Joshua Mbezi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 1,912
- 4,117
Sasa hivi upepo wa kisiasa unavyovuma ni dhahiri kiwango Cha kukubalika kwa viongozi wengi wa CCM kimeshuka miongon mwa watanzania na sijuhi kwanini hawajashutukia hili suala
Tangu Chadema irudi kwenye uwanja wa kisiasa baada ya kile kifungo imekuwa imara kuliko hawali
Na uimara huo unawafanya CCM kukosa aman na pengine wanaingiwa uoga , nahisi n kwasababu sasa hivi CCM wanatumia gharama kubwa kwenye mikutano na impact ya mikutano yao kwa chama inakuwa ni ndogo sana ukilinganisha na wenzao wa Chadema
Sasa hivi hii nafasi ya Ndg Kenan Kihongosi Imepwaya sana hyu ndg ameishiwa hoja sasa hivi anakuja na vihoja
Just imagine msemaji wa chama anaitisha press kwa ajiri ya kusema et Cdm walifanya vikao vya siri kwa ajiri ya kuchochea vurugu lakini hana ushahidi wowote wa kuthibitisha kauri yake
Tulitegemea kauri hizi zingetolewa na makachero wa Jeshi la Polisi ila zinapoanza kutolewa na kiongozi wa chama tena kikubwa kama ccm ni dhahiri imekata pumzi sasa anajaribu kutafuta huruma za watu au back up ya Dola
Sasa hivi ccm imekosa watu wenye uwezo wa kujenga hoja zinazoweza kuwa challenge upinzan hasa Act na Chadema na hili jambo wasiposhutuka mapema litawaghalimu
huko mbelen
Wakumbuke kuwa tembo ni mkubwa na Mnyama wa kuogopwa lakini akifanya makosa ya kuweka pua yake penye siafu au sisimisi inaweza kughalimu maisha yake
Tangu Chadema irudi kwenye uwanja wa kisiasa baada ya kile kifungo imekuwa imara kuliko hawali
Na uimara huo unawafanya CCM kukosa aman na pengine wanaingiwa uoga , nahisi n kwasababu sasa hivi CCM wanatumia gharama kubwa kwenye mikutano na impact ya mikutano yao kwa chama inakuwa ni ndogo sana ukilinganisha na wenzao wa Chadema
Sasa hivi hii nafasi ya Ndg Kenan Kihongosi Imepwaya sana hyu ndg ameishiwa hoja sasa hivi anakuja na vihoja
Just imagine msemaji wa chama anaitisha press kwa ajiri ya kusema et Cdm walifanya vikao vya siri kwa ajiri ya kuchochea vurugu lakini hana ushahidi wowote wa kuthibitisha kauri yake
Tulitegemea kauri hizi zingetolewa na makachero wa Jeshi la Polisi ila zinapoanza kutolewa na kiongozi wa chama tena kikubwa kama ccm ni dhahiri imekata pumzi sasa anajaribu kutafuta huruma za watu au back up ya Dola
Sasa hivi ccm imekosa watu wenye uwezo wa kujenga hoja zinazoweza kuwa challenge upinzan hasa Act na Chadema na hili jambo wasiposhutuka mapema litawaghalimu
Wakumbuke kuwa tembo ni mkubwa na Mnyama wa kuogopwa lakini akifanya makosa ya kuweka pua yake penye siafu au sisimisi inaweza kughalimu maisha yake