and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,194
- 39,646
Uchawa na dhulma dhidi ya Rasilimali za Tanganyika (Bandari) hazitakuacha salama. Wacha yakukute.
Hivi kosa hasa la Tulia lilikuwa nini?Uchawa na dhulma dhidi ya Rasilimali za Tanganyika (Bandari) hazitakuacha salama. Wacha yakukute.
Kushabikia uuzwaji wa Bandari kwa Mwarabu.Hivi kosa hasa la Tulia lilikuwa nini?
Sasa nasikia eti Zungu ndio yule Musa Kilaza wa Ilala kutoka Kyubani Malimba ni kweli au maana bunge lile ni fekiKushabikia uuzwaji wa Bandari kwa Mwarabu.
Kama ni kushabikia wote walishabikia hawa kijaniKushabikia uuzwaji wa Bandari kwa Mwarabu.
Kwami kawaje? Atateuliwa ti mahaliUchawa na dhulma dhidi ya Rasilimali za Tanganyika (Bandari) hazitakuacha salama. Wacha yakukute.
Hayo hayatuhusu mbona ata Mimi pesa ninazoTulia kukosa kwake nyadhifa sidhani inamuathiri kiasi hicho Kama tunavyomzungumzia yule dada ana hela vibaya mno,nyumba yake yenyewe ni hekalu, ana vitega uchumi vingi
Ukiacha mentality ya umasikini itakusaidia kuepukika kuwa na makasirikoHayo hayatuhusu mbona ata Mimi pesa ninazo
Stress zinazeeshaUchawa na dhulma dhidi ya Rasilimali za Tanganyika (Bandari) hazitakuacha salama. Wacha yakukute.
Kama mijengo na vitega uchumi vinatuliza roho kuliko madaraka, basi Samia na genge lake wasingefanya waliyofanya ili kujibakisha madarakani, maana wana pesa na ukwasi chekwa.Tulia kukosa kwake nyadhifa sidhani inamuathiri kiasi hicho Kama tunavyomzungumzia yule dada ana hela vibaya mno,nyumba yake yenyewe ni hekalu, ana vitega uchumi vingi
Pia kujadili utekaji alikataa kwa sababu za kishenz sana.Alipiga nyundo kila kilio cha Wamasai pindi sauti za kuwatetea bungeni zilipochomoza.
Sio kila mtu ana obsess kiasi hicho na madaraka ukilijua hili halitakusumbuaKama mijengo na vitega uchumi vinatuliza roho kuliko madaraka, basi Samia na genge lake wasingefanya waliyofanya ili kujibakisha madarakani, maana wana pesa na ukwasi chekwa.
Uliingia kwenye akili yake ukajua anastress?Stress zinazeeshaView attachment 3503651
Kosa nilimwambia awe mamawatoto wangu akakataa nami nikaza kwenye maobi akikubali yanaishaHivi kosa hasa la Tulia lilikuwa nini?