tathmini upya ya mahusiano ya Marekani na Tanzania na unaoruhusu hatua za vikwazo dhidi ya watu watakaobainika kuhusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Hata hivyo, muswada huo bado haujawa sheria.
 
Ikiwa Maseneta wa Marekani watakaowahoji ujumbe wa Tanzania wataamua mahojiano hayo yawe mubashara kupitia CNN kuhusu Tanzania, kwa lugha pendwa ya Kiingereza, Wakielekeza hoja zao katika maeneo ya Hali ya demokrasia na uchaguzi wa Tanzania na Tuhuma za ukiukwaji wa haki za binadamu baada ya uchaguzi wa 2025.

Je, Tutegemee mahojiano hayo kurushwa mubashara kupitia CNN, BBC, DW, AL JAZEERA...????

Kwa sasa, Maseneta Jeanne Shaheen na Ted Cruz wamewasilisha muswada unaotaka tathmini upya ya mahusiano ya Marekani na Tanzania na unaoruhusu hatua za vikwazo dhidi ya watu watakaobainika kuhusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Hata hivyo, muswada huo bado haujawa sheria.
Mbona wanafanya vitu taratibu sana. Yaani wanatakiwa wapeleke vitu kwa kasi sana ili haya mashetani mauaji makubwa tuyashikishe adabu
 
Hivi huwa mnawaza duniani kila mtu yuko interested na mambo ya tanzania?
Kuna mataifa hayana habari na mengine hayajali kama kuna raia waliuawa mnamo mwaka 2026 kwenye kugombea urais. Dunia ni zaidi ya muijuavyo.

Kalamu
Just because nchi zingine hazina habari haina maana mataifa makubwa haswa yale ambayo yamekuwa yakitoa misaada mbali mbali hayako aware

Huko duniani ni ngumu kudanganya. And yes wanajua sana
 
Ikiwa Maseneta wa Marekani watakaowahoji ujumbe wa Tanzania wataamua mahojiano hayo yawe mubashara kupitia CNN kuhusu Tanzania, kwa lugha pendwa ya Kiingereza, Wakielekeza hoja zao katika maeneo ya Hali ya demokrasia na uchaguzi wa Tanzania na Tuhuma za ukiukwaji wa haki za binadamu baada ya uchaguzi wa 2025.

Je, Tutegemee mahojiano hayo kurushwa mubashara kupitia CNN, BBC, DW, AL JAZEERA...????

Kwa sasa, Maseneta Jeanne Shaheen na Ted Cruz wamewasilisha muswada unaotaka tathmini upya ya mahusiano ya Marekani na Tanzania na unaoruhusu hatua za vikwazo dhidi ya watu watakaobainika kuhusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Hata hivyo, muswada huo bado haujawa sheria.
ulofa ni mzigo mzito wa kimaskini sana gentleman. athari za kufuata mkumbo zitawatafuna mno kisaikolojia aise, dah!🐒
 
Hivi huwa mnawaza duniani kila mtu yuko interested na mambo ya tanzania?
Kuna mataifa hayana habari na mengine hayajali kama kuna raia waliuawa mnamo mwaka 2026 kwenye kugombea urais. Dunia ni zaidi ya muijuavyo.

Kalamu
Sisi tunaishi ktk ulimwengu na dunia hii hii. Bila shaka na wewe vivyo hivyo...

Tunaijua dunia kuliko wewe MKANGAFFU unavyoijua ndio maana mambo yako hivi yalivyo na yatakavyokuwa muda si mrefu...

Je, wewe MKANGAFFU unaijua dunia kwa namna tofauti na ambavyo sisi wengine unaotudhania wajinga tunaijua..?

How exactly...?
 
Umetoa povu zito san 🤣🤣🤣
Yes,
siasa ni sayansi na sio narratives ya chuki hasa inayotokana na maamuzi ya kilofa, kama vile kususia chaguzi n.k

kwamba what is special kwa delegates wa Tz kufanya mazungumzo na US Senate members live? malofa wengi wanajua mabadiliko ya sera ya nje ya Marekani inahusu Tz pekeyake 🐒
 
CNN ni private broadcasting organisation. Hela yao ya kujiendesha sehemu kubwa inategemea matangazo.

Kama upo tayari kulipia kipindi kwa siku kama $3,000,000 sidhani kama watakuwa na shida ya kurusha live.

Vinginevyo ‘Google’ tangazo la sekunde 30 unalipia kiasi gani. Halafu ujiulize schedule ya kipindi chako ili kirushwe live watataka kiasi gani.

Tanzania kila kitu rahisi
 
Ikiwa Maseneta wa Marekani watakaowahoji ujumbe wa Tanzania wataamua mahojiano hayo yawe mubashara kupitia CNN kuhusu Tanzania, kwa lugha pendwa ya Kiingereza, Wakielekeza hoja zao katika maeneo ya Hali ya demokrasia na uchaguzi wa Tanzania na Tuhuma za ukiukwaji wa haki za binadamu baada ya uchaguzi wa 2025.

Je, Tutegemee mahojiano hayo kurushwa mubashara kupitia CNN, BBC, DW, AL JAZEERA...????

Kwa sasa, Maseneta Jeanne Shaheen na Ted Cruz wamewasilisha muswada unaotaka tathmini upya ya mahusiano ya Marekani na Tanzania na unaoruhusu hatua za vikwazo dhidi ya watu watakaobainika kuhusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Hata hivyo, muswada huo bado haujawa sheria.
More likely itakuwa ni C-Span kuliko hao wengine.
 
Ikiwa Maseneta wa Marekani watakaowahoji ujumbe wa Tanzania wataamua mahojiano hayo yawe mubashara kupitia CNN kuhusu Tanzania, kwa lugha pendwa ya Kiingereza, Wakielekeza hoja zao katika maeneo ya Hali ya demokrasia na uchaguzi wa Tanzania na Tuhuma za ukiukwaji wa haki za binadamu baada ya uchaguzi wa 2025.

Je, Tutegemee mahojiano hayo kurushwa mubashara kupitia CNN, BBC, DW, AL JAZEERA...????

Kwa sasa, Maseneta Jeanne Shaheen na Ted Cruz wamewasilisha muswada unaotaka tathmini upya ya mahusiano ya Marekani na Tanzania na unaoruhusu hatua za vikwazo dhidi ya watu watakaobainika kuhusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Hata hivyo, muswada huo bado haujawa sheria.
Laiti wangerusha mubashara ingependeza zaidi.
 
Wataingia uvunguni kama sio mitini
Thubuutu: Itakuwaje ilhali NoA (Nights Out Allowances) wanazisaka kwa udi na uvumba??
Mbona majibu hapo ni rahisi sana -endapo wataulizwa wao waseme:
Awali waombe idhini ya kutumia Lugha ya Bongo na la; wakikataliwa basi wajing'ateng'ate hivo-hivo.
1. Kuhusu Demokrasia waseme nchi ina mkakati endelevu wa kuapanua wigo wa kidemokrasia na Mataifa mengine:Agakakskagesh:
2. Wakuilizwa hoja za uchaguzi wao waseme au wajibu: uchaguzi ulifanyika kama ulivyopangwa.:BLAAP::AwkwardFlushed:
3. Kuhusu Haki za Binadamu wao waseme tuu " Who are u":DESKCHAN:
 
Hivi huwa mnawaza
Kwa hiyo mzee ukikaa na wajukuu zako, unawaambia wawe na amani kuna wamarekani wanakuja kuwakomboa kutoka utawala wa ccm?
Umekuwa humu ndani ya JF miaka sita, lakini hata unashindwa kabisa kujuwa mtu anaposimamia kwenye baadhi ya maswala kabla hujamhusisha na maswala hayo?

Sasa hapa umeniita nikwambie kitu gani?
Umeona mahali popote nikishangilia juu ya ujio wa watu hao kuja kutukomboa waTanzania?

Hao wanayo maslahi yao, na ndio watakaozidisha ugumu wa taifa hili kujikomboa kutoka kwenye uovu aliotuweka Samia na Genge lake..
Kama ulitaka kujuwa msimamo wangu, ndio huo.
Na sitaki tena unisumbue sumbue na vimaneno neno vya kipuuzi.duniani kila mtu yuko interested na mambo ya tanzania?
Kuna mataifa hayana habari na mengine hayajali kama kuna raia waliuawa mnamo mwaka 2026 kwenye kugombea urais. Dunia ni zaidi ya muijuavyo.

Kalamu
Ni nani huyo kasema dunia nzima inatakiwa ijuwe habari za Tanzania?

Inakuwaje unaniita kwenye jambo ambalo siku zote napingana nalo; ninaposema wewe unageuka na kuwa chizi kweli utanilalamikia?
 
Back
Top Bottom